toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,631
Chek mambo hayo jamaa tumewaacha mbali sana kiuchumi kweli uchumi wa kati kiboko
GDP yetu ni dola bilioni 50
Wakati yao North Korea ni bilioni 18 tu
Huku kenya wao ikiwa ni bilioni 70
Korea ya kusini wao wana 1.65 trilioni dollar GDP.
Wakati Japan gdp yao ni 5008 trilion dollar.
Kweli dunia haina usawa.
GDP yetu ni dola bilioni 50
Wakati yao North Korea ni bilioni 18 tu
Huku kenya wao ikiwa ni bilioni 70
Korea ya kusini wao wana 1.65 trilioni dollar GDP.
Wakati Japan gdp yao ni 5008 trilion dollar.
Kweli dunia haina usawa.