Semilong
JF-Expert Member
- Mar 5, 2009
- 1,712
- 219
nasema TZ ikiendelea kulala kama argentina basi itafika siku tutaambiwa kuwa ZNZ siyo ya kwetu.
waingereza wameanza kuchimba mafuta falklands wakati argentina wakiwa wamelala.
mfano mzuri ni china wamewapush waingereza out of hongkong na wame declare dalai lama kama ni separatist.
wakati umefika wa serikali kumdeclare kiongozi yeyote wa kisiasa ambaye anataka kuvunja muungano separatist.
nasema tena tanganyika eneo lake ni kubwa sana na pia eneo la bahari ni kubwa sana kwa hiyo ni haki kuwa maji ya bahari yote na ardhi ya znz ni yetu.
waingereza wameanza kuchimba mafuta falklands wakati argentina wakiwa wamelala.
mfano mzuri ni china wamewapush waingereza out of hongkong na wame declare dalai lama kama ni separatist.
wakati umefika wa serikali kumdeclare kiongozi yeyote wa kisiasa ambaye anataka kuvunja muungano separatist.
nasema tena tanganyika eneo lake ni kubwa sana na pia eneo la bahari ni kubwa sana kwa hiyo ni haki kuwa maji ya bahari yote na ardhi ya znz ni yetu.