Mtoa mada natumaini wengi hawajamuelewa,hapa kunawengine tumesha anza siasa.Mikopo ni muhimu sana katika kuleta maendeleo,tena nchi jajiri na kubwa ndiyo zinaongoza kwa mipoko,ila hazipewi misaada.Nijinsi gani tutakavyo weza kutumia miko na misaada ili tusiwe tegemezi wa misaada? Na si tegemezi wa mikopo