Bantugbro
JF-Expert Member
- Feb 22, 2009
- 4,476
- 4,250
Cha msingi ni kuangalia jinsi ya kutumia mapato yatokanayo na utalii kwenye kuboresha huduma za jamii.....
Lakini chakufurahisha na kutia moyo ni kwamba tayari tuna uhakika wa kuongezeka kwa pato litokanalo na utalii...
Hilo ndio jambo la msingi sana...