Tangawizi
JF-Expert Member
- Jun 25, 2009
- 5,171
- 3,893
Zinahusiana vip na hili la Acacia? Dua la kuku halimpati mweweWacha ujinga wewe buku 7 Wapumbavu kama wewe ndiyo matatizo makubwa nchi hii. Vipi kuhusu 2.4 trillions alizokwapua hazina? Ulishawahi kuandika chochote kuhusu hiyo issue? Vipi kuhusu kugomea audit? Ulishajiuliza ni sababu zipi zinamfanya huyo nduli na dikteta wa Ikulu aihofie audit!? 😳
Ujinga wako kwinngine siyo humu.