La deki 2 lingebeba abiria 200.Labda ni basi la deki mbili hilo au?
Kuna mengine hata sehemu ya kukanyaga inakuwa hakuna.Du me najua basi nyingi max kama abiria 65 sasa hao 30 waliozidi walikaa vp humo ndani? Mkuu wa usalama barabara ni wa tbr ajiuzulu tu kwa manufaa ya umma!
na sisis abiria wewe unaona gari limejaa bado unapanda ili iweje..watanzania tunajidai tunajua kuwahi sana mfano niko kwenye hiace hapa badala ibebe 16 inabeba 25..
na sisis abiria wewe unaona gari limejaa bado unapanda ili iweje..watanzania tunajidai tunajua kuwahi sana mfano niko kwenye hiace hapa badala ibebe 16 inabeba 25..
na sisis abiria wewe
unaona gari limejaa bado unapanda ili iweje..watanzania tunajidai
tunajua kuwahi sana mfano niko kwenye hiace hapa badala ibebe 16 inabeba
25..
Mkuu issue iko hivi wanao siama pesa huwa haimfikii mwenye basi ni pesa ya dereva na koda na hukimbiza ili ampite alioko mbele ili aweze kupata wale abiri wa njiani mfano basi lina toka dar basi vichwa vinavyopandia same, moshi kwenda Arusha ni pesa ya dereva na konda wake sasa kama ataendesha taratibu wenzake siatawabeba hao abiria....kama unaenda mbeya kutoka Arusha abiria wanao pandia kuazia moro,iringa mpaka moro ni pesa ya dereva...nikupe kisa kimoja kuna siku nilikuwa natoka mafikanga ni kapanda hood ya Moro tukiwa njiani nikawa naomba ticket yangu konda anazuga nitakupa hakuna shida. tulipo fika Moro barabara ya kwenda mzumbe chuoni, Basi likasimamishwa na marakatokea meneja wa mabasi wa HOOD. moja kwamoja akaomba kitabu na kuanza kupitia abiria mmoja baada ya mwingine alipo maliza alikuta abiri 14 hawana ticket na bado kuna wengine walishukia Iringa, konda kuulizwa akaanza kujikanyaka..hivyo kuna tatizo lingine la wengi kutokudai ticket na wakati mwingine makonda wana ticket fake ndiyo maana hawa hawa watu ukiwatishia kuwapeleka mbele ya vyombo vya sheria watataka muya malize ama ukupe seat au pesa yako.Mkuu kwa ujumla hili suala linahitaji uelewa. kuna baadhi ya NJIA ZINA MAHITAJI MAALUMU kwani kuna abiria wengi, lakini mabasi ni machache hasa hizi barabara za vifusi. halafu ukumbuke hali ya maisha nayo inawafanya watu wasafiri huku na kule kujitafutia riziki, katika hali kama hii inafika sehemu unalazimika kusimama kwenye gari, ili uwahi mishe zako.
Ni ngumu kuwalaumu sana abiria, sanasana labda tuwalaumu hawa wenye mabasi kwa nini huwa wanakubali kupandisha abiria zaidi kwenye gari wakati anajua siti zimeenea?? ok, tuseme labda anataka kipato zaidi, SAWA, lakini bado unakuta mabasi yenyewe hayana SERVICES za uhakika, magurudumu yamechakaa hapohapo tena anakwenda mwendokasi mkali, yaani we acha tu.
Kwa kweli, mi nadhani kwenye hili BUSARA zaidi ndo inahitajika. kuzuia tu watu kusimama, haitoshi maana kwa njia zenye miundombinu duni, mabasi ni machache abiria ni wengi, hivyo kuzuia tu utatesa watu.
USHAURI WANGU KWA SERIKALI: Hizi NJIA ZENYE MAHITAJI MAALUMU, zitambuliwe, halafu waweke kiwango maalumu cha mwendokasi, na mabasi yanayotoa huduma yakaguliwe mara kwa mara. Ila kusema eti level seat tu, haitasaidia.
Ila kwa suala ma-traffic, duh!! hili naona kama lilishashindikana, labda kwa Tanzania ijayo ya mwaka 2040..na kuendelea.
Level seat inawezekana kwa njia zenye lami tu, maana kuna mabasi mengi ya kutosha.
Usikute alipakiwa bure hivyo hana ubavu wa kukemea...katika hali hiz me huwa naona ni lazima kutoa taarifa kwa vyombo husika lakini pia kushuka kwenye hilo basi hasa unapohis hakuna dalili za kuchukua hatua, ikiwa ni pamoja na kuwashusha abiria waliozid,its so sad that among the deceased is police constable kheri of tabora police station.
La deki 2 lingebeba abiria 200.
...Bora ingekuwa hivyo...abiria walijaa kwenye viti na waliobaki walisimamishwa line mbili mnapeana migongo then mnashika bomba. Na kuna soldier alikuwemo humo alimwambia dereva mwendo ni mkali jamaa akampotezea na mwisho wa yote ndio hivyo na dereva kala chocholo!!!..Labda ni basi la deki mbili hilo au?
La deki 2 lingebeba abiria 200.
kha..we unashangaa 95, mi nilipanda toka mbeya kuja mwanza na mnyama sabena tulikuwa kama 120 hivi
Ajali basi la SABENA huko Tabora laua 17, yajeruhi 78. Hivi Tz kuna basi linaweza chukua watu 95? askari kwa nini wasiwajibike? Source ITV