Thubutuuuu!Najua mabalozi hawa hawawezi kufanya walichofanya bila kupata kibali cha Mawaziri wao wa Mambo ya Kigeni.
Lakini sasa imetosha,haya mataifa yanaingilia sana mambo ya ndani ya Tanzania,tena bila kukoma.
Walishapewa maelekezo kwamba kama wana hoja wawasiliane na Wizara ya Mambo ya Nje ya Tanzania, bado wanakiuka.
Kama kuna watu wanaonewa, hao watu si watanzania na wanashindwa nini kwenda mahakamani.
Nashauri Balozi za Uingereza na Marekani zifungwe, mabalozi wapewe saa 24 waondoke
Hahahah najua hauko serious. You are just joking.Najua mabalozi hawa hawawezi kufanya walichofanya bila kupata kibali cha Mawaziri wao wa Mambo ya Kigeni.
Lakini sasa imetosha,haya mataifa yanaingilia sana mambo ya ndani ya Tanzania,tena bila kukoma.
Walishapewa maelekezo kwamba kama wana hoja wawasiliane na Wizara ya Mambo ya Nje ya Tanzania, bado wanakiuka.
Kama kuna watu wanaonewa, hao watu si watanzania na wanashindwa nini kwenda mahakamani.
Nashauri Balozi za Uingereza na Marekani zifungwe, mabalozi wapewe saa 24 waondoke
Bavicha wanaitana makamanda lakini ni waoga kweli kweli wa njaa yaani wapo tayari kuuza utu kwa kubadilishana na chakula.
Unafikiri ni rahisi kama unavyofikiri?Tanzania haina ujanja huo kwani hao watu bado tunawahitaji sanaNajua mabalozi hawa hawawezi kufanya walichofanya bila kupata kibali cha Mawaziri wao wa Mambo ya Kigeni.
Lakini sasa imetosha,haya mataifa yanaingilia sana mambo ya ndani ya Tanzania,tena bila kukoma.
Walishapewa maelekezo kwamba kama wana hoja wawasiliane na Wizara ya Mambo ya Nje ya Tanzania, bado wanakiuka.
Kama kuna watu wanaonewa, hao watu si watanzania na wanashindwa nini kwenda mahakamani.
Nashauri Balozi za Uingereza na Marekani zifungwe, mabalozi wapewe saa 24 waondoke
Common sense is not common.Najua mabalozi hawa hawawezi kufanya walichofanya bila kupata kibali cha Mawaziri wao wa Mambo ya Kigeni.
Lakini sasa imetosha,haya mataifa yanaingilia sana mambo ya ndani ya Tanzania,tena bila kukoma.
Walishapewa maelekezo kwamba kama wana hoja wawasiliane na Wizara ya Mambo ya Nje ya Tanzania, bado wanakiuka.
Kama kuna watu wanaonewa, hao watu si watanzania na wanashindwa nini kwenda mahakamani.
Nashauri Balozi za Uingereza na Marekani zifungwe, mabalozi wapewe saa 24 waondoke