Tanzania Iko Mashakani

Tanzania Iko Mashakani

Kusema kweli waisilamu tuseme kweli tu dini yetu inatufundisha kuwa wakristo ni makafiri tu na awapaswi kuongoza waslamu. Tazama yanayofanywa na kundi la ISis huko iraq ndio utajua. Mimi kweli naogopa sana kama tutajikuta kama nchi tumeanza kugwanyika kidini balaa lake ni kubwa.

KWANZA POKEA LIKE KUBWAAAAAAAAAAA HALAFU FaizaFoxy njoo bwabwaja hapa kama kawaida yako. Vurugu, MASHAKA na yote huletwa na waislamu wachache ma------- kama FaizaFoxy
 
Last edited by a moderator:
nisipo kuwa mdini niwe nani? mimi mdini sana tu
 
Atnatu.

Unajuwa maana ya dini?

neno halisi ni "din" ambalo ni lugha ya kiaarabu kwa kiingereza wanasema "religion". Na hii pale unaamini kitu chenye nguvu isiyoonekana, iwe ya kweli au uwongo.
 
Kusema kweli waisilamu tuseme kweli tu dini yetu inatufundisha kuwa wakristo ni makafiri tu na awapaswi kuongoza waslamu. Tazama yanayofanywa na kundi la ISis huko iraq ndio utajua. Mimi kweli naogopa sana kama tutajikuta kama nchi tumeanza kugwanyika kidini balaa lake ni kubwa.

Yaani kabisa unaposema "Al Islaam diyn" ISIS ndio case study yako??!!!!
Kallu inna lillah!!!
 
neno halisi ni "din" ambalo ni lugha ya kiaarabu kwa kiingereza wanasema "religion". Na hii pale unaamini kitu chenye nguvu isiyoonekana, iwe ya kweli au uwongo.

Hapana dini siyo imani ila "methodology" ya kutekeleza imani yako ndio hii dini sasa!!!!
Hata wasio na methodology/ dini wana imani wengine wanaitwa wapagani sijui na majina kadha wa kadha!!!
 
Kweli kabisa huo udini ndiyo mada iliyopo, na mimi naamini, ukitajwa "udini" basi ni Uislam, na wakitajwa "wadini" basi bila shaka ni Waislaam.

Naomba nipinge katika hilo au nieleimishe na unioneshe ni nani "mdini" Tanzania hii zaidi ya Muislam.

FF mimi nikakupinga kwa hoja ndogo tu na bila shaka utakuwa nawe umeitumia...

Mbona Chadema na CUF pia wameitwa wadini kwa nyakati tofauti!

Dhana ya udini imeasisiwa na CCM kwa makusudi kabisa...
 
Kuna wale Boko Haram pia kule Nigeria kuna Al Shabab kule Somalia ambao wamefanya mauaji ya kutisha Kenya kwa kuwalenga wale ambao si Waislamu.
Moja ya matendo bora kabisa ni Hijja kwa mwenye uwezo, au funga na kukithirisha ibada. Haya makundi umewahi kusikia wakihamasisha haya mkuu??!!!

Uislam ni kitu kikubwa na cha amani kuliko ujjinga wa hawa unaowataja mkuu!!!
 
Miafrika bwana..... Tumezidi kuwa kama waombolezaji mamluki. Tunataka kulia kwa niaba na zaidi ha wafiwa wenyewe!

Kwa upuuzi huu, lazima tuendelee kutumika mithili ya toilet tissues!
 
Kusema kweli waisilamu tuseme kweli tu dini yetu inatufundisha kuwa wakristo ni makafiri tu na awapaswi kuongoza waslamu. Tazama yanayofanywa na kundi la ISis huko iraq ndio utajua. Mimi kweli naogopa sana kama tutajikuta kama nchi tumeanza kugwanyika kidini balaa lake ni kubwa.

Uliambiwa İSİS inaua wakristo? Unajua kweli huko siria na iraq wapo wakristo wangapi au umeamua kusema tuuu. ISIS inawaua waislamu inaowaona hawafai na pengine wakawaacha wakristo ambao hawawapingi katika maeneo yao. Uislamu ungekuwa unaamrisha kuuwa wakristo hayo makanisa ya kale huko uturuki misri na siria yangebaki vipi na wakati kote kulikuwa chini ya dola za kiislamu kwa miaka mingi???
 
Naam, Tanzania iko mashakani.

Kwa nini?

Ni ukweli usiopingika, leo hii Tanzania tuko mashakani kama nchi.

Ukweli usemwe na ubaki kuwa ukweli.

Tanzania tuko mashakani kwa sababu moja tu. Udini.

Nini maana ya "udini", jibu ni sahali sana. Kwa hakika hakuna zaidi, hakuna asiye Muislaam ambae ni mdini. Udini ni Uislam na Wadini ni Waislaam.

Aje mmoja kupinga hilo.

Mengi tutayaongea wakati mjadala unaendelea na yatabainika.
chadema walipoitwa chama cha ukristo we we hukuona using, ukashabikia kwa nguvu na kutoa comments Nyingi, ukitaka tutakukumbusha. Mimi Nadhani una njaa , tafita pilau ya sherehe ukale
 
Lakini Banduguu Mashakani zaidi Pale Bajeti ya 2015/2016 haitopatikana in time.. Basi uchumi utayumba na majambazi wetu watatukamua damu iliyo baki !!! maana nyama na ngozi washatuchuna. hali inayokuja ni mbaya mwaka 2015.
 
Hayo mazuri yapo kwenye dini zote Mkuu. Baadhi ya viongozi waliowahi kutoa kauli za kudai kwamba CUF ni chama cha kiislamu na Chadema cha kikristo ni waislamu na walienda hija sasa kwanini wasitumie hija yao kupandikiza mbegu ya upendo miongoni mwetu Watanzania bila kujali imani zetu bali hupandikiza mbegu za chuki "Chama kile ni cha waislamu/wakristo viongozi wake wote ni waislamu/wakristo"? Wanataka kuleta udini wale nchini.

Moja ya matendo bora kabisa ni Hijja kwa mwenye uwezo, au funga na kukithirisha ibada. Haya makundi umewahi kusikia wakihamasisha haya mkuu??!!!

Uislam ni kitu kikubwa na cha amani kuliko ujjinga wa hawa unaowataja mkuu!!!
 
Moja ya matendo bora kabisa ni Hijja kwa mwenye uwezo, au funga na kukithirisha ibada. Haya makundi umewahi kusikia wakihamasisha haya mkuu??!!!

Uislam ni kitu kikubwa na cha amani kuliko ujjinga wa hawa unaowataja mkuu!!!

Hebu tumuulize mzungumzaji huko somalia ambapo vita imedumu kwa miaka zaidi ya 20 hali ya kuwa hakuna mkristo somalia. Hao bokoharam mbona wanashambulia misikiti pia? akijibu hapa tutamuelewa
 
Let's forget about udini maaana kila mmoja atatoa majb yanayomridhisha yy 2...tujaribu kuchambua kidogo siasa ya nchi yetu
 
Hayo mazuri yapo kwenye dini zote Mkuu. Baadhi ya viongozi waliowahi kutoa kauli za kudai kwamba CUF ni chama cha kiislamu na Chadema cha kikristo ni waislamu na walienda hija sasa kwanini wasitumie hija yao kupandikiza mbegu ya upendo miongoni mwetu Watanzania bila kujali imani zetu bali hupandikiza mbegu za chuki "Chama kile ni cha waislamu/wakristo viongozi wake wote ni waislamu/wakristo"? Wanataka kuleta udini wale nchini.

Mkuu tukijadili mtu mmmoja mmoja itakuwa taabu sana. Muhimu ni kuwa wakristo na waislamu wameendelea kuishi kwa pamoja kwa maelfu ya miaka pamoja na changamoto zilizowahi kutokea. Mfano chama kinachotuhumiwa kwa kuingiza na kuulea mfumokristo sio chadema ni ccm. Dhulma wanaothibitisha kufanyiwa waislamu ni toka CCM na sio chadema. Hivyo maneno ya mtu mmoja au kikundi cha watu hayawezi kuwa generalized vinginevyo utajibu vipi maneno ya waziri na kiongozi mwenye dhamana ya uwaziri kama lukuvi na maneno alotoa kanisani? Je ndio msimamo wa ccm na kanisa?
 
Back
Top Bottom