johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,944
- 141,920
Demokrasia siyo tu kufanya mikutano na maandamano kama Chadema wanabyoamini bali demokrasia ina maana pana.
Kitendo cha Tundu Lisu kuruhusiwa kuja kugombea urais wa JMT akitokea nchini Ubelgiji na kisha alipofeli akaruhusiwa kuondoka kwa amani kunaonyesha jinsi tulivyokomaa kisiasa.
Tundu Antipas Lisu ndiye mgombea pekee wa urais aliyexunguka nchi nzima kufanya kampeni 2020 na kwa sababu za kutojulikana sana hasa vijijini aliambulia 13% ya kura zote na kushika nafasi ya pili akitanguliwa na JPM wa CCM aliyepata 84%
Kitendo cha Tundu Lisu kuruhusiwa kuja kugombea urais wa JMT akitokea nchini Ubelgiji na kisha alipofeli akaruhusiwa kuondoka kwa amani kunaonyesha jinsi tulivyokomaa kisiasa.
Tundu Antipas Lisu ndiye mgombea pekee wa urais aliyexunguka nchi nzima kufanya kampeni 2020 na kwa sababu za kutojulikana sana hasa vijijini aliambulia 13% ya kura zote na kushika nafasi ya pili akitanguliwa na JPM wa CCM aliyepata 84%