Kevin85ify
JF-Expert Member
- Apr 6, 2019
- 2,685
- 3,429
- Thread starter
- #21
It is CCM I have the evidence.What assured you is ccm?,even how does it concern with you! You become the hague now? Remain with your problems,Let us solve our own problems
It is CCM I have the evidence.What assured you is ccm?,even how does it concern with you! You become the hague now? Remain with your problems,Let us solve our own problems
Kwa ustarabu wa watanzania kwanza watu wanamshangaa maana hatujakuzwa kwenye kutokuheshimiana na kudharauliana ndio maana imekua ajabu miongoni mwa wengi juu ya makuzi yake. Yote kwa yote kwa kuwa ni mliberali na anaamini hata kwenye upuuzi Kama ushoga Kama ilivyo kwa wengi wenu hapo Kenya mchukueni awaongoze maana kwetu hana nafasi. Ustahimilivu wa serikali ni chambo kumuonesha kwamba pamoja na upuuzi wake wote wameona ni vema majibu ya matusi yake apewe na wananchi ndio maana wamempatia nafasi ya kukutana na wananchi ana kwa ana asije kulialia na kulalama Kama kawaida yake.
Kenya acheni kuingilia mambo ya tz,sisi hatujazoea kumwaga damu,mmesahau kiherehere ndio kiliwaponza mkajikuta mnachezea kipigo cha alishababu,tafuteni amani acheni uhasama malizeni makando kando yenu huko hatuendeshi nchi mnvyotaka nyie hii nguvu wekeni kujadili matatizo yenu acheni chokochoko tukichukia mtakoma
Those are rumors! ,how will chedema help youIt is CCM I have the evidence.
Tofautisha kujadili na kupondaWacha kung'aka, humu huwa tunajadili siasa za kote kuanzia kwa Trump Marekani kwenda kwa Putin mpaka kwa Kim Korea Kaskazi kuja hadi Afrika Kusini, hivyo hamna namna ya kuzuia msijadiliwe, kama hamtaki mjadiliwe acheni matukio na kama vipi mjifungie ndani kabisa bila kuanika chochote kwenye vyombo vya habari
Tofautisha kujadili na kuponda