Hivi nyie mnaomlaumu kocha kwamba kapanga wachezaji wa simba mbona wachezaji wa simba walikuwa watano tu na hao wengine tisa hamujaona kama ni wa timu zingine, au mchezaji gani aliyeachwa nje angeingia angeweza kuisaidia timu? Nyie watu wa Yanga hamfai kabisa, ndo maana mtangazaji alisema shame on you Yanga fans, yanashabikia Zimbabwe kwa sababu wamevaa njano, kwa kweli njano imewatawala sana, siku wakivaa nyekundu sijui mtaendelea kuwashangilia.