Tanzania ranked highly as tourist destination in Africa

Cha msingi ni kuangalia jinsi ya kutumia mapato yatokanayo na utalii kwenye kuboresha huduma za jamii.....
Lakini chakufurahisha na kutia moyo ni kwamba tayari tuna u
hakika wa kuongezeka kwa pato litokanalo na utalii...

Hilo ndio jambo la msingi sana...
 
Dar es Salaam. A world renowned newspaper has selected Tanzania among 45 places for tourists to visit in 2012, saying: "Tanzania is coming into its own as an upscale safari destination".The New York Times said in its January 6 edition that Tanzania emerged number seven out of the 45 selected places to go in 2012.

Reacting to the revelation, the Tanzania Tourist Board (TTB) managing director, Dr Aloyce Nzuki, said yesterday that the selection of Tanzania among the 45 favourable destinations was a positive thing.
"We have strategies in place aimed at making Tanzania among the most favourable places to visit," said Dr Nzuki, promising to give more details today. In its article, The New York Times quoted East African travel specialists, including Hippo Creek Safaris and Abercrombie & Kent, as saying that for the last several years, the number of tourists going to Tanzania has been edging up.

"But it wasn't until several violent attacks on visitors to neighbouring Kenya that the numbers really took off, as Tanzania started to absorb skittish Kenya-bound safari seekers," said the newspaper.
It said not that Tanzania is coasting along solely on Kenya's troubles; it always had Mount Kilimanjaro, after all.
"And now other attractions are being discovered, too - places like Gibb's Farm, a small lodge from which guests can hike to the Ngorongoro Crater area, a prime destination for big game viewing," said the paper.
In addition, said The New York Times, the opening of exclusive safari reserves like the Singita Grumeti along the Serengeti plains and the upscale camps managed by Nomad Tanzania and Chem Chem are evidence that the country's tourist infrastructure is becoming more sophisticated, perhaps even catching up to Kenya's.
Apart from Tanzania, other African countries picked by The New York Times as a place to go in 2012 were Morocco that emerged number 26 and Uganda which emerged number 33.

Under its sub-title: Stability and sustainable tourism restore luster to Africa's pearl, The New York Times said marred by the murderous regime of Idi Amin in the 1970s, Uganda remained largely off the typical African safari tour map.
"But after more than two decades of relative stability under President Yoweri Museveni, the country that Winston Churchill called the "pearl of Africa" is regaining some of its allure for tourists," said the paper.
It added that while Uganda has not been without problems, including twin bombings in Kampala during the 2010 World Cup, some street clashes during political protests last year and a history of extreme antagonism toward gay people, it's still considered one of the more stable countries in sub-Saharan Africa.

The paper said the country is perhaps best known to tourists as the home of half of the world's last remaining mountain gorillas, and this year there are more opportunities to spot the elusive creatures.
The Uganda Wildlife Authority recently added two gorilla families to the groups it tracks on tours in Bwindi Impenetrable Forest, a Unesco World Heritage site in southwest Uganda, said the paper.
The paper said beyond up-close gorilla encounters, Uganda is also the source of the Nile, boasts mountains that are among the highest in Africa - the Mountains of the Moon in Rwenzori Mountains National Park - and offers formidable white-water rapids for thrill seekers.

The paper ranked Panama number one place to visit in 2012, saying it has been 12 years since Panama regained control of its canal, and the country's economy is booming.
"Cranes stalk the skyline of the capital, Panama City, where high-rises sprout one after the next and immigrants arrive daily from around the world," said The New York Times.

Jamani mtaua hii mitu naitwa nyang'au na pressure .. .... ..
 
Jamani mtaua hii mitu naitwa nyang'au na pressure .. .... ..

Waache bana hawa jamaa........ wenyewe saa hizi wala hawashughuliki na utalii....... wanamuwinda yule jamaa anayeitwa Ally wa Al-shabab anayewahamasisha vijana wa kikenya kujiunga na Al-shabab kwa lugha ya kiswahili......Na pia kasema anatangaza vita na kenya kwa sababu kenya inalivamia taifa la kiislam la Somalia.
 
Tanzania Ranked Number 7 among the The 45 Places to go in 2012​
The New York Times


A world renowned newspaper has selected Tanzania among 45 places for tourists to visit in 2012, saying: "Tanzania is coming into its own as an upscale safari destination".


The New York Times said in its January 6 edition that Tanzania emerged number seven out of the 45 selected places to go in 2012





:banana::banana::banana:




KILIMANJARO



Mount Kilimanjaro, Tanzania by Marc van der Chijs, on Flickr









Kilimanjaro Glaciers by tourdust, on Flickr





Kilimanjaro Glaciers by tourdust, on Flickr





Kilimanjaro Glaciers by tourdust, on Flickr





Kilimanjaro Glaciers by tourdust, on Flickr





Kilimanjaro Glaciers by tourdust, on Flickr


ZANZIBAR



Zanzibar on air2 by hakunamatata45, on Flickr





Zanzibar on air1 by hakunamatata45, on Flickr





Nungwi Beach by hakunamatata45, on Flickr


THE SERENGETI





Serengeti Balloon Ride by didimouman, on Flickr





Serengeti Balloon Ride by didimouman, on Flickr





Singita Sasakwa Losge by Singita Game Reserves, on Flickr





Singita Faru Faru Lodge by Singita Game Reserves, on Flickr





Singita Sabora Tented Camp by Singita Game Reserves, on Flickr







Kempinski Bilila Lodge, Serengeti, Tanzania by safari-partners, on Flickr







Kempinski Bilila Lodge, Serengeti, Tanzania by safari-partners, on Flickr









Kempinski Bilila Lodge, Serengeti, Tanzania by safari-partners, on Flickr
 
Mungu saidia matokeo ya hili likaweze kuonekana katika maisha ya mtanzania practically, kwa kumboleshea huduma muhim

Pamoja na yote hayo mbona bado tuko maskini? Raslimali nyingi za nchi hii zina nufaisha watu wachache kwa faida yao binafsi.
 
Congrats!keep it up...tourism is one of the industries with great potential to turn around any economy..though its very sensitive to small issues!! remember peace is returning to Tunisia and Egypt,..South Africa still leads in Tourist arrivals this will pose a great challange to the tourism industry at large coz this are the big boys in tourism in africa....The idea of marketing East Africa as a single destination is great plus the single visa.
East Africa needs to consider Tourism as a serious income earner,considering the peanuts invested in marketing i wonder when we will hit even a 5million tourist arrivals with the vast amazing destinations we have!!!?
 
Congrats!keep it up...tourism is one of the industries with great potential to turn around any economy..though its very sensitive to small issues!! remember peace is returning to Tunisia and Egypt,..South Africa still leads in Tourist arrivals this will pose a great challange to the tourism industry at large coz this are the big boys in tourism in africa....The idea of marketing East Africa as a single destination is great plus the single visa.

East Africa needs to consider Tourism as a serious income earner,considering the peanuts invested in marketing i wonder when we will hit even a 5million tourist arrivals with the vast amazing destinations we have!!!?

Thanks moyo....(on behalf of Tzans),
Where we are now (i.e 7th best tourist destination in the world for 2012) is not the making of EAC..... but our own efforts.... So for that note I think we can forge ahead without collective marketing East Africa as a single destination. The big boys (as you refer them) Tunisia
, Egypt and South Africa are performing good in the industry not because of collective strategy but individual. I think we can make it like those big boys who managed to do it without teaming up their strength.
 
Thanks moyo....(on behalf of Tzans),Where we are now (i.e 7th best tourist destination in the world for 2012) is not the making of EAC..... but our own efforts.... So for that note I think we can forge ahead without collective marketing East Africa as a single destination. The big boys (as you refer them) Tunisia, Egypt and South Africa are performing good in the industry not because of collective strategy but individual. I think we can make it like those big boys who managed to do it without teaming up their strength.
Hakuna nanma nzuri ya kujibu zaidi ya hapo...
 
Tanzania Ranked Number 7 among the The 45 Places to go in 2012​
The New York Times


A world renowned newspaper has selected Tanzania among 45 places for tourists to visit in 2012, saying: “Tanzania is coming into its own as an upscale safari destination”.


The New York Times said in its January 6 edition that Tanzania emerged number seven out of the 45 selected places to go in 2012





:banana::banana::banana:




KILIMANJARO



Mount Kilimanjaro, Tanzania by Marc van der Chijs, on Flickr









Kilimanjaro Glaciers by tourdust, on Flickr





Kilimanjaro Glaciers by tourdust, on Flickr





Kilimanjaro Glaciers by tourdust, on Flickr





Kilimanjaro Glaciers by tourdust, on Flickr





Kilimanjaro Glaciers by tourdust, on Flickr


ZANZIBAR



Zanzibar on air2 by hakunamatata45, on Flickr





Zanzibar on air1 by hakunamatata45, on Flickr





Nungwi Beach by hakunamatata45, on Flickr


THE SERENGETI





Serengeti Balloon Ride by didimouman, on Flickr





Serengeti Balloon Ride by didimouman, on Flickr





Singita Sasakwa Losge by Singita Game Reserves, on Flickr





Singita Faru Faru Lodge by Singita Game Reserves, on Flickr





Singita Sabora Tented Camp by Singita Game Reserves, on Flickr







Kempinski Bilila Lodge, Serengeti, Tanzania by safari-partners, on Flickr







Kempinski Bilila Lodge, Serengeti, Tanzania by safari-partners, on Flickr









Kempinski Bilila Lodge, Serengeti, Tanzania by safari-partners, on Flickr

halafu tunaendelea kufa njaa tu
 
Mkuu umefikiria suala la msingi sana..... Ongezeko la watalii nchini lionekane kwenda sambamba na ukuaji wa uchumi na maisha bora kwa kila Mtanzania...... Ikiwa hivyo itakuwa saaafi...

Hivi mmeelewa kilichoandikwa kwenye hiyo article au tunapongezana nini hapa?
Kuna sehemu imeandikwa kuwa watalii wameongezeka? Hebu rudi ukasome tena manake inashangaza wewe ndio umeanzisha mada ambayo hata wewe mwenyewe huielewi. Labda kwa kukusaidia, kilichoandikwa pale ni kuwa Tanzania ni ya 7 kwa kuvutia. Hiyo haimaanishi kuwa kuvutia huko ndio stand alone factor ya kuwafanya watalii waje kukaa gizani mara Ngeleja anapozima umeme. Tanzania inavutia hata kabla New York Times hawajasema hivyo. Na kukuongezea tu, hayo ni maneno ya New York Times na sio ya watalii.
 
Lakini beach zetu zimekaliwa na marafiki wa mafisadi na mafisadi wenyewe mpaka hiziwezi tena kuendelezwa, utalii wa holiday ya pwani baharini ndio mkubwa kuliko wa kupiga picha wanyama

Mkulu hayo ndiyo mambo ya kushughulikia...... kwanza kuainisha beach plots zote..... na jinsi ya kuzifanya ziwe na tija kwa wananchi....
 

Hivi mmeelewa kilichoandikwa kwenye hiyo article au tunapongezana nini hapa?
Kuna sehemu imeandikwa kuwa watalii wameongezeka? Hebu rudi ukasome tena manake inashangaza wewe ndio umeanzisha mada ambayo hata wewe mwenyewe huielewi. Labda kwa kukusaidia, kilichoandikwa pale ni kuwa Tanzania ni ya 7 kwa kuvutia. Hiyo haimaanishi kuwa kuvutia huko ndio stand alone factor ya kuwafanya watalii waje kukaa gizani mara Ngeleja anapozima umeme. Tanzania inavutia hata kabla New York Times hawajasema hivyo. Na kukuongezea tu, hayo ni maneno ya New York Times na sio ya watalii.

Lakini ukifuatilia vizuri michango yangu...... sijatoa hata takwimu moja inayoonesha kuwa watalii wameongezeka Tanzania.... nyt imetoa orodha na kuelezea sababu wanazofikiria kuwa zimesababisha kuwa katika nafasi hiyo...

Tafadhali naomba urejee kusoma michango yangu na nyt......
 
Apart from efforts zinazofanywa na individual companies kwenye ya utalii wakisaidiana na association yao TATO, i think is like where God heals and Dr collects the money, i cant see any serious govt efforts apart from daily subotage kwa kubadili system na policies kila siku, na unfortunately ndio wanaopewa credit.

Kama unataka kujua kwamba Government haiko serious na utalii, angalia hata hiyo development plan ya miaka 5, haina hata 'neno' tourism! Halafu leo watu wako busy kuisifu serikali. How can u over look sector inayocontribute about 18% ya GDP kwenye development plan? halafu unalamba ujiko?
 
Back
Top Bottom