Na revenue itaongezekawajenge tu hivyo viwanda tatizo la ajira litapungua
Hizo ni soga za single mother kwa wake za watu kuwarubuni waachike wafanane naosiku hizi hutawaliwi kisiasa bali kiuchumi. wanakupa a feeling kwamba upo in control, kumbe ni kikaragosi wao sema wameficha nyuzi.
kwanini usijifunze kuendesha?Mkuu unahakika mm ni 'Me'?
BTW msome Kete Ngumu hapo juu ukishaelewa jiulize hivi:
Umezawadiwa gari la biashara, kama unajua kuendesha mwenyewe utapata faida kubwa, la km huwezi kuendesha mapato utagawana na dreva wako, lakini ni bora kuliko likae ndani
Safia saana, Wizara inatakiwa kupanga mikakati kuwanoa watanzania kwani wanatabia za; kulaklamika, kutaka kipato bila kufanya kazi; kutwa kusingizia ugonjwa au kuuguliwa; kutokujituma kazini kutwa kweye JF na mitandao mingine ya kijamii; yaani full kulalamika ; kutotambua kuwa watakapozalisha ndio mishahara inapopatikana. Semina elekezi inahitajika. Wizara inayohusika tafadhali inijumuishe kuandika mitaala hiyo!Tanzania ni kati ya nchi nne ambazo Serikali ya China imeahidi kufanya ‘kufuru’ ya uwekezaji wa viwanda.
=======
Dar es Salaam. Tanzania ni kati ya nchi nne ambazo Serikali ya China imeahidi kufanya ‘kufuru’ ya uwekezaji wa viwanda.
Hayo yamebainika kwenye kongamano la wachumi na wadau wa biashara kati ya China na Tanzania, Kenya na Afrika Kusini ambalo lilijadili fursa na changamoto zilizopo kwenye sekta hiyo.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa, ambaye alikuwa anafungua kongamano hilo, amesema uamuzi wa kuiteua Tanzania ulifanywa kwenye mkutano uliofanyika mapema mwaka huu nchini Afrika Kusini.
Amesema katika mkutano huo ambao Tanzania iliwakilishwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, China iliamua kushirikiana na nchi za Afrika Kusini, Kenya na Tanzania kujenga uchumi wa viwanda.
Chanzo: Mwananchi
Jamani hivi kwani ni Mara ya kwanza mnayasikia maneno kama hayo?Salary Slip hapendi habari hizi, Tanzania mpya inakuja mkuu, Tanzania ndio nyumbani kwako, love it
Uwe mwelewa, tumechelewa sana hiki ni kipindi pekee cha kipimo chetu kuona tunavyoweza kusimamia uwekezaji nchini na kujifunza kupitia kwa wawekezaji haokwanini usijifunze kuendesha?
Tena kiwanda cha wachina.. Mshahara nadhani ni elfu sabiniHIZO KAZI ZA VIWANDANI MSHAHARA LAKI MOJA NGOJA TUSUBIRI TUONE
Ila kiukweli Mchina sio Rafiki Wa Mwafrica.
Viwanda vya Kichina na bidhaa za Kichina ndio vitu vinavyotumiwa USA,EU,UK na nchi nyinginezo zilizoendelea.Viwanda vya kichina na bidhaa za kichina haziaminiki
Wafanyabiashara wenu ndio standards wanazoenda kuagiza. low standards.Kabisa..!! Ubora za bidhaa zao, hata wakitengeneza viwanda hapa nchini, WACHINA sio kabisa...!! Very very low qualities goods watatutengenezea WAAFRIKA...!!
Chinese, kwa bidhaa za kutumika Africa, wanauza za very very low qualities...!! China hapana...!!
Kabisa..!! Ubora za bidhaa zao, hata wakitengeneza viwanda hapa nchini, WACHINA sio kabisa...!! Very very low qualities goods watatutengenezea WAAFRIKA...!!
Chinese, kwa bidhaa za kutumika Africa, wanauza za very very low qualities...!! China hapana...!!
Jamani suruhu!!!!
Uko sawia inakera sana hii hali na bado hatutaki kujielewa kwa makusudi kbs watz tunaushabiki wakipimbi sana.Laana inasababishwa na
1. Kuminya demokrasia (kuziba midomo RAIA)
2. Wizi na uchu wa madaraka, kurithishana nyazifa na vyeo.
Matokeo ya laana ni
1. Mtu akitengeneza gobore unamfunga badala ya kumwendeleza
2. Kujengewa viwanda vya toothpaste, Sindano, Tecno, mishumaa n.k
2. Kutegemea wazungu kwa kila kitu ikiwemo kuchimba vyooo
Hii ni sura ya AFRIKA.