MJENGA
JF-Expert Member
- Nov 18, 2012
- 884
- 848
Tanzania Kama yalivyo mataifa mengine ya Afrika tunajitambua na kujitofautisha na mataifa mengine ya magharibi Kwa kuwa na Mila, tamaduni Na desturi za kistaarabu zinazoweka mipaka ya mahusiano ya jinsi Na jinsia. Kiafrika ni mwiko na laana mwanaume Kwa mwanaume ama mwanamke Kwa mwanamke kuwa na mahusiano ya kimapenzi. Sisi kwetu mahusiano sahihi ni kati ya mwanaume Na mwanamke Na tena wasio Ndugu.
Utamaduni wa mahusiano ya jinsi Na jinsia moja ni uchafu Na dhambi Na laana Mbele za Mwenyezi Mungu. Ni utamaduni wa kimagharibi waliokwisha laaniwa siku nyingi wansubiri kwenda motoni tu.
Inauma Na kushangaza sana kuina eti kweli makonda amekosa sapoti ya watanzania kupinga ushenz na uchafu huu ambao ni wazi unatychafua kama Taifa.
Nilitegemea viongozi wa sink na Watu wrote wenye dhamana ya malezi ya kiroho waungane na Makonda kupigana vita hii takatifu. Chaajabu Makonda ameonekana mzushi tu na mtafuta kiki kwa kuanzisha vita hii.
Ni rai yangu kuwa hata kama si kupitia agenda ya Makonda, sisi kama Taifa tunao wajibu wa kukilinda kizazi kijacho cha Taifa hili dhidi ya ushoga na usagaji.
Ni wito wangu kwetu sote tuamke tumbane na hii vita. Potelea mbali tukose misaada michafu yenye laana kutoka Kwa mashoga na masagaji lakini tuilinde heshima yetu ya kiafrika na pia tujiepushe na laana ya Mwenyezi Mungu.
Kupitia hapa, nimetimiza wajibu wangu na nimenawa mikono yangu si miongoni mwa ya wale watakaohukumiwa Kwa kunyamaza kimya wakati sodoma na ghomora ikilinyemelea Taifa letu.
Karibu nawe utimize wajibu wako Kwa kupaza sauti hapa.
Ushoga na usagaji haukubariki Tanzania na Afrika Kwa Ujumla. Kama wanataka wakulane wenyewe huko huko sheeeeeeeeeiiiiiiinz!
Utamaduni wa mahusiano ya jinsi Na jinsia moja ni uchafu Na dhambi Na laana Mbele za Mwenyezi Mungu. Ni utamaduni wa kimagharibi waliokwisha laaniwa siku nyingi wansubiri kwenda motoni tu.
Inauma Na kushangaza sana kuina eti kweli makonda amekosa sapoti ya watanzania kupinga ushenz na uchafu huu ambao ni wazi unatychafua kama Taifa.
Nilitegemea viongozi wa sink na Watu wrote wenye dhamana ya malezi ya kiroho waungane na Makonda kupigana vita hii takatifu. Chaajabu Makonda ameonekana mzushi tu na mtafuta kiki kwa kuanzisha vita hii.
Ni rai yangu kuwa hata kama si kupitia agenda ya Makonda, sisi kama Taifa tunao wajibu wa kukilinda kizazi kijacho cha Taifa hili dhidi ya ushoga na usagaji.
Ni wito wangu kwetu sote tuamke tumbane na hii vita. Potelea mbali tukose misaada michafu yenye laana kutoka Kwa mashoga na masagaji lakini tuilinde heshima yetu ya kiafrika na pia tujiepushe na laana ya Mwenyezi Mungu.
Kupitia hapa, nimetimiza wajibu wangu na nimenawa mikono yangu si miongoni mwa ya wale watakaohukumiwa Kwa kunyamaza kimya wakati sodoma na ghomora ikilinyemelea Taifa letu.
Karibu nawe utimize wajibu wako Kwa kupaza sauti hapa.
Ushoga na usagaji haukubariki Tanzania na Afrika Kwa Ujumla. Kama wanataka wakulane wenyewe huko huko sheeeeeeeeeiiiiiiinz!