Traxtion
JF-Expert Member
- Dec 10, 2021
- 7,579
- 15,463
Hapa ndio nyumbani, hapa ndio nilikozaliwa na kukulia. Hii ndio ardhi pekee najivunia nayo
Samia, CCM na machawa wako wote ni takataka mbele ya Tanzania. Polisi wako wauaji, mafisadi wenu wote na huyo Chande, ni takataka mbele ya Tanzania
Kamwe msije mkadhani hii ardhi inamilikiwa na CCM, nyinyi ni genge la wahuni vilaza tu lililotokea tu kuwa ndani ya Tanzania
Mtakufa, na Tanzania mtaiacha. Nchi iliyowalea ndio leo hii mnaifanyia ubaya, mnadhani nyinyi ndio mnaimiliki mbwa nyie
Haijalishi mtaua kiasi gani, haijalishi mtateka kiasi gani, bado hamuimiliki Tanzania. CCM itakufa, Tanzania itabaki milele. Nyinyi ni matako tu mbele ya Tanzania, ghasia 🚮🚮
Samia, CCM na machawa wako wote ni takataka mbele ya Tanzania. Polisi wako wauaji, mafisadi wenu wote na huyo Chande, ni takataka mbele ya Tanzania
Kamwe msije mkadhani hii ardhi inamilikiwa na CCM, nyinyi ni genge la wahuni vilaza tu lililotokea tu kuwa ndani ya Tanzania
Mtakufa, na Tanzania mtaiacha. Nchi iliyowalea ndio leo hii mnaifanyia ubaya, mnadhani nyinyi ndio mnaimiliki mbwa nyie
Haijalishi mtaua kiasi gani, haijalishi mtateka kiasi gani, bado hamuimiliki Tanzania. CCM itakufa, Tanzania itabaki milele. Nyinyi ni matako tu mbele ya Tanzania, ghasia 🚮🚮