katika harakati za kuunga mkono uvamizi wa marekani kwa IRAN tanzania imejikuta ikiunga mkono marekani kutokana na mahusiano yake ya karibu na marekani, Tanzania pia imeahidiwa kupata gawio la mafuta kama wakifanikiwa kuiangusha Iran, mikakati hiyo imekamilishwa kwenye ziara ya Bush na jk amekubali kushirikiana na marekani bega kwa bega