thetallest
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 8,256
- 9,085
- Thread starter
- #61
Tatizo la wenzetu wanafikiri tunampotosha,sisi lengo letu asitumbukie kwenye mtego,wao wanampamba ili aangamie kwa kujiona yupo sawaSisi ni wengi sana na tupo organized kuliko unavyodhani, si kwakumkwamisha Mh. Rais bali kumpa msaada kwa maendeleo na faida ya nchi yetu kwa ujumla na wala siyo faida binafsi......Hakuna namna nchi hii itarudi kwenye ule utopia wa kufikirika ambapo makampuni hewa yaliletwa na makuwadi wao......Tumshauri Mh. Rais kwa uaminifu pasipo kumtumia ili azidi kuwa na confidence na maamuzi yake.......Kuweni makini sana na huo upambe nuksi usio na faida kwa nchi yetu
...Yes I repeat kama tuliweza kwanza hatutashindwa tena mara hii ni rahisi zaidi kuliko ilivyokuwa hapo kwanza.