FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,777
Naam, Tanzania iko mashakani.
Kwa nini?
Ni ukweli usiopingika, leo hii Tanzania tuko mashakani kama nchi. Ukweli usemwe na ubaki kuwa ukweli. Tanzania tuko mashakani kwa sababu moja tu. Udini. Nini maana ya "udini", jibu ni sahali sana. Kwa hakika hakuna zaidi, hakuna asiye Muislaam ambae ni mdini. Udini ni Uislam na Wadini ni Waislaam.
Aje mmoja kupinga hilo. Mengi tutayaongea wakati mjadala unaendelea na yatabainika.
Kwa nini?
Ni ukweli usiopingika, leo hii Tanzania tuko mashakani kama nchi. Ukweli usemwe na ubaki kuwa ukweli. Tanzania tuko mashakani kwa sababu moja tu. Udini. Nini maana ya "udini", jibu ni sahali sana. Kwa hakika hakuna zaidi, hakuna asiye Muislaam ambae ni mdini. Udini ni Uislam na Wadini ni Waislaam.
Aje mmoja kupinga hilo. Mengi tutayaongea wakati mjadala unaendelea na yatabainika.