Tanzania: Quotes & Our National Politics!



Mkapa watched as the marines opened the boots and bonnets of the entire presidential convoy and sidelined his security detail who were shoved and pushed like small children!

One Kenyan journalist who covered the Clinton visit overheard a Tanzanian remark.

"Umaskini ni kitu mbaya"
 
- Labda kama ungeweka makosa yao yanayofanana na ya viongozi wetu wa Tanzania, na madhara yake kwa wananchi wao, maana sidhani kama kuna tatizo kuliona hilo la matokeo ya uozo wa viongozi wetu hapa bongo?

- Mara ya mwisho nilipokuwa huko Chicago, niliona karibu barabara zote za Sate zikiwa under construction, sasa eti unasema hao viongozi wao wa Chicago hawana manufaa kwa wananchi wao? wakati bara bara zote zilikuwa zinapigwa msasa? au?

Utengenezaji wa barabara mara nyingi ni federal government inashughulikia. Nadhani umesikia karibuni gavana amekamatwa na polisi kwa sababu ya rushwa na kuuza nafasi za kazi kwa rafiki zake na watu waliomsaidia kampeni. Meya ana tabia ya kuwapa watu binafsi shughuli za kiserikali za mitaa kufanya kazi, kwa mfanio sehemu fulani ya toll road 90 East imepewa watu binafsi, hivyo kupunguza pato la jiji, hivi karibuni ameuza parking zote za jiji kwa mtu binafsi, baada ya hapo Chicago itakuwa na the highest parking rates in the union, up to $6.50 per hour, matokeo yake parking za watu binafsi nazo zitapanda, kama ulipokuwa Chicago ulipaki pale pa $20.00 perday 0r $13.00 per day pale napo patapanda maana ndiyo competition yenyewe. Sijafika Chicago siku nyingi lakini wadau wangui wanalalamika.

Kitu ninachotaka kusemna ni kuwa nadhani wanasiasa wote wanafanana kwa vitabia fulani fulani kama kupenda madaraka at any cost, au kuyatumia vibaya madaraka)

Wanasiasa wetu tatizo lao ni kuwa wanadhani hatujui, na wakikamatwa mara chache wanafikishwa mahakamani, na huko huwa wanatoka kwa kuhonga au kutumia influence nyingine.

I am waiting to see what will happen to Mramba na wenzie.
 
Utengenezaji wa barabara mara nyingi ni federal government inashughulikia.

- Federal hutoa kwa masharti ambayo State inaweza kuyakataa na kujitengenezea bara bara zake yenyewe, kwa mfano Federal inaweza kutoa sharti la kupunguzwa kwa umri wa kuendesha katika ile State ili itoe msaaada,

- State inaweza kataa na kuipeleka Federal kwenye sheria, ili kuwalazimisha watoe msaada anyways bila ku-meet zile conditions za Federal, au State kuamua kujifanyia bila msaada wa Federal,

Otherwise, nimekupata point yako na tupo ukurasa mmoja.
 
"Katiba ya nchi haitambui nafasi za ubalozi wa nyumba kumi, mabalozi wanaotambulika ni wale wanaoziwakilisha nchi zao katika nchi nyingine…zaidi ya hapo ninyi wengine ni njaa tupu,"

P. Ndesamburo, MP Moshi Mjini (CHADEMA)
 
"Umaskini ni kitu mbaya"

- Maneno mazito sana mkuu, maana ndipo hasa matatizo yetu mengi ya uongozi wa taifa na uwezo wetu wananchi kulielewa taifa letu kisiasa linapolalia, yaani kutokea kwenye umasikini wetu.
 
".. Waafrika ndivyo tulivyo.." - Author Nyani Ngabu (Member-JF).

Tunaridhika sana na mambo madogo madogo, hatubadiliki na hatupendi maendeleo ya kweli, matokeo yake tunaendelea kuwachagua viongozi wale wale wabovu tena sometimes kwa mpaka kura za 80%, ni kwa sababu ndivyo tulivyo, yaani akili yetu ni kama ya viongozi wetu, na ni olny in Tanzania tu!.

Tatizo ni kuwa nia ya kuchagua viongozi mbadala ipo. Ila inadhoofishwa na hao viongozi mbadala tunatakiwa kuwachagua. Hebu niambie, katika chaguzi zetu za Rais nani kutoka upinzani anaeelekea kuwa suitable altenative choice? Kwakweli hatujamuona. Upinzani usipokuwa makini na kutuletea chaguo thabiti, mtu anaeheshimika, anae aminika na anaefahamika kwa uwezo wake wa kuleta mabadiliko ya kweli na kuliunganisha taifa, nchi hii itaendelea kushuhudia viongozi wale wale wakichaguliwa kila siku. Wahenga wanasema, Zimwi likujualo halikuli likakwisha.
 
Tatizo ni kuwa nia ya kuchagua viongozi mbadala ipo. Ila inadhoofishwa na hao viongozi mbadala tunatakiwa kuwachagua. Hebu niambie, katika chaguzi zetu za Rais nani kutoka upinzani anaeelekea kuwa suitable altenative choice? Kwakweli hatujamuona. Upinzani usipokuwa makini na kutuletea chaguo thabiti, mtu anaeheshimika, anae aminika na anaefahamika kwa uwezo wake wa kuleta mabadiliko ya kweli na kuliunganisha taifa, nchi hii itaendelea kushuhudia viongozi wale wale wakichaguliwa kila siku. Wahenga wanasema, Zimwi likujualo halikuli likakwisha.

Mkuu Recta, heshima mbele,

- point yako ni nzito tena sana, lakini pia bado Upinzani hawajapewa nafasi ya kutuonyesha uwezo wao, binafsi ninamuamini sana Dr. Slaa kuwa akipewa nafasi anaweza kuleta mabadiliko makubwa sana, hasa kwenye the respect kwa rule of law, maana ndicho hasa kinachoniweka hapa JF ni kuona siku moja taifa langu linatawaliwa kwa sheria na haki.

However:-

- Ninaisikia hoja yako ya ubovu wa vyama vyetu mbadala, I mean ni kweli kabisa kuwa some of them vinahitaji ukarabati kweli kweli, mimi nilikuwa sivijui vizuri lakini katika muda mfupi niliokaa humu forums, nimepata angalau a small picture kwamba kuna viongozi makini wachache huko Upinzani, lakini wengi ni wale wale tu kama wetu wa CCM.

- Wa-Tanzania bado tuna kazi kubwa ya kuikubali na kuielewa demokrasia, kukubali mawazo tofauti na yetu, bado tuna tatizo sana kwenye hilo kuanzia CCM mpaka Upinzani, lakini pole pole tutafika tu.
 
Mkuu Recta, heshima mbele,

- point yako ni nzito tena sana, lakini pia bado Upinzani hawajapewa nafasi ya kutuonyesha uwezo wao, binafsi ninamuamini sana Dr. Slaa kuwa akipewa nafasi anaweza kuleta mabadiliko makubwa sana, hasa kwenye the respect kwa rule of law, maana ndicho hasa kinachoniweka hapa JF ni kuona siku moja taifa langu linatawaliwa kwa sheria na haki.

However:-

- Ninaisikia hoja yako ya ubovu wa vyama vyetu mbadala, I mean ni kweli kabisa kuwa some of them vinahitaji ukarabati kweli kweli, mimi nilikuwa sivijui vizuri lakini katika muda mfupi niliokaa humu forums, nimepata angalau a small picture kwamba kuna viongozi makini wachache huko Upinzani, lakini wengi ni wale wale tu kama wetu wa CCM.

- Wa-Tanzania bado tuna kazi kubwa ya kuikubali na kuielewa demokrasia, kukubali mawazo tofauti na yetu, bado tuna tatizo sana kwenye hilo kuanzia CCM mpaka Upinzani, lakini pole pole tutafika tu.
Kaka hapo nimeona na nakubaliana na wewe na kama wana CCM wengi wangekuwa na mawazo kama ya kwako najua Tanzania yetu ingefika mbali sana. Ila personal I RESPECT YOU IN THIS
 
Kuna visa (hadithi) viwili ambavyo vilikuwa vikisimuliwa ama mitaani hata kwenye mashule mithili ya hadithi za jioni kuhusu Mwafrika na unyonge wake. Kwa kiwango kikubwa, visa hivi vinaelemea sana kumuonyesha kuwa kauli ya "Ndivyo Tulivyo" ina uhalali!

Kisa cha kwanza; Siku moja, Mwafrika, Mwarabu, Mwasia na Mzungu walikuwa kijiweni, Mungu akaja akawaambia nina vitu vinne inabidi niwagawie, kubalianeni nani anataka nini. Vitu hivyo vilikuwa ni Utajiri, Maarifa, Biashara na Ngoma.

Basi wale wanne wakakaa wakitafakari na kujadiliana kisha kila mtu akashika alichokitaka.

Mungu aliporudi kuwahoji chaguzi zao, akakuta kila mtu kachagua kitu kimoja na hapatakuwa na ugomvi au kufanya uamuzi kupatanisha.

Mzungu akadamka, mimi nataka Akili, Mungu akawauliza wengine, je kuna mwingine kati yenu anayetaka Akili, wakasema hakuna, Mzungu akapewa Akili (Maarifa).

Mungu akasema, nani mwingine aliye tayari Mwarabu akakurupuka "nataka Utajiri" na kama wakati wa Mzungu, hakuna aliyebisha!

Mwasia akaja haraka, "Mungu mimi nataka Biashara, ili nitembee dunia nzima na kuwauzia watu vitu. Mungu akamgeukia Mwafrika, je wakubaliana na hili? Mwafrika huku akikenua meno na tabasamu akasema ndiyo mwache achukue biashara maana wote hawa wamekosea, wameiacha Ngoma ambayo ni muziki safi na ina mdundo.

Mwafrika akakimbilia ngoma yake akaikumbatia akaanza kutumbuiza huku Mzungu akitafakari nini cha kufanya, Mwarabu akiufurahia utajiri wake na Mwasia akipanga mipango ya biashara!

Mpaka leo tumeendela kukumbatia Ngoma na ndio maana tu mahiri kwenye sanaa!


Kisa cha Pili: Hiki nilihadithiwa na Mchungaji kanisani wakati wa kwenda Mafundisho ya Kipaimara. Tulimuuliza kwa nini kama Mungu ana mapenzi na alituumba kwa mfano wake,iweje kuna Wazungu, Wachina, Waafrika au Waarabu?

Jibu lake likawa ni ile laana ya mtoto wa Nuhu (aliyejenga safina)aliyemcheka baba yake kuwa uchi baada ya kulewa. Mchungaji akatuambia kuwa uzao wa yule mtoto aliyelaaniwa ndio chimbuko la Waafrika na sisi ni watu tuliolaaniwa kuwa watumwa na watumishi wa wenzetu!

Sasa kama hadithi hizi nilisimuliwa nikiwa mtoto na tukazizungumza kijiweni tutakuwa, hamuoni kuwa tayari tulishapanda mbegu ya kujiona dhaifu na wanyonge hivyo kuhalalisha dhana ya "Ndivyo Tulivyo"?


Naichukia hiyo statement niliyoi bold na nitaipinga siku zote kwa nguvu zote. Hizo ni hadithi za mapokeo ambazo zilinadiwa na wazungu kwa makusudi ya kutunyong'onyeza Waafrika!!

Kuna wazungu wangapi wafagia vyoo huko kwao, wangapi omba omba tena wakiwa kwenye nchi zenye utajiri wa kupindukia? Je hao nao tuwaite ni "Waafrika"?
 
Mkuu Recta, heshima mbele,

- point yako ni nzito tena sana, lakini pia bado Upinzani hawajapewa nafasi ya kutuonyesha uwezo wao, binafsi ninamuamini sana Dr. Slaa kuwa akipewa nafasi anaweza kuleta mabadiliko makubwa sana, hasa kwenye the respect kwa rule of law, maana ndicho hasa kinachoniweka hapa JF ni kuona siku moja taifa langu linatawaliwa kwa sheria na haki.

However:-

- Ninaisikia hoja yako ya ubovu wa vyama vyetu mbadala, I mean ni kweli kabisa kuwa some of them vinahitaji ukarabati kweli kweli, mimi nilikuwa sivijui vizuri lakini katika muda mfupi niliokaa humu forums, nimepata angalau a small picture kwamba kuna viongozi makini wachache huko Upinzani, lakini wengi ni wale wale tu kama wetu wa CCM.

- Wa-Tanzania bado tuna kazi kubwa ya kuikubali na kuielewa demokrasia, kukubali mawazo tofauti na yetu, bado tuna tatizo sana kwenye hilo kuanzia CCM mpaka Upinzani, lakini pole pole tutafika tu.


Dr. Slaa mnamtafutia matatizo tu kwa kumtaja taja kwenye kufaa kugombea urais wakati mnajua kabisa kuna watu kwenye baadhi ya vyama wanajiona wao ndio wao, hakuna mwingine anafaa kugombea urais...Kimojawapo ni CHADEMA!
 
"If there is anyone out there who still doubts that America is a place where all things are possible; who still wonders if the dream of our founders is alive in our time; who still questions the power of our democracy, tonight is your answer" - Barack Obama's victory speech!!
 
Mkuu Recta, heshima mbele,

- point yako ni nzito tena sana, lakini pia bado Upinzani hawajapewa nafasi ya kutuonyesha uwezo wao, binafsi ninamuamini sana Dr. Slaa kuwa akipewa nafasi anaweza kuleta mabadiliko makubwa sana, hasa kwenye the respect kwa rule of law, maana ndicho hasa kinachoniweka hapa JF ni kuona siku moja taifa langu linatawaliwa kwa sheria na haki.

However:-

- Ninaisikia hoja yako ya ubovu wa vyama vyetu mbadala, I mean ni kweli kabisa kuwa some of them vinahitaji ukarabati kweli kweli, mimi nilikuwa sivijui vizuri lakini katika muda mfupi niliokaa humu forums, nimepata angalau a small picture kwamba kuna viongozi makini wachache huko Upinzani, lakini wengi ni wale wale tu kama wetu wa CCM.

- Wa-Tanzania bado tuna kazi kubwa ya kuikubali na kuielewa demokrasia, kukubali mawazo tofauti na yetu, bado tuna tatizo sana kwenye hilo kuanzia CCM mpaka Upinzani, lakini pole pole tutafika tu.

Mkuu nashukuru kwa maelezo yako. Umetoa mfano mmoja tu wa kiongozi mwenye uwezo. Nani mwingine? Maana serikali haiundwi na mtu mmoja. Na je, wapo wakutosha kuhakikisha Taifa hili linakwenda vyema? Ama ndio itakuwa kuvurugana na kusukumana tu baada ya ushindi? Tanzania inahitaji watanzania kuiokoa. Bila hilo, vizazi vijavyo vyote vitatulaumu kwa kupoteza wakati na nafasi finyu ya maendeleo tunayoichezea sasa. Na lawama hizo hazitakuwa za kiitikadi.
 

"Magari haya ya kifahari yamekuwa yananunuliwa kutokana na baadhi ya watumishi (wakurugenzi) kutaka kuendana na wakati wa magari ya kifahari yaliyopo sokoni,"

-PM, Mizengo Pinda

source; Mwananchi Read News
 
"Your companions are like the buttons on an elevator. They will either take you up or they will take you down" - Author Mandela.

- Sasa hii inasema nini kuhusu rais wetu na marafiki zake, kina Rostam, Lowassa, Msabaha, Karamagi, Kingunge, Serukamba, Nchimbi, Chenge na the rest of the gang?
 
"Aliye juu, msubiri chini" -Mhenga hapo zamani...
ni misemo hii ina emphasize mtanzania hawezi kuendelea kwasababu kuna mijitu ambayo kazi yao ni kuhakikisha aliye juu (lazima ashushwe).

"Haraka Haraka haina baraka" - another obstacle to development...uvivu
 
Alipoulizwa kuhusu uwezo mdogo wa mtoto wake kuongoza US, Mzee Bush Senior alijibu:-

" You can go back to your..what do you call it?....Google, and you figure out all that"
 
"Lakini tumekubaliana
kwamba itakapofika tarehe 31 Oktoba,2008 mwisho ambaye hakulipa mpaka tarehe 1
Novemba, 2008 awe amefikishwa Mahakamani ili Mahakama itusaidie kupata fedha
za watu," - JM Kikwete.
 
"Be the change you want to see in the world."
— Mahatma Gandhi: Was a political and spiritual leader of India

You already know how to change your life: Change your ways. If you wish to lose weight — change what you eat and do. If you want to save more — change your spending habits. The very reason most of us refuse to allow our imagination to explore the possibilities of becoming rich is because we haven’t yet changed our rules and our mind. Once you find it within you to change the way you think of wealth, you’re already halfway there to having it.
 
Back
Top Bottom