'Tanzania Military' ni nani?

'Tanzania Military' ni nani?

P J O

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2024
Posts
241
Reaction score
315
Kwa wenyeji wa Dar Es Salaam Kwa miezi kadhaa sasa tumeshuhudia mabasi mapya kabisa ya Kijeshi jijini, na yana nembo kubwa imeandikwa "Tanzania Military".

Jeshi la Tanzania linafahamika kama JWTZ au TPDF (Jeshi la Wananchi wa Tanzania).

Je, ni kosa la kiufundi au?
 
Tulia wewe, jeshi la nchi lipo salama chini Amri Jeshi Mkuu💪
1000018737.jpg
 
Kwa wenyeji wa Dar Es Salaam Kwa miezi kadhaa sasa tumeshuhudia mabasi mapya kabisa ya kijeshi jijini, na yana nembo kubwa imeandikwa "Tanzania Military".

Jeshi la Tanzania linafahamika kama JWTZ au TPDF (Jeshi la Wananchi wa Tanzania).

Je, ni kosa la kiufundi au?
Hapo tatizo liko wapi? Hata wangeandika "Tanzania Force" aina shida, Military ni neno pana hata JWTZ imo Police nk......lugha ndo inakusumbua mmekalilishwa maneno hamtaki shule za kulipia mnakomaa na St kayumba.
 
Kwani wenzetu wanafanyaje Tudese!

Swali kwanini wameandika Kidhungu? Tunayoita Lugha Adhimu na Tukufu imekosa mvuto??
 
Hapo tatizo liko wapi? Hata wangeandika "Tanzania Force" aina shida, Military ni neno pana hata JWTZ imo Police nk......lugha ndo inakusumbua mmekalilishwa maneno hamtaki shule za kulipia mnakomaa na St kayumba.
Hujui unalosema, Kila taasisi Ina utambulisho wake. Leo ukiona logo ya TRA alafu chini imeandikwa LATRA utasema ni kitu kile kile
 
Mi nimeshaona gari za JW zimeandikwa Military police na sijaona shida. Military police ni idara ya polisi ndani ya jeshi?
Military police inafahamiaka, sawa na idara mbali mbali ndani ya JWTZ ila hili ni jina linaloweza ashiria jina la jeshi letu ila si jina la jeshi letu
 
Kwa wenyeji wa Dar Es Salaam Kwa miezi kadhaa sasa tumeshuhudia mabasi mapya kabisa ya kijeshi jijini, na yana nembo kubwa imeandikwa "Tanzania Military".

Jeshi la Tanzania linafahamika kama JWTZ au TPDF (Jeshi la Wananchi wa Tanzania).

Je, ni kosa la kiufundi au?
Si kosa la kiufundi, military ni moja tu nchi hii
 
Pale nyumbu kwanini wasitengeneze mabus kama haya Kwa ajali ya Askari wetu baadala ya kununua?

Hizi bus za kisasa hatari kwa vyombo vya usalama, ni rahisi kuwa chipped na kutumika kwa ajili ya spying.

Tungeanza kupunguza utegemezi wa baadhi ya military facilities na hardware na baadala yake tungeanza kuwa tunatengeneza wenyewe.

Kuunda bodi na chasis sio kazi, sidhani kama nyumbu wangeshindwa, tungeagiza engine kutoka weichai au hata man etc pure mechanical, mechanical gearboxes, na differentials halafu tunaagiza nyingine as spares lakini ni kwa ajili ya kustudy (copy and paste) na kuanzia hapo watalaam wetu wanaanza kufyatua zakwetu wenyewe.

Pale liganga Kwa kuanzia tungeanza kuchimba kile chuma Kwa ajili ya malitary hardware tu, na kila kwenye copper tungefanya hivyo na wahusika ni hao hao wanajeshi, hiko chuma kingetumika kutengeneza vifaa vya kijeshi tu.
 
Kumbuk jeshin hatuna wakin Dr. Na Phd nazan tumeelewa tunavyoziona plate number 🚏
 
Back
Top Bottom