Niko
Member
- Mar 12, 2011
- 99
- 21
Kwanza Arusha sio Moshi, Arusha ilishauzwa zamani na kina Ally Hassan Mwinyi na Lowassa wasio na uchungu na nchi. Na hiyo hoteli aliyonyang'anywa Mchaga sidhani kama alipewa Mpemba, wangeshamfanya mbaya.Mkuu.
Huko kwa wachaga kuna hoteli imechukuliwa na serikali na kupewa mgeni au vipi?
Au aliyenyang'anywa sio Mchaga.?..still waiting to hear wana-msniper huyo mwekezaji mpya.
Halafu kuna mahoteli mingi tu Arusha ya wageni au?
Au tatizo ikiwa mgeni wenyewe ni mzenj?
Nani anachukua dhahabu zetu?
Nani anafaidi gesi yetu?
Wazenj unaowasema ni sawa na Mtanganyika yeyote yule, wanachumia tumbo tu. Wanaofaidi hutaki kuwataja au hujawagundua bado?
Kumradhi,Nilisahau mkuu ,kuwa bado...unapiga usingizi!
Dhahabu na gesi zinazokwapuliwa ziko uchagani? Mpemba "anaechumia tumbo" hawezi kutia mguu Moshi, Mchaga hataki ujinga. Labda uwe na mtaji mkuuubwa wa kuchimba madini ndio umshinde mangi na maduka yake, lakini sio kiduka ukaanzishe Moshi na Upemba wako. Mchaga atakuperemba. Mi si Mchaga lakini niliposikia hakuna Mpemba Moshi niliwapigia saluti wachaga.
Watanganyika wengine nao tunaanza kuamka, tutakuja kuwatimulia mbali, mkipona kwenye hii Katiba mpya sijui.