augustino ameri
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 267
- 57
Watu wanapoteza maisha kwa kukosa dawa na matibabu lakini pia tuna shule zenye wanafunzi wengi,maabara hakuna wala vitabu na walimu waliochoka kati ya hizi huduma mbil ni mtaj wa kisiasa je kipi kitolewe bure?