PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,724
Kwa taarifa ya habari ya saa 2 usiku, Tanzania imechaguliwa kuwa msuluhishi wa mgogoro wa Ivory Coast, ikiungana na nchi zingine 5, baada ya juhudi mbalimbali za jumuia ya kimataifa kushindwa.
Hayo yamesemwa na Waziri wa ushirikiano wa kimataifa, Bernard Membe, mara baada ya ujumbe wa rais JK kuwasili nchini wakitokea AddisAbaba-Ethiopia.
My take:
Ni vituko hivi.
Sielewi ni vigezo gan vinavyotazamwa ili kui'award nchi jukumu hilo.
Naomba nielekezwe.
Hayo yamesemwa na Waziri wa ushirikiano wa kimataifa, Bernard Membe, mara baada ya ujumbe wa rais JK kuwasili nchini wakitokea AddisAbaba-Ethiopia.
My take:
Ni vituko hivi.
Sielewi ni vigezo gan vinavyotazamwa ili kui'award nchi jukumu hilo.
Naomba nielekezwe.