Tanzania kwa vimwana iko juu

Tanzania kwa vimwana iko juu

misnomer

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2011
Posts
203
Reaction score
69
Vipi hapo

jack2.jpg
 
Mbona sio natural? nywele za kizungu, rangi ya kiarabu? au kachangia?
 
kweli uzuri upo machonimwa anaetizama.
sasa huyu si wakawaidatu!
 
acheni matamaa jamani, ukiona kizuri kula na wenzio...:A S-rose:
 
Mbona sio natural? nywele za kizungu, rangi ya kiarabu? au kachangia?

halafu JF bana huyu asubuhi alikuwa Senior member saa hizi tayari kawa JF SENIOR EXPERT MEMBER??khaaa...mi ndo maana nataka tuwe tunapigia kura watu kuwa sijui expert members hapa...Watu tunapiga thread hapa mwaka wa 5 sasa lakini hatupigwi promo wala nini...kuna siku hata hiyo JF founder sijui tutapiga kura hapa...mshanitibua ma MODs ngoja nikagonge valuuu tu nije kumalizia hasira kwa mama gaude
 
halafu JF bana huyu asubuhi alikuwa Senior member saa hizi tayari kawa JF SENIOR EXPERT MEMBER??khaaa...mi ndo maana nataka tuwe tunapigia kura watu kuwa sijui expert members hapa...Watu tunapiga thread hapa mwaka wa 5 sasa lakini hatupigwi promo wala nini...kuna siku hata hiyo JF founder sijui tutapiga kura hapa...mshanitibua ma MODs ngoja nikagonge valuuu tu nije kumalizia hasira kwa mama gaude
kweli ni noma siku 12 tu post 250?
 
halafu JF bana huyu asubuhi alikuwa Senior member saa hizi tayari kawa JF SENIOR EXPERT MEMBER??khaaa...mi ndo maana nataka tuwe tunapigia kura watu kuwa sijui expert members hapa...Watu tunapiga thread hapa mwaka wa 5 sasa lakini hatupigwi promo wala nini...kuna siku hata hiyo JF founder sijui tutapiga kura hapa...mshanitibua ma MODs ngoja nikagonge valuuu tu nije kumalizia hasira kwa mama gaude
Umejualiza pengine anachokizungumza ni point tupu na wewe tangu ujiandikishe ulikuwa unazungumza pumba tupu??? Ama kweli akili si nywele kila mtu anazake.
 
Too artificial...plus photoshop...times fake pose=....
 
Mbona kama ma-make ups yamekuwa mengiii!!!!! WALA SIO MBONGO NATURAL HUYO.......AMEJITENGENEZA SANA BWANA....
 
Mh haya yote mapendekezo ila mie kwa macho yangu na wala sio miwani hapa kuna asilimia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom