Tanzania ni nchi ya Mazezeta?

Lukolo

JF-Expert Member
Dec 2, 2009
5,143
3,196
6524006_orig.jpg 2426191_orig.jpg 3334948_orig.jpg

Hivi inawezekanaje hasa hadi majirani zetu watuchezee namna hii? A Kenyan tea, halafu inaitwa Tanzania, pamoja na ramani ya Tanzania na twiga ambaye ni alama ya Tanzania? Hivi kweli hawa wenzetu wanaweza kuuza bidhaa zao kwa kutumia vivutio vyetu kwa style hii? I once saw a Kenyan Coffee with a name Kilimanjaro, nikashangaa sana, sasa naona wamevuka mipaka hadi kuziita product zao kwa jina la Tanzania.
 
View attachment 107734 View attachment 107735View attachment 107736

Hivi inawezekanaje hasa hadi majirani zetu watuchezee namna hii? A Kenyan tea, halafu inaitwa Tanzania, pamoja na ramani ya Tanzania na twiga ambaye ni alama ya Tanzania? Hivi kweli hawa wenzetu wanaweza kuuza bidhaa zao kwa kutumia vivutio vyetu kwa style hii? I once saw a Kenyan Coffee with a name Kilimanjaro, nikashangaa sana, sasa naona wamevuka mipaka hadi kuziita product zao kwa jina la Tanzania.

Hata sisi tuwafanye wao mazezeta kwa kuweka jina lao Kenya kwenye bidhaa zetu kama itasaidia.
 
Wanaofanya hadi nchi hii kusema ni ya mazezeta wanajulikana nafikili wao ndo ungesema mazezeta kuliko kusema nchi yote kiujumla, maana mimi mwananchi wa kawaida nitafanyaje kama wahusika wa kushugulikia hili wapo na hawatekelezeji wajibu wao.
 
Wanaofanya hadi nchi hii kusema ni ya mazezeta wanajulikana nafikili wao ndo ungesema mazezeta kuliko kusema nchi yote kiujumla, maana mimi mwananchi wa kawaida nitafanyaje kama wahusika wa kushugulikia hili wapo na hawatekelezeji wajibu wao.
Wasomi wa Tanzania wakishakuwa mazezeta,si watu wote wanahesabika hivyo?


Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
hii ishu ni very sensitive sema watawala wetu wako busy kutoa amri za kupiga watu risasi hatutapatiwa majibu yoyote yale
 
Usihofu mkuu baada ya KATIBA MPYA kupita mwakani hilo jina la TANZANIA tutalizika rasmi, sasa wakianza kuziita bidhaa zao kwa jina letu halisi la TANGANYIKA tutatangaza kuwatimua wakenya wote nchini kama tulivyowafanya Wanyarwanda.

Hii nchi tunaishi bora liende tu, Nobody cares on anything just Selfishness and Greedy is all our leaders cares about.
 
Wanaofanya hadi nchi hii kusema ni ya mazezeta wanajulikana nafikili wao ndo ungesema mazezeta kuliko kusema nchi yote kiujumla, maana mimi mwananchi wa kawaida nitafanyaje kama wahusika wa kushugulikia hili wapo na hawatekelezeji wajibu wao.

...kwani ishu ya wanyaruanda imeisha, tulikuwa bize kidogo mazee...
 
Roho ya dhuluma na uchoyo imezidi Tz tusilaumu!
Ila dunia hii ina wenyewe kama upo mbali nao kisera imekula kwako tazama ya Zimbabwe binafsi sishangai ya Kenya maana ni kama colony ya Queen nyie mnadhani German waliposhindwa WWII walishindwa peke yao-Basi ni vema tukubari ushauri wa JK "Ukitaka kula Kubali na wewe uliwe"wenzetu Tangu uhuru wao ndo sera(Ref.NOT YET UHURU by Odinga)
 
View attachment 107734 View attachment 107735View attachment 107736

Hivi inawezekanaje hasa hadi majirani zetu watuchezee namna hii? A Kenyan tea, halafu inaitwa Tanzania, pamoja na ramani ya Tanzania na twiga ambaye ni alama ya Tanzania? Hivi kweli hawa wenzetu wanaweza kuuza bidhaa zao kwa kutumia vivutio vyetu kwa style hii? I once saw a Kenyan Coffee with a name Kilimanjaro, nikashangaa sana, sasa naona wamevuka mipaka hadi kuziita product zao kwa jina la Tanzania.

si busara hata kidogo kutuita mazezeta, ungewaita waliokabidhiwa dhamana kuwa ni mazezeta, sio vinginevyo. ss sio mazezeta na hatutakuwa mazezeta ndio maana hata ww umeona kuwa ni kitu cha aibu sana

kibiashara wanaitangaza TZ siku tutakapoacha ufisadi na kuzlisha kahawa yetu tutakuwa maarufu kuliko kenya yenyewe
 
Na wao waliotake advantage wamo humu ngoja waseme ila mi sio zezeta(ni exclude please).Ngoja kwanza tumalizane na CHADEMA tutashughulikia hilo baadae
 
Wanaofanya hadi nchi hii kusema ni ya mazezeta wanajulikana nafikili wao ndo ungesema mazezeta kuliko kusema nchi yote kiujumla, maana mimi mwananchi wa kawaida nitafanyaje kama wahusika wa kushugulikia hili wapo na hawatekelezeji wajibu wao.
Andamana!! Haya mambo mwenye nguvu ya kuyabadilisha ni mwananchi. Wazir akiwa ni boya, basi mtegemee kwamba yeye atawabadilishia mambo. Na wakati mwingine si rahisi kwa waziri kujua kila kinachoendelea. Na hasa ukizingatia kwamba idara ya usalama wa taifa imegeuka NGO ya watu fulani. Wananchi ndiyo tunatakiwa tuone haya na kuyapigia kelele. So tumeona, ni wajibu wetu kuandamana sasa kuyapinga.
 
si busara hata kidogo kutuita mazezeta, ungewaita waliokabidhiwa dhamana kuwa ni mazezeta, sio vinginevyo. ss sio mazezeta na hatutakuwa mazezeta ndio maana hata ww umeona kuwa ni kitu cha aibu sana

kibiashara wanaitangaza TZ siku tutakapoacha ufisadi na kuzlisha kahawa yetu tutakuwa maarufu kuliko kenya yenyewe
Tanzania ina kahawa nzuri sana, ina chai nzuri sana! Chai bora na kilimanjaro tea kwa mfano ni product ambazo zina ubora wa hali ya juu. Lakini tatizo la wabongo, hatuna hata muda wa kuzimarket kimataifa. Zinauzwa Dar es salaam tu. Hawa wenzetu wanakuja kubeba chai yetu bongo kwa bei nafuu, wanaipaki upya na kuiita chai ya Kenya au kahawa ya Kenya. Kenya hawakuwahi kuwa na kahawa nzuri kama ya Tanzania. Tuna bahati mbaya tu kwamba watanzania uzalendo hakuna wote tu ni mazezeta. hakuna hata mmoja anayesikia kuumizwa na yanayoendelea. Wewe na mimi ni mazezeta tu, unless we are able to change!
 
Back
Top Bottom