Tanzania inakuwa kwa kasi kwasababu ya amani na utulivu

Sep 13, 2023
35
46
Maendeleo makubwa ya kisekta yaliyoshamiri kila kona ya nchi, ni kwasababu ya Amani na Utulivu uliopo.
Mipaka iko salama chini ya vyombo imara vya ulinzi na usalama.

Uhuru wa maoni, habari, haki, demokrasia, upendo, usawa, utengamano, umoja na mshikamano miongoni mwa wa Tanzania ndio hasa chimbuko na kichocheo kikuu cha hatua kubwa za kimaendeleo ya watu na vitu zilizofikiwa katika nyanja mbalimbali za kijamii, kisiasa, kiutamaduni, technolojia na uchumi.

Serikali iko imara na moja katika mihimili yake madhubuti.
Utawala bora, utawala wa sheria, uwazi na uwajibikaji ndani ya srikali vimebaki kua dira na nyenzo muhimu katika katika kutekeleza sera, mipango na mikakati ya serikali katika kuwafikishia wananchi maendeleo kirahisi katika maeneo yao.

Hata nchi inapoelekea kwenye chaguzi ndogo na chaguzi kuu mwaka 2023-25, bado ongezeo la watalii na wawekezaji wa nje na ndani, wameendelea kumiminika nchini kufurahia utalii na fursa za uwekezaji zilizopo katika maeneo mabalimali ikiwa ni pamoja huduma, viwanda na biashara, na hivyo kuchochea ukuaji wa uchumi, miundombinu na ajira rasmi na zisizo rasmi kwa vijana.

Yote haya ni kwasamabu ya AMANI NA UTULIVU.

Mungu Ibarikai Tanzani na watu wake.
 
Maendeleo makubwa ya kisekta yaliyoshamiri kila kona ya nchi, ni kwasababu ya Amani na Utulivu uliopo.
Mipaka iko salama chini ya vyombo imara vya ulinzi na usalama.

Uhuru wa maoni, habari, haki, demokrasia, upendo, usawa, utengamano, umoja na mshikamano miongoni mwa wa Tanzania ndio hasa chimbuko na kichocheo kikuu cha hatua kubwa za kimaendeleo ya watu na vitu zilizofikiwa katika nyanja mbalimbali za kijamii, kisiasa, kiutamaduni, technolojia na uchumi.

Serikali iko imara na moja katika mihimili yake madhubuti.
Utawala bora, utawala wa sheria, uwazi na uwajibikaji ndani ya srikali vimebaki kua dira na nyenzo muhimu katika katika kutekeleza sera, mipango na mikakati ya serikali katika kuwafikishia wananchi maendeleo kirahisi katika maeneo yao.

Hata nchi inapoelekea kwenye chaguzi ndogo na chaguzi kuu mwaka 2023-25, bado ongezeo la watalii na wawekezaji wa nje na ndani, wameendelea kumiminika nchini kufurahia utalii na fursa za uwekezaji zilizopo katika maeneo mabalimali ikiwa ni pamoja huduma, viwanda na biashara, na hivyo kuchochea ukuaji wa uchumi, miundombinu na ajira rasmi na zisizo rasmi kwa vijana.

Yote haya ni kwasamabu ya AMANI NA UTULIVU.

Mungu Ibarikai Tanzani na watu wake.
Acheni kuuhadaa umma, hakuna Taifa ililoendelea kiuchumi bila kuweka misingi madhubuti ya kupambana na ufisadi, ubadhirifu na wizi wa rasilimali za Taifa!! Anzieni hapo muweke sheria kali za kupambana na hayo. Hakuna Taifa dunian lenye uchumi mkubwa ambalo limejaa ufisadi mkubwa, ubadhirifu na wizi wa rasilimali za Taifa!! NB: Tanzania ina utulivu but haina Amani, hapana aman kama haki, utu na uhuru wa raia havipo
 
Maendeleo makubwa ya kisekta yaliyoshamiri kila kona ya nchi, ni kwasababu ya Amani na Utulivu uliopo.
Mipaka iko salama chini ya vyombo imara vya ulinzi na usalama.

Uhuru wa maoni, habari, haki, demokrasia, upendo, usawa, utengamano, umoja na mshikamano miongoni mwa wa Tanzania ndio hasa chimbuko na kichocheo kikuu cha hatua kubwa za kimaendeleo ya watu na vitu zilizofikiwa katika nyanja mbalimbali za kijamii, kisiasa, kiutamaduni, technolojia na uchumi.

Serikali iko imara na moja katika mihimili yake madhubuti.
Utawala bora, utawala wa sheria, uwazi na uwajibikaji ndani ya srikali vimebaki kua dira na nyenzo muhimu katika katika kutekeleza sera, mipango na mikakati ya serikali katika kuwafikishia wananchi maendeleo kirahisi katika maeneo yao.

Hata nchi inapoelekea kwenye chaguzi ndogo na chaguzi kuu mwaka 2023-25, bado ongezeo la watalii na wawekezaji wa nje na ndani, wameendelea kumiminika nchini kufurahia utalii na fursa za uwekezaji zilizopo katika maeneo mabalimali ikiwa ni pamoja huduma, viwanda na biashara, na hivyo kuchochea ukuaji wa uchumi, miundombinu na ajira rasmi na zisizo rasmi kwa vijana.

Yote haya ni kwasamabu ya AMANI NA UTULIVU.

Mungu Ibarikai Tanzani na watu wake.
Tumekuwa na amani na utulivu tangu uhuru lakini Rwanda wanakuwa kwa kasi kubwa zaidi.
 
Acheni kuuhadaa umma, hakuna Taifa ililoendelea kiuchumi bila kuweka misingi madhubuti ya kupambana na ufisadi, ubadhirifu na wizi wa rasilimali za Taifa!! Anzieni hapo muweke sheria kali za kupambana na hayo. Hakuna Taifa dunian lenye uchumi mkubwa ambalo limejaa ufisadi mkubwa, ubadhirifu na wizi wa rasilimali za Taifa!! NB: Tanzania ina utulivu but haina Amani, hapana aman kama haki, utu na uhuru wa raia havipo
Akhasante bwana mkubwa,
Ufisadi ni doa ndani ya serikali nyingi duniani. Kweli kabisa suluhisho la mawanzo na la kudumu ni sheria na adhabu kali dhidi ya wala rushwa.

uhuru, haki na utu wa raia Tanzania vipo sana ila sema hujaridhika na kiwango kilichopo,
 
Akhasante bwana mkubwa,
Ufisadi ni doa ndani ya serikali nyingi duniani. Kweli kabisa suluhisho la mawanzo na la kudumu ni sheria na adhabu kali dhidi ya wala rushwa.

uhuru, haki na utu wa raia Tanzania vipo sana ila sema hujaridhika na kiwango kilichopo,
Well
 
Maendeleo makubwa ya kisekta yaliyoshamiri kila kona ya nchi, ni kwasababu ya Amani na Utulivu uliopo.
Mipaka iko salama chini ya vyombo imara vya ulinzi na usalama.

Uhuru wa maoni, habari, haki, demokrasia, upendo, usawa, utengamano, umoja na mshikamano miongoni mwa wa Tanzania ndio hasa chimbuko na kichocheo kikuu cha hatua kubwa za kimaendeleo ya watu na vitu zilizofikiwa katika nyanja mbalimbali za kijamii, kisiasa, kiutamaduni, technolojia na uchumi.

Serikali iko imara na moja katika mihimili yake madhubuti.
Utawala bora, utawala wa sheria, uwazi na uwajibikaji ndani ya srikali vimebaki kua dira na nyenzo muhimu katika katika kutekeleza sera, mipango na mikakati ya serikali katika kuwafikishia wananchi maendeleo kirahisi katika maeneo yao.

Hata nchi inapoelekea kwenye chaguzi ndogo na chaguzi kuu mwaka 2023-25, bado ongezeo la watalii na wawekezaji wa nje na ndani, wameendelea kumiminika nchini kufurahia utalii na fursa za uwekezaji zilizopo katika maeneo mabalimali ikiwa ni pamoja huduma, viwanda na biashara, na hivyo kuchochea ukuaji wa uchumi, miundombinu na ajira rasmi na zisizo rasmi kwa vijana.

Yote haya ni kwasamabu ya AMANI NA UTULIVU.

Mungu Ibarikai Tanzani na watu wake.
Ndio maana kuna wanafunzi watumia majivu kuandikia kama daftari
 
Back
Top Bottom