Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,190
- 128,264
Nchi 4 bora za kufyonzwa.
Hapa ndio uwezo wako wa kufikiri ulipoishia?Pimbi wee, kamwambie mkeo aache kukuzoea.
Kaulize ulaya watakuhadithia ni kwa kiasi gani China kateka soko lao lote, sema wewe na vipesa vyako vya kuhazima ndo huwaelewi wachina
Unanini cha kufanya nikuzoee?huna jipya !na bado! roho mbaya imekukaa! hama nchi kama hutaki! ebo!
Pimbi wee, kamwambie mkeo aache kukuzoea.
so ww jinsia gani sasa?Mkuu unahakika mm ni 'Me'?
BTW msome Kete Ngumu hapo juu ukishaelewa jiulize hivi:
Umezawadiwa gari la biashara, kama unajua kuendesha mwenyewe utapata faida kubwa, la km huwezi kuendesha mapato utagawana na dreva wako, lakini ni bora kuliko likae ndani
Kwani we jina lako nani hasaso ww jinsia gani sasa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tunaukaribisha sana uwekezaji wao.JAPAN wanajenga kiwanda cha magari soon 2017,China tunaomba nao wajenge karakana YUTONG hapa na Techno na si viwanda vya matoi na sahani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usipende kunizoea
FRANK nawewe je?Kwani we jina lako nani hasa
Shida moja magari yatakayotengenezwa Bongo yatakuwa gharama kuliko Yale ya kuagiza nje.Tumejifunza kwenye bidhaa nyingine kama SukariTunaukaribisha sana uwekezaji wao.JAPAN wanajenga kiwanda cha magari soon 2017,China tunaomba nao wajenge karakana YUTONG hapa na Techno na si viwanda vya matoi na sahani.
Shida moja magari yatakayotengenezwa Bongo yatakuwa gharama kuliko Yale ya kuagiza nje.Tumejifunza kwenye bidhaa nyingine kama SukariTunaukaribisha sana uwekezaji wao.JAPAN wanajenga kiwanda cha magari soon 2017,China tunaomba nao wajenge karakana YUTONG hapa na Techno na si viwanda vya matoi na sahani.