msaka..msakapesa
Member
- Jul 16, 2014
- 21
- 1
Teh teh teh teh....
Itapendeza ukitoa hoja bila matusi tupac wa mwakaleli.
Duh! hatari. Sasa ndio kizazi akina kadoda11 Bulldog Geza Ulole wanalea. Hakika kwa mwendo huu naona bado shughuli ipo na tena sana.
lakini angalau diamond platinumz ni mmojawapo ya top ten best artists in the world kwa sasa
umeufunga mjadalamtu kazaliwa nchi imefunikwa na barafu anamlisha mtu kazaliwa nchi ina almasi,dhahabu,uranium,shaba,makaa ya mawe,weather ya kuchagua,ardhi yenye rutuba..............who has highest IQ between the two???
Yaani Israel ya 34?Huu utafiti wamefanya akina Benson Bana nini?
Anyway IQ sio hoa saana.
Bse wapo waliokuwa na IQ ya maana wanaimis use na tunaendelea kuumia tuu
nijuavyo iq inamfanya mtu awe na busara na ushawishi kwa binadamu wengine.mbona israel hawako hivyo ni viburi na bangi bangi kitu kinachowafanya waishi kwa mashakamashaka. Kuwa wa 34 ni saizi yao.mkuu mimi nlijua israel ndo best,huu utafiti ni batili
lakini angalau diamond platinumz ni mmojawapo ya top ten best artists in the world kwa sasa
Katika sample walizokuwa wanapima hizo IQ ni wewe.
Huhitaji hata kupima ili kujua IQ ya watanzania. Fanya uchunguzi wa maisha na harakati za watu. Kwa mfano:
1. Vipindi vya TV vyenye mvuto kwa jamii (orijino komedi)
2. Mashujaa, wanasiasa na mastaa maarufu (Kina Lulu, Kikwete na marehemu Karumba)
3. Matibabu yanayoaminika na wengi (Kikombe cha babu na maruhani)
4. Maandiko yanayosomwa na wengi: (Magazeti ya uswahili uswahili na imani za kishirikina)
5. ........
6.......
7......
.......
ah wapiiii!!!lakini angalau diamond platinumz ni mmojawapo ya top ten best artists in the world kwa sasa
Hizi takwimu walizipata kwa kupima marais.Nina uhakika na hili kabisa