Wakati nchi nyingine wananchi wanapigania uchumi Tanzania tumeingia kwenye janga la kupigania HAKI . Wapigania haki wamepata nguvu sana na haitaisha wanapigana na machawa na wana mitandao ambao wanataka rasilimali za nchi.
Raisi Samia , Kikwete na genge la machawa wa CCM lipo upande huo. Upande mwingine ni wapenda haki kote Duniani na hawatasimama maana ni muda tu Haki lazima ishide maana vijana wengi 70% wanataka haki na wamechoka kudanganywa
Raisi Samia , Kikwete na genge la machawa wa CCM lipo upande huo. Upande mwingine ni wapenda haki kote Duniani na hawatasimama maana ni muda tu Haki lazima ishide maana vijana wengi 70% wanataka haki na wamechoka kudanganywa