Tanzania Q2 GDP growth rises to 7.2 pct v 6.1 pct

Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) imesema kuwa uchumi wa Tanzania unaendelea kuimarika baada ya kukua kwa wastani wa asilimia 7.2 katika robo pili ya mwaka 2019 kutoka asilimia 6.1 kipindi kama hicho mwaka 2018 ukichangiwa zaidi na shughuli za ujenzi, madini, habari na mawasiliano.
Kwa mujibu wa ripoti ya pato la Taifa ya robo ya pili ya mwaka 2019 (Aprili-Juni) inaeleza kuwa shughuli za ujenzi ndiyo zilikua kwa kiwango cha juu zaidi katika kipindi hicho kwa asilimia 19.6 huku zikiongoza kwa kuchangia kwa sehemu kikubwa ukuaji wa pato halisi la Taifa (Real GDP).

Jaribu kwenda kijijini kwenu then copy ulichokiandika uwaeleze wanakijiji uone kama watakuelewa
 
Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) imesema kuwa uchumi wa Tanzania unaendelea kuimarika baada ya kukua kwa wastani wa asilimia 7.2 katika robo pili ya mwaka 2019 kutoka asilimia 6.1 kipindi kama hicho mwaka 2018 ukichangiwa zaidi na shughuli za ujenzi, madini, habari na mawasiliano.
Kwa mujibu wa ripoti ya pato la Taifa ya robo ya pili ya mwaka 2019 (Aprili-Juni) inaeleza kuwa shughuli za ujenzi ndiyo zilikua kwa kiwango cha juu zaidi katika kipindi hicho kwa asilimia 19.6 huku zikiongoza kwa kuchangia kwa sehemu kikubwa ukuaji wa pato halisi la Taifa (Real GDP).
Pikeni tu, ila msisahau kupunguza moto maana uchumi unaweza ungua!
 
Safi sana NBS sasa hapo mna uhakika wa ajira zenu. Mwakani kuelekea uchaguzi fanyeni fanyeni takwimu zioneshe uchumi unakua kwa 10.1% kwa kila robo mwaka
 
Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) imesema kuwa uchumi wa Tanzania unaendelea kuimarika baada ya kukua kwa wastani wa asilimia 7.2 katika robo pili ya mwaka 2019 kutoka asilimia 6.1 kipindi kama hicho mwaka 2018 ukichangiwa zaidi na shughuli za ujenzi, madini, habari na mawasiliano.
Kwa mujibu wa ripoti ya pato la Taifa ya robo ya pili ya mwaka 2019 (Aprili-Juni) inaeleza kuwa shughuli za ujenzi ndiyo zilikua kwa kiwango cha juu zaidi katika kipindi hicho kwa asilimia 19.6 huku zikiongoza kwa kuchangia kwa sehemu kikubwa ukuaji wa pato halisi la Taifa (Real GDP).
Mambo ni motooo itafika 12%
 
Mnajisifia uchumi unaokua kwenye makaratasi! Wakati wa kuusoma huo uchumi, unamkuta ze dokta Mpango anashusha kidogo ile miwani yake, ili tumacho twake tuonekane vizuri. Mbwembwe nyingi! Ukija mtaani, mambo ni tofauti kabisa.
 
Tanzania itakuwa ni nchi.ya mwanzo ku prove theory mpya, " Economic growth is directly proportional to unemployment"
 
Watanzania wengi wanaobeza uthubutu wa JPM wataendelea kuaibika kwenye awamu hii kwa sababu moja kubwa. JPM sio mwongo na ni mfuatiliaji wa mambo, wapinzani wengi hawakubaliani naye, ndio ubinadamu huo. La msingi Tanzania inasonga mbele na huko tunakokwenda kuna mataifa makubwa yana wasi wasi sana maana sio mchezo. Kabla ya uchaguzi wa 2020 Tanzania tayari itakuwa na reserve ya Gold Bars pale BOT. Shillingi itaendelea kutengemaa na JPM amepania hadi kieleweke.

Shukrani za dhati kwa Jembe lililonolewa na chuma cha pua kutoka Chato, maana Che-nkapa alifeli akaangukia pua, JK ndio usiseme kabisa. Hapa kazi tu.
 
Fa
Hiyo figure ingekuwa ni kweli maisha yasingekuwa hivi yalivyo na hiyo source sio ya kuamini ni wazuri sana kwa ku-manipulate takwimu.

The institution is notorious for data manipulation and doctoring to give the regime the political milage. Only cretins will be duped.
Usipofanya kazi maisha yatakushinda tu
 
Fa
Usipofanya kazi maisha yatakushinda tu
Huo utakuwa ni ufinyu wa akili tu. Mtu anayefungua duka asubuhi na anafunga jioni bila ku-record mauzo yoyote utasema hafanyi kazi. Please come to your senses.
 
Of course it is moving ahead!

However, you only need to remember the query placed by IMF when they were not allowed to publish outcomes from their study of the economic performance... and the retort that was given on how Tanzania's inflated numbers were derived based on a new compilation method. The IMF's forecast was then given as 4.1% (I think)?

Therefore, based on that background, one should read the new numbers (7.2%) understanding that the figure is a result of the new calculation method.
What would be the figure using the old method?
Mleta hii hoja na Mzee Mwanakijiji
Naomba niulize kwa kiswahili mkuu.
Kama kumbukumbu zangu zipo sahihi IMF hawakusema uchumi wa Tanzania umekuwa kwa 4% kwa kipindi huska bali walisema au tuseme walitabiri(forecast) uchumi wa Tanzania utakuwa kwa hiyo 4% kwa kipindi fulani.

Taarifa hii mpya inasema uchumi umekuwa kwa 7.2% na sio utabiri bali kitu kilichotokea tayari.

Unasemaje kuhusu tofauti ya kutabiri na kilichotokea tayari?
Huoni kuwa serikali ndio ilikuwa sahihi kukataa ule utabiri, na kilichotokea ndio kimeetetea hoja ya serikali?
Nadhani hata utabiri wao(IMF) kwenye taarifa ile wa mfumuko wa bei umekwenda kinyume na kilichotokea.

IMF cuts Tanzania's 2019 economic growth forecast to 4 percent
DAR ES SALAAM, April 10 (Reuters) - The International Monetary Fund lowered its forecast for Tanzania’s economic growth this year and in 2020 to around 4 percent from a previous forecast.

In its World Economic Outlook, released on Tuesday, the Fund also predicted the East African nation’s consumer price inflation will reach 3.5 percent this year and edge up to 4.5 percent in 2020.

Tanzania’s economy will expand at 4 percent this year then accelerate slightly to 4.2 percent next year, from an estimated 6.6 percent in 2018, the Fund said in its forecasts.



In January last year, the IMF said it expected Tanzania’s economy to grow at 6–7 percent over the medium term if the country hiked capital spending and improved its business environment.

Tanzania relies heavily on mining, tourism and telecommunications for state revenues and foreign exchange earnings.

The government forecasts the economy will grow 7.3 percent in 2019 after an estimated 7.2 percent expansion last year, helped by public infrastructure investments. (Reporting by Fumbuka Ng’wanakilala; Editing by Elias Biryabarema and George Obulutsa, Catherine Evans)
 
Kama kumbukumbu zangu zipo sahihi IMF hawakusema uchumi wa Tanzania umekuwa kwa 4% kwa kipindi huska bali walisema au tuseme walitabiri(forecast) uchumi wa Tanzania utakuwa kwa hiyo 4% kwa kipindi fulani.

Taarifa hii mpya inasema uchumi umekuwa kwa 7.2% na sio utabiri bali kitu kilichotokea tayari.
'Titicomb', uko sahihi kabisa, kwamba ile 4% ya IMF ulikuwa ni utabiri, na pia tarakimu walizokuwa wametoa serikali kwa wakati ule, pia ilikuwa ni utabiri; lakini tabiri zote mbili zilikuwa ni kwa mwaka mzima. Hii 7.2% ya sasa inayoripotiwa sio ya mwaka, ni ya kipindi (nadhani nusu mwaka, au robo?). Kwa hiyo tofauti ya kwanza ndio hiyo. Bado hatujui uchumi utakuwa kwa kiasi gani baada ya kuchakata namba zote za mwaka.
Huu ukuaji wa 7.2%, ni dalili nzuri, kama pasipojitokeza tatizo kubwa katika kipindi kilichosalia na kuiporomosha namba hiyo.

Lakini tofauti kubwa kati ya 4% ya IMF na hii 7.2% ya serikali, ambayo pengine ndiyo iliyosababisha mtafaruku kati ya pande hizo mbili ni njia iliyotumika kuikokotoa hiyo 7.2%. Inasemekana (mimi sijui), kwamba serikali iliamua kutumia njia tofauti na ile iliyotumika miaka yote katika kuipata asilimia ya ukuaji wa uchumi wetu. Kwa hiyo, hizi tarakimu mbili (kwa uelewa wangu) zimepatikana kwa kutumia njia tofauti zilizotoa namba mbili tofauti. IMF wameshikilia ile njia iliyotumika siku zote, Tanzania ikaamua kutumia njia mpya.

Hili si jambo geni. Rwanda na wao wamefanya hivyo hivyo.

Huu ndio uelewa wa jambo hili. Nipo tayari kusahihishwa kama sivyo hivyo.
 
Tanzania Q2 GDP growth rises to 7.2 pct v 6.1 pct -statistics bureau


(Reporting by Fumbuka Ng’wanakilala Editing by Maggie Fick)

Huwezi ukabeza juhudi za JPM anayeongoza Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya chama shupavu cha CCM.

Hapa Kazi Tu.

===

Tanzania Q2 GDP growth rises to 7.2 pct v 6.1 pct -statistics bureau


NAIROBI, Oct 27 (Reuters) - Tanzania’s economy grew by 7.2 percent year-on-year in the second quarter of 2019, up from 6.1 percent in the same period a year ago, buoyed by growth in construction, mining and communications sectors, official data showed on Sunday.

In the first quarter of 2019, the East African nation’s GDP grew by 6.6 percent, according to the state-run National Bureau of Statistics. (Reporting by Fumbuka Ng’wanakilala Editing by Maggie Fick)

Our Standards:The Thomson Reuters Trust Principles.
Ningeziamini hizi takwimu ikiwa tu Tanzania ingekuwa inaendelea kuwa signatory wa OGP (Open Government Parrnership) au kwa Kiswahili Utendaji wa Serikali kwa uwazi. OGP ni moja ya nyenzo za kupima utawala bora na demokrasia na ni haki ya msingi kwa Wananchi wa nchi zilizo mwanachama wa UN. Tumeingia mkataba mwaka 2011 lakini mwanzoni mwa 2016 tukajitoa.

Zaidi ya hapo kuna Sheria mbaya ya Takwimu ya mwaka 2018. Kwa kweli kama hakuna chombo cha ku-vet takwimu za nchi na kila anayetaka ku test anaonekana kuvunja sheria, then hakuna haja hata ya NBS kuzitangaza.

Serikali ina pika data ya kila kitu kwa ajili ya kujipatia umaarufu wa kisiasa, pathetic!!
 
'Titicomb', uko sahihi kabisa, kwamba ile 4% ya IMF ulikuwa ni utabiri, na pia tarakimu walizokuwa wametoa serikali kwa wakati ule, pia ilikuwa ni utabiri; lakini tabiri zote mbili zilikuwa ni kwa mwaka mzima. Hii 7.2% ya sasa inayoripotiwa sio ya mwaka, ni ya kipindi (nadhani nusu mwaka, au robo?). Kwa hiyo tofauti ya kwanza ndio hiyo. Bado hatujui uchumi utakuwa kwa kiasi gani baada ya kuchakata namba zote za mwaka.
Huu ukuaji wa 7.2%, ni dalili nzuri, kama pasipojitokeza tatizo kubwa katika kipindi kilichosalia na kuiporomosha namba hiyo.

Lakini tofauti kubwa kati ya 4% ya IMF na hii 7.2% ya serikali, ambayo pengine ndiyo iliyosababisha mtafaruku kati ya pande hizo mbili ni njia iliyotumika kuikokotoa hiyo 7.2%. Inasemekana (mimi sijui), kwamba serikali iliamua kutumia njia tofauti na ile iliyotumika miaka yote katika kuipata asilimia ya ukuaji wa uchumi wetu. Kwa hiyo, hizi tarakimu mbili (kwa uelewa wangu) zimepatikana kwa kutumia njia tofauti zilizotoa namba mbili tofauti. IMF wameshikilia ile njia iliyotumika siku zote, Tanzania ikaamua kutumia njia mpya.

Hili si jambo geni. Rwanda na wao wamefanya hivyo hivyo.

Huu ndio uelewa wa jambo hili. Nipo tayari kusahihishwa kama sivyo hivyo.
Huo uchumi inapokuwa uko wapi? Mimi naona uchumi unadumaa tu. Hizo fedha anazokopa kwenye mashirika na mabenki ya kimataifa huwezi kuona impact yake leo hadi miradi iishe.

Domestic consumption imedrop drastically kutokana na Serikali kutolipa madeni ya ndani, export zimedrop kutokana na Kudorora kwa korosho na pamba. Mining sector imedorora kutokana na mgogoro wa ACACIA na malipo ya miradi ya SGR, STIGLERS na ATCL 80% ya fedha inalipwa nje.
 
Huo uchumi inapokuwa uko wapi? Mimi naona uchumi unadumaa tu. Hizo fedha anazokopa kwenye mashirika na mabenki ya kimataifa huwezi kuona impact yake leo hadi miradi iishe.

Domestic consumption imedrop drastically kutokana na Serikali kutolipa madeni ya ndani, export zimedrop kutokana na Kudorora kwa korosho na pamba. Mining sector imedorora kutokana na mgogoro wa ACACIA na malipo ya miradi ya SGR, STIGLERS na ATCL 80% ya fedha inalipwa nje.

Sasa huo uchumi unakuwa kwenye chupi zenu? Daaadadeki
'Huihui2'
"Sasa huo uchumi unakuwa kwenye chupi zenu"?

Hili umelitoa wapi, mbona halihusiani kabisa na mada iliyopo hapa? Ni sehemu ipi nilipotetea au kukosoa kukua kwa uchumi - hebu nieleze.
Busara ni kama utaelewa nilichokuwa najadili, utaniomba radhi kwa mstari wako huo.
 
'Huihui2'
"Sasa huo uchumi unakuwa kwenye chupi zenu"?

Hili umelitoa wapi, mbona halihusiani kabisa na mada iliyopo hapa? Ni sehemu ipi nilipotetea au kukosoa kukua kwa uchumi - hebu nieleze.
Busara ni kama utaelewa nilichokuwa najadili, utaniomba radhi kwa mstari wako huo.
I am sorry,will go back and edit.
 
Back
Top Bottom