Tanzania rejects EAC single tourist visa plan!

Tanzania rejects EAC single tourist visa plan!

We nawe unachosha. Your argument holds no water in this situation. Tanzania has no business joining coW. Its not beneficial at all.
Most Tanzanians know for a fact we have no business joining the union. We need to sort out our mess before joining such a union.

Kuna watu wanadhani mimi sio Mtanzania,anyway the point is lini tutajiweka sawa kama tunavyotaka?Tulijitoa COMESA kwasababu zile zile zinazokaribiana lakini leo ni miaka karibu ishirini sasa bado tunalalamikia jambo lile lile kwamba wenzetu wametuzidi,Sasa tuna mipango gani ya kuwafikia na hata kuwapita?ATC tumeiua,Shirika la Reli tumeliua,Viwanda tumeviuwa.Hatutaki kuboresha huduma za umeme na maji.Hatutaki kujenga THE STATE OF THE ART,LARGEST AND STRATEGIC AIRPORTS katika mikoa ya Arusha na Mwanza ili kupambana na Wakenya na hatuonekani kuwa na ambition yoyote ya kushindana nao kibiashara ila tumekuwa wazuri mno wa kuwakimbia.Kwakweli hili ni tatizo kubwa linalotukabili Watanzania na inapaswa tubadilike hasa.
 
it is true that single tourist visa will cost Tanzanian because we are not well prepared to do so. We have to create good policies first and rules then allow or make agreement
 
When it comes to defending our National interests i might call myself an extreme patriot & a fierce defender of our national interests but as of now no one care about our National interests,How many times we hear about the Country's resources being grabbed illegally by the foreigners?Our elephants are being killed,Tanzanite & other minerals are being smuggled into other Countries every day & night.

Haya pia ni mambo ya msngi kzingatiwa for sure! Shida iliyopo ni kuwa hatuko strategic kwa chochote kwenye maswala ya uchumi EAC na Africa kwa ujumla!!
 
it is true that single tourist visa will cost Tanzanian because we are not well prepared to do so. We have to create good policies first and rules then allow or make agreement

Issue kubwa ni kwamba kenya walianza marketing muda mrefu na wazungu wanaifahamu kushinda wanavyiofahamu tz, na katika kujitangaxa kwao wanatumia resources za tanzania, kwahiyo its obvious mgeni atalipia visa kenya halafu ataletwa tz, kwasababu tourists resources zipo nyingi tz ,than kenya or any other east African countries, kwahiyo sita is very right on this hii kitu itatuumizs sisi tz kushinda other member states
 
Yaani niko nao hapa wanataka sana tufungue mipaka ili waje tena

Am dissappointed with all my fellow Tanzanians' comments who support our government stance on single visa territory issue.To be honest am not with this coward and irresponsible government on this issue of opting out,Let me tell you dudes,No one have ever made any actual progress in terms of economy while isolating oneself,I say no one.For any Country to make a vivid economic progress it needs to enter economic competition with other Nations.When you compete with others you will notice your strengths & weaknesses in an effort to make yourself even better in the park.Mr Sitta claims that the reason of rejecting the project is because Kenya have the best airport in the region so we will be losing a lot of revenues to them are absolutely ridiculous!I didn't expect a man of Sitta calibre to puke such simple reasons.I ask myself how weak Tanzanians have become to even fail to build our own biggest airport in the region?That is one of the advantages the competition will always bring about among the competitors.

Still Tanzania will never change or make progress on anything unless we integrate ourselves with the rest in the region.Tanzania we have that reputation of irresponsibility,incompentence and laziness at all levels of our government.We need economic competition for us to change.

So? Why all the shouts? Tanzania is our home we have the right to close doors for our security. Dont you do the same to you home?
 
So? Why all the shouts? Tanzania is our home we have the right to close doors for our security. Dont you do the same to you home?

I am a pure Tanzanian by birth.I was born,raised and educated here.The problem i have is that,I am very honest and assertive man.I am also a bold man with the audacity to take risks to hope the dividends in the future.I prefer to try and make errors to avoiding trying and remaining the same as i have always been.Tanzania need to break with insecure and paranoid feelings towards our neighbors as it will continue to make us feel inferiors forever.We really need to dispute these dysfunctional beliefs filled in our heads at all costs.I am telling you,when you finally calm down and think thoroughly about what Mr Sitta just said you will find out that he has no strong reasons to back up his claims,it's just fears over unknown future over there.

Why don't you try with a knife along your neck?
 
So? Why all the shouts? Tanzania is our home we have the right to close doors for our security. Dont you do the same to you home?

Unless you are living in another planet,Tanzania is not safe and secure anymore as we speak!!!
 
the funny thing abt TZ ni you critisize him.yeye hachelewi matusi.mpe sifa atakuwa cloud nine.lakini jaribu kumpa PICHA YA tz KAMA UANAVYO ,umeomba balaa.uzuri sio watz wote,wachache tu katika hili blog.na mie sijakataa ni mkenya na kama blog halitaki mchango wa nje,ingekuwa moja yapo ya kanuni.turudi kwa mada mie naomba constructive criticism kwa Kenya ndio nitaweza ata kuinuka zaidi kuongezea mawazo yangu.just listen to a tanzanian talk about Kenya, you will think he did his masters thesis on it.just hope we can be brothers in EA, talk abt issues pertinent to one another without emotions.bring to the table your valid argument, qualify them
remembering your no island,compromise where possible.
 
chakula cha mama daima huwa no. 1.lakini jaribu japo toka nje kidogo na ule kwa akina hassan na john pia ufanya kulinganisha na posho ya mama.Jambohili umelishwa propaganda hivi karibuni itakubana koo.eti kenya yatumia rasilimali za tz kujitangaza,Toba.hebu cheki wavuti wa kenya tourism halafu tembelea KENYAMOJA.COM.tv baadhi ZA KENYA ZIKO PALE live.PATA CHAKULA KWA AKINA JOHN UJIHABARISHA HALAFU UKIFUNGUA KINYUA KUONGEA NITAKUHESHIMU JAPO KIDOGO.kila siku naskia mt. kilimanjaro ni yetu watz.sawa kaka hamna anayekataa, ambalo haliui ni kuwa its the highest mountain in africa, hence the biggest.kama ulisoma somo la geographia kumbuka windward and leeward side.the mountain is seen from Amboseli national park in kenya and infact mzima springs supplying Mombasa with water is in the kilimanjaro ecosystem.the mountain due to its sheer size and closeness to the border has part of its ecosystem is in kenya just like mt elgon in kenya and uganda though listed in kenya part of its ecosystem is in uganda.usipoelewa na kizungu kikamilifu omba msaada utafsiriwe tafadhali.
 
Hivi kwann mnatumia nguv na strategies nyiiingu kupursuade tz tuingie kichwa kichwa huko? Kaitangaze kenya yako kwny blog zenu huko bana..
 
Wewe Mkenya ni muongo sana. Ni nani kakuambia waafrika wanataka kuondoa mipaka ya kikoloni? Mbona Hatujaona mataifa mengine ya kiafrika yakiungana ispokuwa Tanzania tu?. Tupo uwanjani tayari tunamenyana kifikra ndio maana tumekataa single visa. We rejected it with reasons. Usitake mawazo yenu yaonekane ndio superb kumbe mna ajenda za siri.
nakuskia na wache nikupe ili.have ever heard of SADC(tz),ECOWAS,EAC,arab league NA mengineo ya nchi zinazo tumia kifaransa.unaishi kwa adaki nini.akili ambayo ni finyo haiwezi kuyafahamu haya.lengo duniani nzima ni ushirikiano.this is a global village.hiyo single visa yako na kuachia kwani haki yako.usisema haukutolewa taka maskio.bounderies are artificial emperial walls used by colonial masters for economic exploitation.hazikuweko kabla aje mzungu.biashara ilifanyika kwa heshima kati ya waafrika.bila tusi kama zako.emotional arguments.lakini kama mpaka leo waamwabudu kaburu SA sawa.haki yako.
 
Hivi kwann mnatumia nguv na strategies nyiiingu kupursuade tz tuingie kichwa kichwa huko? Kaitangaze kenya yako kwny blog zenu huko bana..
tunaelimishana hapa.niko radhi nikosolewe japo bila matusi.kusema niende kwa blog zetu umekosa ufasaha wa hoja.jiamini kaka.toa hoja usiogope.kwani kunaye aliyesema ngumu ya kalamu ni kali kuliko upanga.thats what ales tz.wanasema kaonewa,kafukuzwa,katongozwa, na na nanii.jiamini toa mawazo badala dont cry wolf on tourism,land and everythin and if hautaki muungano sema watu wajua na watafute makao badala ya EAC(Arusha) muungano is for the willing.period
 
We do understand there are other nationals in this forum posing as Tanzanians. I have become very weary of some members who always go against our national interest with arguments such as yours highlighted in red.

Hakuna mtu anawaogopa wakenya or anyother country in EAC, ni majuzi tu nimekutana na rafiki yangu 'Mganda' nduguyee kaenda Dar-Es-Salaam kwa mara ya kwanza anasema sasa huyu mtu akienda ulaya itakuwaje maana he his full of praises.

Umeshaambiwa kwa sasa amna utaratibu wa mgawanyo wa mapato how is that supposed to work na isitoshe kwa sasa wale wanaotuwa KIA not only they give us the visa revenue but also contribute in the local hospitality and tourism sector. Kuna vitu Tanzania inabidi ijipange kwanza kabla ya kuji-commit.

Kitu ambacho wakenya wanajivunia sana ni kwa sababu mzungu kaiweka miundo vizuri tayari kwa sababu ya unyonyaji wake na kuipa Kenya advantage as we enter in this new joint venture na wakenya sasa naona wanataka kulipiza hasira za mzungu kwetu sisi, that wont happen.

mie mkenya lakini naomba nikulize, kwani mawazo yako lazima kila mutz ayafuate.grow up kuna uhuru wa fikira na kutofautiana kaka.right of thinking independently my dear
 
mie mkenya lakini naomba nikulize, kwani mawazo yako lazima kila mutz ayafuate.grow up kuna uhuru wa fikira na kutofautiana kaka.right of thinking independently my dear
I dont know where you got that from, hivi kwanini huwa mnapenda kujianzia tu. Wapi nimesema hayo? wewe ungekosoa nilichoandika na si kuleta ubabaishaji usio na mpango.
 
Mtanzania utamjua tu, inabidi wageni ndani ya hii forum wajifunze utamaduni wetu ukoje as a whole, badala ya kutujaji na siasa za CDM na CCM, wataumbuka tu mwisho wa siku.
Hivi wewe mtu ambaye hakubaliani na backwards ideas zako sio mtanzania?FYI there's millions of good Tanzania's ambao ni pro EAC na wana support single visa,wewe with your fake patriotism ndio utaumbuka na kujifanya mbongo kuliko wengine,utakuta fake kama wewe hamjui hata maana ya national service,hamjawahi kulipa kodi ile nchi na ni mafisadi wakubwa.
 
Hivi kwann mnatumia nguv na strategies nyiiingu kupursuade tz tuingie kichwa kichwa huko? Kaitangaze kenya yako kwny blog zenu huko bana..

Ni legit Tanzanians hao hata kama hawakubaliani na sitta so stop that BS,na jamii forums haina uraia Yeyote anaweza kuandika na unaweza kukuta Kazi yako kelele tuu na hujawahi kuchangia JF hata usiku moja
 
Ni legit Tanzanians hao hata kama hawakubaliani na sitta so stop that BS,na jamii forums haina uraia Yeyote anaweza kuandika na unaweza kukuta Kazi yako kelele tuu na hujawahi kuchangia JF hata usiku moja

Tatizo la hawa watu huwa hawapendi kuumizwa vichwa vyao katika kuzichambua taarifa mbalimbali,Wao wameshazoea kutafuniwa na kumezeshwa kila kitu.Wanasiasa wajanja sana,wameugundua huu udhaifu wa Watanzania.Yaani ukitaka kumpata Mtanzania mwambie kile anachopenda kukisikia basi.Ukweli ni kwamba Viongozi wetu Tanzania hawapendi kufanya kazi kwa kukimbizwa kimbizwa,Wamezoea kujiongozea malipo makubwa kila baada ya miezi kadhaa sasa baadhi ya projects au plans zitawalazimisha kufanya kazi kwa kujituma sana au mianya ya ulaji wao kubinywa sana ndio maana wanafanya kila wawezalo kupinga projects nyingi za EAC.Kingine wanachohofia ni kwamba kujiunga katika hizi projects ingetufanya tuanze kuitathmini serikali yetu namna gani inavyopambana na majirani zake katika eneo la kibiashara.
 
tunaelimishana hapa.niko radhi nikosolewe japo bila matusi.kusema niende kwa blog zetu umekosa ufasaha wa hoja.jiamini kaka.toa hoja usiogope.kwani kunaye aliyesema ngumu ya kalamu ni kali kuliko upanga.thats what ales tz.wanasema kaonewa,kafukuzwa,katongozwa, na na nanii.jiamini toa mawazo badala dont cry wolf on tourism,land and everythin and if hautaki muungano sema watu wajua na watafute makao badala ya EAC(Arusha) muungano is for the willing.period
waltham,

..Tanzania ina vivutio vyote ambavyo viko kwa majirani zenu. Mtalii akifika Tanzania ataweza kuona gorillas, wanyama, fukwe za bahari, na kupanda mlima Kilimanjaro, hivyo kutokuwa na ulazima wa kutembelea Kenya, Uganda, au Rwanda.

..also, katika revenues zinazotokana na tourist sector, Tanzania ndiyo inapata mapato makubwa kushinda wenzetu wa Afrika Mashariki. kwa msingi huo so far tunaona we are on the right track, tunachotakiwa kufanya ni kuboresha huduma zetu na kuwa more creative and aggressive kujitangaza zaidi.

..kuhusu LAND huku Tanzania kuna matatizo makubwa ya ardhi sasa hivi. kama utakuwa unafuatilia vyombo vya habari kuna mapigano ya mara kwa mara kati ya wakulima na wafugaji. katika hali kama hiyo siyo busara kufungua mipaka yetu na kuruhusu wageni toka nchi majirani kumiliki ardhi huku Tanzania.

..asilimia kubwa ya wa-Tanzania ni wakulima na wafugaji wadogo wadogo hivyo access to the land is key to their sustenance. Watanzania wanaamini sheria[land laws] za umiliki ardhi za Kenya na Uganda zinamkandamiza mtu wa chini. Hali hiyo ndiyo inayosababisha wa-Tanzania wawe wakali every time it is suggested kwamba ardhi iwe suala la East African community.

..The fact kwamba Kenya na Uganda mlifikia kupigana vita kuhusu eneo dogo la ardhi ktk kisiwa cha Migingo halileti picha nzuri kwa wa-Tanzania.

..Siyo kweli kwamba wa-Tanzania hatutaki ushirikiano na majirani zetu. Kenya inashika nafasi ya pili kati ya wawekezaji wa nje nchini Tanzania. Tungekuwa hatutaki ushirikiano na majirani zetu tusingeruhusu hali hiyo. Mimi nadhani wa-Kenya mnatumia muda mwingi kuishambulia Tanzania instead of looking at the bright side of the relations btn our two countries.

..Kuhusu makao makuu ya EAC kuhamishwa toka Arusha, sidhani kama wa-Tanzania wata-object ikiwa uamuzi huo utakuwa umefanyika ktk mazingira ya kindugu kwa manufaa ya jumuiya yetu.

cc Geza Ulole, Ngongo, Mungi
 
Last edited by a moderator:
Hivi wewe mtu ambaye hakubaliani na backwards ideas zako sio mtanzania?FYI there's millions of good Tanzania's ambao ni pro EAC na wana support single visa,wewe with your fake patriotism ndio utaumbuka na kujifanya mbongo kuliko wengine,utakuta fake kama wewe hamjui hata maana ya national service,hamjawahi kulipa kodi ile nchi na ni mafisadi wakubwa.
My ideas are progressive ndio maana naona kunaulazima wakumaliza matatizo ya EAC for good jinga wewe.

halafu mimi ni mtanzania kwanza, then an african second. Ningependa kuona EAC inaenda kwa speed na integration ya haraka haraka whereby the environment is permitting. Sasa nyie mnalazimisha vipi bila ya kujali maslahi ya mgawanyiko wa mapato. Acheni kupayuka hovyo hata EU hiyo 'schengen visa' aikuanza na haraka haraka, kwanza wamejenga common/free market, kuna a lot comparative trading in the bloc almost every nation is benefiting (ingawa wengine zaidi, kutokana na na advancement walizoingia nazo).

Vile vile mwisho wa siku kila nchi inachangia kwenye EU pot, na nchi tajiri zinatoa zaidi ya maskini wakati nchi masikini zinapokea misaada mikubwa from the same fund shared (the idea ni kukwamuana mpaka wanakamatana kwanza) wana agenda na wanajua wanaelekea wapi in the long run huku wakizingatia hatua kwa hatua.

Sasa nyie wenzetu njaa inawasumbua kuna vitu vingi bado havipo sawa mnalilia mapato ya wenzenu wakati jinsi ya kugawanya amtaki kuongelea, democracy zenu tia maji tia maji halafu mnataka free movement of people, mkipigana huko mtuaribie na utalii wetu, mtuletee wakimbizi nani anataka kuungana na watu hao, bado ardhi kwenu shida. Ukweli wenyewe i dont see any problem with those things maana they can be sorted easily provided our neighbors embrace the concept of democracy and the politics of competition.

Something which is near but far kwa sababu za local culture and clinging to presidency, embu jiulize seriously how could FDRL gain support outside rwanda. If rwanda's population of which over 85% are hutu's, hawa watu huko ndani wangekuwa wanaside na PK kwamba FDLR wanataka kurudisha nyuma maendeleo na umoja wa rwanda, outside supporter wa hichi kikundi si wangeona aibu. Ni nyie tu ndio hamtaki kukubali ukweli wa matatizo ya viongozi wenu na umaskini unaowakabili na donge la utajiri wa tanzania.

Umesoma thread ya wa-congo kuwa trained in monduli, my take safari hii the UN forces watakaa nyuma, mwambie PK mzikii wa safari ukirudi mjue mpaka kigali you watch it, when UN moans you know the capitalist think it enough of the PK nonsense, kinachotafutwa ni legit army and a reason to invade Kigali (watch this space).

Jirekebisheni, halafu kule kwengine ukunijibu kwenyu wapi mazee.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom