Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,683
- 46,371
Zinalingana.Je per capital income hikoje nchi hizo mbili
Zinalingana.Je per capital income hikoje nchi hizo mbili
Wewe unaamini pia kwenye nchi 7 tajiri duniani uchina haimo?Kwa kipimo gani kwamba Korea Kaskazini ni taifa lililoendelea? Kwa utafiti upi?
Kwa mujibu wa tafiti za mashirika makubwa ya kiuchumi duniani na yenye kuaminika, Korea Kaskazini ni nchi inayoendelea. Sawa na Tanzania ambayo pia ni nchi inayoendelea. Developing countries!
Shida ya NK sio vikwazo ni utawala wa wendawazimu tangu kuanzishwa kwa nchi hiyo.
Jikite kwenye mada, acha kupuyanga.Wewe unaamini pia kwenye nchi 7 tajiri duniani uchina haimo?
Miaka ya nyuma tuliambiwa Japan ni nchi ya pili kwa uchumi duniani baada ya kuiangusha ujeremani.
Sasa je china imezidiwa na Japan,German,France,Italy.
Korea Kaskazini bado inapewa hadi msaada wa Chakula na China.Mkuu kuna mambo mengine wala haina haja ya kuanza tafiti mpya.
Korea Kaskazini ni taifa lililoendelea utajifananishaje na sisi tunaoendelea.
Bajeti yetu haitimii mpaka nchi wahisani watupe chochote.
Kama huamini endapo tu ukashuhudie. Bajeti kubwa ya kijeshi haiwezi ikaifanya uchumi wa Korea Kaskazini uwe mzuri lazima watakuwa wachovu tu kwani hakuna chochote cha maana wanachouza nje kwani januari mpaka januari wanawaza vita tu kwamba watavamiwa na Marekani. Bure kabisa.Natamani sana kujua uchumi na maisha halisi ya NK ukiachana na propaganda za magharibi.
Hatuna uchumi wa kuunda yale makombora mzee.Chek mambo hayo jamaa tumewaacha mbali sana kiuchumi kweli uchumi wa kati kiboko
GDP yetu ni dola bilioni 50
Wakati yao North Korea ni bilioni 18 tu
Huku kenya wao ikiwa ni bilioni 70
Korea ya kusini wao wana 1.65 trilioni dollar GDP.
Wakati Japan gdp yao ni 5008 trilion dollar.
Kweli dunia haina usawa.
View attachment 1720557View attachment 1720558
We bado unaongea kwa mtazamo wa kimagharibi.Kama huamini endapo tu ukashuhudie. Bajeti kubwa ya kijeshi haiwezi ikaifanya uchumi wa Korea Kaskazini uwe mzuri lazima watakuwa wachovu tu kwani hakuna chochote cha maana wanachouza nje kwani januari mpaka januari wanawaza vita tu kwamba watavamiwa na Marekani. Bure kabisa.
........Wa kimashariki ni upi..!!We bado unaongea kwa mtazamo wa kimagaharibi.
Ambao hauna chembechembe za kimagharibi........Wa kimashariki ni upi..!!