Tunang'an'gania misaada na kusifu matokeo ya misaada, na ifike siku tuone aibu kujivunia misaada na hapo ndipo kweli tutaenda mbele. Tujifunze kuona aibu kwa vya bure na tusivitukeze. Hivi kwa nini hua hatuna aibu! Sasa hivi ujuzi wa kuomba misaada imekuwa ni SIFA KUBWA TANZANIA.
Mimi nadhani hata wote tungejua kuandika ama kusoma, chini ya CCM hamna maendeleo kwani sera zao zinalenga utegemezi na ufisadi wakati Nyerere ndiye aliyeweka misingi imara ya CCM kukubalika na wadanganyika.
Mimi nadhani hata wote tungejua kuandika ama kusoma, chini ya CCM hamna maendeleo kwani sera zao zinalenga utegemezi na ufisadi wakati Nyerere ndiye aliyeweka misingi imara ya CCM kukubalika na wadanganyika.