Tanzania hakuishi vituko

msituvuruge akili hapa hakuna cha ccm wala ukawa wanaojali hela ya mlipa kodi. Hao ukawa wanaolalamikia gharama ndio waliopendekeza kura ya maoni ifanyike baada ya uchaguzi wa rais. Hii inamaana uchaguzi wa rais ufanyike mara mbili ndani ya kipindi cha miaka miwili.

Kura ya maoni haina tofauti na kura ya kumchagua rais. Kila mtanzania alijiandikisha kupiga kura lazima apige kura. Gharama ya kura ya maoni haina tofauti na gharama ya kura ya kumchagua rais.

Kwahiyo wapinzani wasitudanganye wanajali gharama. Wanapiga kelele pale jambo linalotaka kufanyika hawalitaki.

Lazma tuwapa wananchi eimu ya kuikata rasimu ya maharamia wa ccm na kuipigia kura ya HAPANA rsimu ya ccm huu upuuzi wa ccm hauvumilki tena
 
Tutaendelea kudai katiba ya wananchi hata kama hii ya sitta itatangazwa imepita.ngoma bado mbichi kabisa.

hatuwezi kukubali kutengeneziwa katiba na wahuni wa ccm lazima tutaidai katiba yetu bila kuogopa chochote Back Tanganyika
 
Kuna mtu aliwahi kuniambia kuwa " If J.K managed to be a president, anyone can be".

Kwa kweli yale maneno niliyapuuzia mwanzoni lakini sasa naanza kuyatafakari kwa kina. Hivi unaweza kuamini kuwa CCM wakiongozwa na J.K mwenyewe walikuwa mstari wa mbele kupinga serikali tatu kwa kigezo cha gharama za uendeshaji, sasa cha kuchangaza eti wanafanya sherehe ya kukabidhi rasimu "inayopendekezwa".

Daily news limeandika ukurasa wa mbele," Heads of state from different countries are among the invited guests to the proposed constitution handover celebrations at Jamhuri stadium tomorrow ". Hivi kweli kwa akili ya kawaida, J.K ana cha kujivunia hata kupoteza pesa za walipa kodi kufanya sherehe ya rasimu? Huo ukereketwa wa gharama kwa mlipa kodi umeenda wapi? Hivi wanajuaje kuwa watanzania wataipigia kura ya NDIYO, au kwa sababu wanajua haitaji kura za ndiyo bali wanahitaji "system" ya kutangaza kuwa ndiyo wameshinda.

Mimi huwa nawaonea huruma wasomi wetu, walioamua kuziba fikra zao kwa njaa zao, Profesa hawawezi kujitofautisha na mwimba taarabu, hana uchambuzi zaidi ya propaganda ya siasa. Kama kweli J.K anayo guts, kwa nini anangangania kuzungumza na "wazee" wa DOdoma na wala hajawahi kukutana na intelectuals ( think tank) ili wambane kwa hoja. Siku nchi hii itakapobadili siasa za kutegemea ignorance ya watu kupitisha mambo, na kuruhusu fikra chanya kufanya kazi, ndipo vita yetu ya umaskini tutaweza kuishinda. Watakachofanya Dodoma ni propaganda kuonyesha kuwa rasimu inakubalika kwa watu.

Haya basi baada ya usanii wenu Dodoma, tukutane kwenye midahalo ya wasomi mtuambie nini mlifanya Dodoma.

Kweli kabisa hapo umenena. Hata hvyo nimegundua Viongozi wetu karibia wote wanamapepo haswa CCM wote wako kama wamechanganyikiwa maamuzi wanayofanya niya kitoto yaani huwezi kuamini kweli maamuzi haya amefanya mtu mwenye akili timamu au Tahira. Hao ndio Viongozi wetu. Halafu unadiriki kujiita viongozi hata bila aibu. Shame on you.
 
Kuna mtu aliwahi kuniambia kuwa " If J.K managed to be a president, anyone can be".

Kwa kweli yale maneno niliyapuuzia mwanzoni lakini sasa naanza kuyatafakari kwa kina. Hivi unaweza kuamini kuwa CCM wakiongozwa na J.K mwenyewe walikuwa mstari wa mbele kupinga serikali tatu kwa kigezo cha gharama za uendeshaji, sasa cha kuchangaza eti wanafanya sherehe ya kukabidhi rasimu "inayopendekezwa".

Daily news limeandika ukurasa wa mbele," Heads of state from different countries are among the invited guests to the proposed constitution handover celebrations at Jamhuri stadium tomorrow ". Hivi kweli kwa akili ya kawaida, J.K ana cha kujivunia hata kupoteza pesa za walipa kodi kufanya sherehe ya rasimu? Huo ukereketwa wa gharama kwa mlipa kodi umeenda wapi? Hivi wanajuaje kuwa watanzania wataipigia kura ya NDIYO, au kwa sababu wanajua haitaji kura za ndiyo bali wanahitaji "system" ya kutangaza kuwa ndiyo wameshinda.

Mimi huwa nawaonea huruma wasomi wetu, walioamua kuziba fikra zao kwa njaa zao, Profesa hawawezi kujitofautisha na mwimba taarabu, hana uchambuzi zaidi ya propaganda ya siasa. Kama kweli J.K anayo guts, kwa nini anangangania kuzungumza na "wazee" wa DOdoma na wala hajawahi kukutana na intelectuals ( think tank) ili wambane kwa hoja. Siku nchi hii itakapobadili siasa za kutegemea ignorance ya watu kupitisha mambo, na kuruhusu fikra chanya kufanya kazi, ndipo vita yetu ya umaskini tutaweza kuishinda. Watakachofanya Dodoma ni propaganda kuonyesha kuwa rasimu inakubalika kwa watu.

Haya basi baada ya usanii wenu Dodoma, tukutane kwenye midahalo ya wasomi mtuambie nini mlifanya Dodoma.


Umenena ukweli mtupu....

Ccm ni janga la kitaifa
 
Kwa mtazamo wako ulitaka kura ya maoni ifanyike siku moja na Uchaguzi wa Rais siyo? You are not serious, ndivyo sheria ya mabadiliko ya katiba inavyosema?

Hapa hoja ni kuepuka Gharama.

sheria haizungumzii kura ya maoni ifanyike baada ya uchaguzi wa Rais.

Lazima ukumbuke uchaguzi wa mbunge na wa Rais huwa unafanyika pamoja.

Nimeamua kurudia mada hii kiswahili, huko nyuma iliandikwa kwa kiengereza.

Mchakato wa kurekebisha KATIBA unaendelea.

Hivi ni kweli hakuna mda wa kutosha wa kupiga kura ya maoni ili tupate KATIBA mpya?

Kama kura ya kumchagua Mbunge na kumchagua Rais zinaweza kufanyika pamoja, kwanini na kura ya maoni isifanyike kipindi hicho?

Ni kiasi cha kuongeza sanduku na karatasi nyingine ambayo inamtaka mpiga kura kukubali (ndio) au kukataa (hapana) KATIBA iliyopitishwa na Bunge Maalum la Katiba.


Kufanya kura ya maoni baada ya uchaguzi wa Rais ni sawasawa na kufanya uchaguzi wa Rais mara mbili na hii inaongeza gharama.
 
tusubr kura za mtaani

Kama iliweza kupitishwa kwa mtutu wa bunduki pale bungeni naamini hata kwenye kura lazima bunduki itatumika tena ndio rahisi kweli kwa CCM kuiba kura na kutangaza kuwa wananchi wameipigia kura ya ndiyo. CCM ni bora ya shetani. Nchi inaendeshwa kiuwiziwizi na ujanja ujanja. Bila kuhonga watu na kuwarubuni, CCM haiwezi kuongoza nchi. Na ndio maana wataitwa viongozi wa dini wenye njaa au wazee ili wasaidie kupiga msasa au kutoa matamko ya amani. CCM ilikufa na Nyerere, iliyobaki ni ya wapiga dili tu.
 
Gharama ya sherehe za kipuuzi inatosha kwa kura za maoni!!
Hapa hoja ni kuepuka Gharama.

sheria haizungumzii kura ya maoni ifanyike baada ya uchaguzi wa Rais.

Lazima ukumbuke uchaguzi wa mbunge na wa Rais huwa unafanyika pamoja.

Nimeamua kurudia mada hii kiswahili, huko nyuma iliandikwa kwa kiengereza.

Mchakato wa kurekebisha KATIBA unaendelea.

Hivi ni kweli hakuna mda wa kutosha wa kupiga kura ya maoni ili tupate KATIBA mpya?

Kama kura ya kumchagua Mbunge na kumchagua Rais zinaweza kufanyika pamoja, kwanini na kura ya maoni isifanyike kipindi hicho?

Ni kiasi cha kuongeza sanduku na karatasi nyingine ambayo inamtaka mpiga kura kukubali (ndio) au kukataa (hapana) KATIBA iliyopitishwa na Bunge Maalum la Katiba.


Kufanya kura ya maoni baada ya uchaguzi wa Rais ni sawasawa na kufanya uchaguzi wa Rais mara mbili na hii inaongeza gharama.
 
Back
Top Bottom