Tanzania inatakiwa iuze unga wa mahindi nje ya nchi, ni muda muafaka Sasa kulisimamia hilo tusililie kupeleka mahindi Kenya

Soko la mahindi tulizembea hapo katikati mpaka sasa hivi Zambia nao wamekua wazalishaji wakubwa kupitia wale wazungu waliotimuliwa Zimbabwe sasa hivi DRC wanategemea mahindi kutoka Zambia na wanapeleka Malawi kupitia Chipata huko tena hizo Nchi ni wavivu unaenda unga kabisa wangetoa Kodi kwenye mashine za kukoboa ndogo na kubwa na pia kupata vibali vya nembo ingekua rahisi na haraka hakuna sehemu unga hautakiwi ni vile tunatengenezeana mazingira magumu hayo maroli ya kubeba unga au mahindi Kodi ipo juu sijui huwa mnafikiria nini punguzeni Kodi kwenye baadhi ya vitu mtapata pesa baada ya kuuza mazao kwa wakati...
Ushauri unaimiza sana huu.
 
Kuhusu mahindi yetu kuwa Yana sumu au hayana sumu, mamlaka husika zihakiki ubora huo kwenye viwanda maalum vya kusaga mahindi yetu vitakavyo kuwa vimeidhinishwa angalau kila mkoa. Vilevile madawa yenye sumu yadhibitiwe yasiweze kumfikia mkulima ikiwa ni pamoja na kutoa elimu kwa wakulima wetu namna ya Bora ya kuyakinga mazao yetu na sumu tukianzia shambani, ukweli ni kwamba baadhi ya mahindi yetu ni kweli yanatia wasiwasi, mahindi yanasagwa lakini bado harufu ya madawa haitoki kwenye unga, ili litazamwe kwa kweli.
Kaka mbona mahindi huwa yanauzwa huko, kuna wakati huwa nashinda hapa national milling company nmc iringa sometimes huwa wanapakia had semi 15 kwa siku na zote huwa zinabeba unga zinapeleka Sudan ....no fact no right to speak buraza
 
Kaka mbona mahindi huwa yanauzwa huko, kuna wakati huwa nashinda hapa national milling company nmc iringa sometimes huwa wanapakia had semi 15 kwa siku na zote huwa zinabeba unga zinapeleka Sudan ....no fact no right to speak buraza
Post #10 imefafanua vizuri Hili Jambo ipitie uitafakari vizuri
 
Nchi nyingine hasa zilizoendelea ndio wakali kweli kuhusu aflatoxins, uliza watu walijaribu kusafirisha karanga, korosho, au ngano .....badala ya kufikiri tunaonewa tungetatua changamoto ya hii sumu kuvu ...tuelimishe wakulima jinsi ya kuhifadhi mazao ya nafaka maghalani.
 
Aisee ugali kula wa mahindi uliolima mwenyewe ila wa kununua kwa mangi utakufa na saratani
Ngoja nitaanza kuwasiliana na home wanitumie kwa basi.

Nakumbuka nimetoka bush mara ya kwanza nakuja town, nilishangazwa sana nilipoenda dukani. Nilikuta WANAUZA UNGA WA UGALI. Dah home IR yaani uuze unga wa ugali wakati kila mtu analima dah. Labda Iringa town.
 
Kuhusu mahindi yetu kuwa Yana sumu au hayana sumu, mamlaka husika zihakiki ubora huo kwenye viwanda maalum vya kusaga mahindi yetu vitakavyo kuwa vimeidhinishwa angalau kila mkoa. Vilevile madawa yenye sumu yadhibitiwe yasiweze kumfikia mkulima ikiwa ni pamoja na kutoa elimu kwa wakulima wetu namna ya Bora ya kuyakinga mazao yetu na sumu tukianzia shambani, ukweli ni kwamba baadhi ya mahindi yetu ni kweli yanatia wasiwasi, mahindi yanasagwa lakini bado harufu ya madawa haitoki kwenye unga, ili litazamwe kwa kweli.
Mwaka huu mbeya watakoma. Mahindi yamekubali soko hakuna ili yasibunguliwe na dumuzi itabidi yapigwe sumu ya kutosha yakiwa ghalani kwa muda usiojulikana.piga ALUMINUM PHOS.
 
Kuhusu mahindi yetu kuwa Yana sumu au hayana sumu, mamlaka husika zihakiki ubora huo kwenye viwanda maalum vya kusaga mahindi yetu vitakavyo kuwa vimeidhinishwa angalau kila mkoa. Vilevile madawa yenye sumu yadhibitiwe yasiweze kumfikia mkulima ikiwa ni pamoja na kutoa elimu kwa wakulima wetu namna ya Bora ya kuyakinga mazao yetu na sumu tukianzia shambani, ukweli ni kwamba baadhi ya mahindi yetu ni kweli yanatia wasiwasi, mahindi yanasagwa lakini bado harufu ya madawa haitoki kwenye unga, ili litazamwe kwa kweli.
Habari Mkuu kumbuka sumu inayozungumziwa na kuleta joto la zuio la mahindi ya Tanzania siyo hizo unazosema wewe.
sumu inayotajwa ni "mycotoxins"inayotokana na ukungu unaosababishwa na kuvu (fungi)..sumu hiyo huweza kupenya hata sehemu za ndani za nafaka.

Madhara ya sumu hiyo ni kwamba inaweza kuua, na pia inaweza kusababisha magonjwa mfano saratani na udhohofu wa kinga ya mwili.
Ushauri ulioutoa ni mzuri lakini suala la uchambuaji wa nafaka kabla ya kuzihifadhi na uhifadhi mzuri wa nafaka ni masuala ya muhimu zaidi kupambana na kuvu.

Naambatanisha picha za mahindi yaliyoshambuliwa na kuvu hapa chini.
 

Attachments

  • download.jpeg
    download.jpeg
    9.6 KB · Views: 1
  • download (1).jpeg
    download (1).jpeg
    8.7 KB · Views: 2
  • download (6).jpeg
    download (6).jpeg
    8.2 KB · Views: 3
  • download (7).jpeg
    download (7).jpeg
    9.4 KB · Views: 3
  • download (8).jpeg
    download (8).jpeg
    9.4 KB · Views: 3
Kuhusu mahindi yetu kuwa Yana sumu au hayana sumu, mamlaka husika zihakiki ubora huo kwenye viwanda maalum vya kusaga mahindi yetu vitakavyo kuwa vimeidhinishwa angalau kila mkoa. Vilevile madawa yenye sumu yadhibitiwe yasiweze kumfikia mkulima ikiwa ni pamoja na kutoa elimu kwa wakulima wetu namna ya Bora ya kuyakinga mazao yetu na sumu tukianzia shambani, ukweli ni kwamba baadhi ya mahindi yetu ni kweli yanatia wasiwasi, mahindi yanasagwa lakini bado harufu ya madawa haitoki kwenye unga, ili litazamwe kwa kweli.
Mahindi yanauzwa hata na Marekani, bado soko la mahindi ni kubwa kuliko soko la unga
 
Back
Top Bottom