Tanzania Iko Mashakani

Tanzania Iko Mashakani

FaizaFoxy

Platinum Member
Joined
Apr 13, 2011
Posts
100,506
Reaction score
123,777
Naam, Tanzania iko mashakani.

Kwa nini?

Ni ukweli usiopingika, leo hii Tanzania tuko mashakani kama nchi. Ukweli usemwe na ubaki kuwa ukweli. Tanzania tuko mashakani kwa sababu moja tu. Udini. Nini maana ya "udini", jibu ni sahali sana. Kwa hakika hakuna zaidi, hakuna asiye Muislaam ambae ni mdini. Udini ni Uislam na Wadini ni Waislaam.

Aje mmoja kupinga hilo. Mengi tutayaongea wakati mjadala unaendelea na yatabainika.
 
Mimi nilijua baada ya Kikwete kuteua waislam wawili mfululizo tu italeta shida
tulipokuwa na CAG na AG wakristo haikuwa shida.....now hizo pisition zimekuwa replaced na waislam...
some people cant hide their unhappiness......

The boss mimi nadhani hoja ni vigezo, kama wamekidhi vigezo hakuna haja ya majungu. Sema watu wanataka kutumia hii kwa maslahi yao binafsi.
 
Last edited by a moderator:
Hmmmmmmm! kuna ufisadi wa kutisha pia, kuna uking'ang'anizi wa kubaki mdarakani kwa kutumia mabavu, kuna ombwe kubwa la uongozi nchini kwa miaka mingi sasa. Kuna katiba ambayo ni ya chama kimoja na hivyo kusababisha chaguzi zetu kutokuwa huru na za haki, kuna kuanguka kwa elimu yetu nchini kwa kiwango cha kutisha, kuna wizi wa kutisha wa rasilimali za Watanzania unaofanywa na wageni wakishirikiana na wale waliopewa dhamana na Watanzania ya kusimamia maslahi ya nchi n.k. yote haya yanawaweka Watanzania katika hali ya mashaka makubwa sana.


Naam, Tanzania iko mashakani.

Kwa nini?

Ni ukweli usiopingika, leo hii Tanzania tuko mashakani kama nchi.

Ukweli usemwe na ubaki kuwa ukweli.

Tanzania tuko mashakani kwa sababu moja tu. Udini.

Nini maana ya "udini", jibu ni sahali sana. Kwa hakika hakuna zaidi, hakuna asiye Muislaam ambae ni mdini. Udini ni Uislam na Wadini ni Waislaam.

Aje mmoja kupinga hilo.

Mengi tutayaongea wakati mjadala unaendelea na yatabainika.
 
Mimi nionavyo hata Kikwete kuwa Rais ni shida. Kwa dini yake tu na si kwa utendaji wake.

Aje mmoja, atowe dosari ya utendaji wa Kikwete tulinganishe na wa kabla yake.
hivi ni wewe kweli au kuna mtu kahack account yako.??
 
Kusema kweli waisilamu tuseme kweli tu dini yetu inatufundisha kuwa wakristo ni makafiri tu na awapaswi kuongoza waslamu. Tazama yanayofanywa na kundi la ISis huko iraq ndio utajua. Mimi kweli naogopa sana kama tutajikuta kama nchi tumeanza kugwanyika kidini balaa lake ni kubwa.
 
......udini,udini ni mbaya sana. Sote ni ndugu watoto wa baba mmoja.

Kweli kabisa huo udini ndiyo mada iliyopo, na mimi naamini, ukitajwa "udini" basi ni Uislam, na wakitajwa "wadini" basi bila shaka ni Waislaam.

Naomba nipinge katika hilo au nielimishe na unioneshe ni nani "mdini" Tanzania hii zaidi ya Muislam.
 
Madhara ya kupanga ya kupanga matokeo kabla ya uchaguzi ndio haya, Sasa unakuja na udini, wakati unajua watu tupo bize kushangilia ushindi,
KWA HIYO UNATAKA KUSEMA KIKWETE AMEZIDI UDINI HADI MMEANGUSHWA SERIKALI ZA MITAA?

haya endelea kuota ndoto japo najua UKAWA NI JIWE LA GIZANI, UKISIKIA YALAAAAAAAA UJUE FaizaFoxy LIMEMPATA
 
Last edited by a moderator:
Pretty kuna watu wanataka kulikuza hili tatizo na kulifanya kubwa kuliko inavyostahili. Hawa MACCM ndio walilikuza hili tatizo la udini baada ya kuwaita CUF ni chama cha waislamu na baadaye kuwaita CHADEMA ni chama cha wakristo. Hivyo vyama viwili vya "wakristo na waislamu" hata siku moja MACCM hawakutegemea vije kushirikiana kwa lolote lile, lakini kama tulivyoona vyama hivi vyote viwili si vya kidini na ndio sababu pamoja na NCCR vimeamua kushirikiana kwa karibu mno na kuwa tisho kubwa ka MACCM kuelekea katika uchaguzi wa 2015. Uraiani tatizo hili la udini si kubwa kiasi hicho ila kuna baadhi miongoni mwetu hutaka kulikuza kuliko inavyostahili.

Tumeona hivi karibuni viongozi wa CHADEMA kupokewa kwa shangwe kubwa na umati wa watu kule Zenj na katika mikutano yao walishangiliwa sana na umati kule ambapo 99% ni waislamu.


......udini,udini ni mbaya sana. Sote ni ndugu watoto wa baba mmoja.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom