GE2025 Tanzania mmenifurahisha, Samia aondoke la sivyo akikamatwa atatafunwa kama karanga. Tumechoka na hawa CCM

GE2025 Tanzania mmenifurahisha, Samia aondoke la sivyo akikamatwa atatafunwa kama karanga. Tumechoka na hawa CCM

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Field Marshall 11

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2024
Posts
1,018
Reaction score
1,707
Tumechoka na huyu Samia na wapumbavu wenzake, Huyo hana hata ile elimu ndogo ya form IV, amefeli kama walivyofeli police wake wauaji, wafiraji na wabakaji. Leo mmetutambua kuwa enough is enough, ameshaharibu na hatutaishia hapo, serikali ya CCM imetunyanyasa sana.....tumechoka.
Niwatahadharisha tu, polisi mkipiga risasi wananchi! Tutajibu mapigo kwa nguvu hiyo hiyo, msidhani tunashindwa kupigana........Tutapigania haki zetu.....Siku zote haki hushinda!
Hatuogopi lolote, mmeanzisha nyie serikali na CCM, mmeona Sudan, RSF na serikali, RSF imechukua sehemu kubwa ya nchi. Mnataka tufike huko?
Ushauri wangu, Samia hufai tena, umepoteza legitimacy ya kuongoza nchi yetu, ondoka tena haraka sana, nakukumbusha tu yale yaliyompata Sergeant Samuel Doe, usije yakakupata wewe, ukijifanya mkaidi tutaendelea kujitolea hadi uhuru na haki yetu ipatikane.

Pia wewe Samia, Abdul, Wanu, Rajab Mapete, Lukuvi, Bushungwa, Madelu Nchemba, Masauni, Majaliwa, VP Mpango, Makonda, Mafwele, Sirro, IGP Wambura, CDF Nkunda, Palamagamba Kabudi, Attorney general, Chief Justice, Tulia Ackson, Musukuma, Director wa TISS, na wengineo mjiandae kwenda ICC kujibu mashtaka. Lazima mlipe damu ya watanzania zaidi watanganyika zaidi ya 340 mliowaua na kutupa maiti zao baharini au mlizozichoma. MTALIPA YOTE MLIYOYAFANYA.
 
JWTZ wamalize kwanza hii shughuli. Wawaondoe hawa mafisadi na wauaji madarakani.

Hadi sasa Mungu ametusaidia
 
Nimefurahi sana kuona turnout ndogo sana kwenye huo uchafuzi.

Hahaaaa safi sana Watanzania.

Samia hana kabisa legitimacy.
 
Old School Ngabu
Upo kama kinyonga
Nipo kama kinyonga kivipi ilhali miaka na miaka humu JF nime advocate watu kuzisusia hizo chaguzi?

If anything, Nimekuwa consistent kuhusu hilo kwa zaidi ya miaka 20! Toka enzi za Youngafrican.com.

Watu mna kumbukumbu fupi sana.

Turnout ndogo ya huu upumbavu uitwao uchaguzi kwenye mazingira ya sasa ni music to my ears.

Nituhumu kwa jingine lakini si hilia watu kususia uchaguzi.
 
Back
Top Bottom