kula kwa tindo
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 1,330
- 323
- Thread starter
- #21
Mkuu umenisoma hasa.. Wewe ndiye mlengwa wa kuchangia hii mada,kwani una AKILI timamu...
Mtoa mada amezingatia 'Utegemezi'...mfano bajeti yetu more or less 40% inatoka kwa wahisani. Hao wamerekani na nchi nyingine zilizoendelea wanajitosheleza na bajeti zao.