PostGE2025 Tanzania: Kikundi cha uasi kimeanzishwa tayari? Wanajiita Tanzania Freedom Fighters (TFF). Ni hatari sana

PostGE2025 Tanzania: Kikundi cha uasi kimeanzishwa tayari? Wanajiita Tanzania Freedom Fighters (TFF). Ni hatari sana

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Scared

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
10,847
Reaction score
17,503
Nimeona video kiongozi wa kikundi Cha uasi Cha kutetea raia akitoa tamko dhidi ya serikali haramu ya tanzania hususani kwawataja sana polisi aisee kumeanza kuchangamka ni moto hii ni screenshot video ipo kwenye hiyo page Instagram ni moto kiongozi ameomba wananchi wakipokee Kwa mikono miwili na kinaitwa Tanzania freedom fighters (Tff) NB: moderator naomba msifute huu Uzi sababu nilichopost ni Cha ukweli 100%

 
Ndo matokeo ya vyombo vya dola kugeuzwa mazezeta kulinda maslahi ya kikundi cha watu wachache badala ya maslahi ya Taifa na Wananchi.

Tumeongea na kuonya sana tukaonekana wapuuzi. Leo tunaenda kule kule walipochagua Congo na Mataifa mengine.

Mchawi wa maendeleo ya kweli kwa hili Taifa ni Tiss na vyombo vya ulinzi na usalama kwa kukubali kugeuzwa mapoyoyo na wanasiasa hasa ccm kwa maslahi yao ya kisiasa na ufisadi.
 
Ninachokiona safari hii vyombo vya ulinzi na usalama hawatofanikiwa kuyazima makundi haya ya uasi kama walivyofanikiwa MKIRU.
Sababu kundi hili haliendi kugusa raia, wanaharakati wa awamu hii wanatoka dini zote.
Mauaji yalikuwa makubwa na ya kikatili sana.
Ukandamizaji umekithiri, rushwa imekithiri.
Ubadhirifu mali za umma umekithiri.
Wataungwa mkono na wananchi karibu 80%.
Tusiotaka vita tumebaki njia panda tukiwa na hofu kubwa.
 
Ninachokiona safari hii vyombo vya ulinzi na usalama hawatofanikiwa kuyazima makundi haya ya uasi kama walivyofanikiwa MKIRU.
Sababu kundi hili hakiendi kugusa raia, wanaharakati wa awamu hii wanatoka dini zote.
Mauaji yalikuwa makubwa na ya kikatili sana.
Ukandamizaji umekithiri, rushwa umekithiri.
Ubadhirifu Mali za umma umekithiri.
Tusiotaka vita tumebaki njia panda tukiwa na hofu kubwa.
Hatari sana mkuu
 
Back
Top Bottom