Tanzania iwe kama China na sio kulala kama Argentina, ZNZ ni yetu

usitegemee kwa nchi ambayo haiwekezi katika elimu wakawa na wataalam wa kutosha. hakuna mipango madhubuti.acha wachimbe na watachimba tu hayo mafuta
 
Hivyo mnataka kutwambia tukaitawale zanzibar sio kisa oil!!!! What a bunch of loosers and pathetic nincamputs!!!!! Dhahabu na gesi, uranium na almasi mumewapa wazungu sasa mnataka mkawaonee wazanzibar Tanzania haitakalika mshkaji!!!
Hili ni bonge la dongo kwa hiyo serikali ya Tanganyika. Nimeipenda sana.
 
nasema TZ ikiendelea kulala kama argentina basi itafika siku tutaambiwa kuwa ZNZ siyo ya kwetu.
waingereza wameanza kuchimba mafuta falklands wakati argentina wakiwa wamelala.
mfano mzuri ni china wamewapush waingereza out of hongkong na wame declare dalai lama kama ni separatist.

wakati umefika wa serikali kumdeclare kiongozi yeyote wa kisiasa ambaye anataka kuvunja muungano separatist.
nasema tena tanganyika eneo lake ni kubwa sana na pia eneo la bahari ni kubwa sana kwa hiyo ni haki kuwa maji ya bahari yote na ardhi ya znz ni yetu.
Hiki kitakua KIJUKUU na Mwalimu,,Lakini kwa taarifa yako haya babu yako alikua na ndoto hizo hizo na alishindwa mpaka kajiondokea
Hapo juu umepewa ushauri mzuri "RUDI MWITUNI UKASTEREHE" huna hadhi ya kuishi katika jamii hii ya leo
 
kama vipi tuoe mademu wa kipemba wote tuwalete bara.tutakuwa tumemaliza kila kitu.
mr froast upo?
Huo unaitwa uchimvi.

Pili kufikiria kuwa Zanzibar ni mali ya Tanganyika ni kujizonga kimawazo, kwani historia inapingana na nadharia hii.Zanzibar ni taifa kongwe zaidi ya Tanganyika, sasa nahisi kama Zanzibar ndio milki yake eneo lote la mwambao.

Huo ndio ukweli japo mnajaribu kuukimbia...mie nakushaurini wadanganyika mkafanya concentration zenu kulinda kwanza huo mlima wa Kilimanjaro.

Mupige kampeni ya kubadili ulimwengu wajue kuwa mlima huo haupo Kenya, hadi wazungu boys wote wawe wanakuja TZ moja moja.

Mukimaliza hapo endeleeni na kurekebisha hizo rasili mali zenu mulizonazo ili mabilioni yasichotwe.

Zanzibar itakuumizeni vichwa vyenu bure, hivi tayari ishaanza kuwakoroga kwa kuwazalishieni wakimbizi for the 1st time.

Yaani munanimaliza, hivi munajifananisha kama na ilivyokuwa Soviet vile.Ati Zanzibar ni mali yetu, tuna jeshi letu kule Zanzibar kama hamuna habari...mukileta kokoro tunatosa jwtz wote kwenye maji :cool:
 
Back
Top Bottom