Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,100
- 5,649
Misaada tunaweza tukaachana nayo hata dakika hii ila sio mikopo, kwani mikopo ina matatizo gani? misaada haitufai kwa sababu inaambatana na nguvu fulani za kuwafumba midomo viongozi wetu kusimamia maslahi ya taifa letu wakati wafanyabiashara kutoka kwa mataifa hisani wanapokuwa na business interests hapa kwetu na states zao pia. mikopo si tunarudisha bwana na sio lazima tukope kutoka ulaya wala america serikali inaweza ikakopa hata hapa hapa nchini.