MzeeKipusa
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 2,706
- 4,923
Straight to the point;-
Sasa hivi katika Taifa letu la Tanzania, bila kuwa na connection au kitu cha kutoa ili nawe upewe...ni vigumu sana kuwa na maisha mazuri.
Watu wamekuwa wabinafsi sana sana;-
GEITA inaongoza kwà ubinafsi ( Ukienda kwenye mji huu bila maelekezo maalum, asee utateseka sana / wanaishi kwà kujuana na kwà kubaguana)
Sasa hivi katika Taifa letu la Tanzania, bila kuwa na connection au kitu cha kutoa ili nawe upewe...ni vigumu sana kuwa na maisha mazuri.
Watu wamekuwa wabinafsi sana sana;-
GEITA inaongoza kwà ubinafsi ( Ukienda kwenye mji huu bila maelekezo maalum, asee utateseka sana / wanaishi kwà kujuana na kwà kubaguana)