Tanzania kuadhimisha miaka 100 ya Julius Kambarage Nyerere

Akija Khalid huna amani
shakra huyo niwako rahasana
 
Mzee Mohamed .
.naomba kufahamu kwa nia njema tu.

Kipi kilichokufanya uwe unatembea sehemu zote hizo ulimwenguni na katika sekta ya elimu hasa ?

Nitafurahi ukinijuza juu ya hilo.

Maana nilitoka kibaha hadi Kariakoo kwenye duka la vitabu kwenda kununua kitabu chako cha Maisha na Nyakati ya Abdulwahid Sykes .

Basi kuna Mzee mmoja naye ni muislamu nami mkristo alikipenda kitabu basi nikampa kama zawadi .
 
Unahangaika aisee

Usipokuwa makini utakufa kwa msongo wa mawazo
Huku ukiacha familia yako masikini

Achana na hizi mambo, umri wako ushaenda sasa
Huyu ni mwana mikakati, anatumia nyuma ya pazia kusukuma Agenda na kuuza vitabu vyake.

Utawasikia Uamsho, Sheikh Ponda, Sheikh Ilunga Hussein huwa wanakuwa front lakini anayechora ramani na kusukuma Agenda Ni huyu mzee.

Ukisikia Agenda za kutaka kwenye Dodoso la Sensa kuwe na kipengele cha dini, ujue Hawa ndio Wana mikakati.

Mfano, Wakishajua waislamu wako wangapi. Kama ni pungufu maana yake wataanzisha kampeni ya kuzaliana kea fujo na kuoa wake zaidi ( kumbuka Hawa watu Hawaamini kwenye uzazi wa mpango ).

Wakishakulipa wengi wanaanza kuutumia huo wingi KISIASA. Kulazimisha kila wanachotaka na kuweka madarakani watu wao wote KIDINI na hapo nchi lazima itavurugika.

Ukitaka kujua zaidi Hawa watu wasome, soma mpaka Azimio La Abuja.
 
Thanks for this.
P
 
Thanks for this.
P
eo April 13, ni siku ya kumbukumbu ya miaka 100 ya kuzaliwa Kwa muasisi wa Taifa Letu, Tanzania.

Najiunga na Watanzania wenzangu kuadhimisha siku hii kwa kutembelea mabandiko mbalimbali ya kujikumbusha kuhusu shujaa huyu na Baba wa Taifa Letu.

Wengine wanakuenzi Kwa mawazo, Kwa kuikubali falsafa yako.

Wengine wanakuenzi Kwa maneno Kwa kuzungumzia Kwa mazuri yako.

Na tuko sisi tunaokuenzi Kwa vitendo Kwa kuitekeleza Dira na Dhima yako ya Rushwa ni adui wa haki, sitatoa wala kupokea, hivyo niligombea kuomba kuteuliwa kugombea nafasi fulani bila kutoa hata senti moja, na matokeo yake ni niliambulia patupu.

Pamoja na kutoka kapa Kwa kukuunga mkono Kwa vitendo, bado tutaendelea kukuenzi Kwa mawazo, maneno na vitendo kupitia kwenye kalamu yangu.

Nimalize Kwa swali hili, jee viongozi wetu wa kisiasa, wanamuenzi Mwalimu Nyerere kiukweli ukweli kabisa au wanazuga tuu?.

Happy Birthday Mwalimu Nyerere.
Pascal Mayalla Snr
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…