Kugusia gusia Nyerere ni ishara kuwa wanatuhitaji ila wanajishauku, wangeamua kiukweli na si kwa uwoga wa madikteta kutafuta vivuli basi hata Baba yetu wa Taifa wasingemtaja. EAC ni Sumu kwa Tanzania, remain out!!!
Mkuu nilisha wambia wana JF kwamba kinacho fanyika pale ni vita vya kisaikolojia- culprit pale ni M7 na PK wanafikili wakitishia ku-sideline Tanzania basi tutaogopa na kuwapa a blank cheque ya ku-fast track kila kitu save their Military JUNTA. Wamekuwa na nguvu za kufanya wapendalo kutokana na Mh.Kenyatta kuwa naive na mbinu za jamaa hawa wanamuona ni mdogo kiumri ndio maana wanaendelea kukihuka makubaliano yaliyo wahi kufikiwa na Secretariat ya EA, wenyewe wanaingilia sana kitengo hiko, basi waeleze dunia kama wanataka kuhanzisha kitu kingine zaidi ya EAC, hatuwezi kuwa na a sub-set ya EAC within EAC, binafsi sioni dalili kama watabaki salama bila ya kushirikisha Tanzania, pale kila mtu mjuaji na kila mmoja ana ajenda yake - Jaribu kuchunguza historia zao za nyuma ndio mtajua ninacho taka kuzungumza hapa, Tanzania ina weza ku-afford 2 do without them lakini wao hawawezi, asikudanganye mtu and they know IT.
Tatizo kubwa ninalo liona linakumba kanda yetu hii ni ukosefu wa ustaarabu tu i.e kuto heshimu Viongozi wenzao hata kama hawakubaliani katika nyanja fulani, mbona Mzee Kenyatta, Kambarage na Obote sio kwamba walikuwa wanakubaliana kwa kila kitu, lakini kila Mwana East Africa alikuwa anajua kwamba waliheshimiana sana - sio breed hii inayo lazimisha kubadirisha
a base metal 2 Gold/Diamond kama kama walivyo kuwa wanafanya ma -
Alchemists wa Yesteyears; chunga sana binadamu/Kiongozi yeyote ambaye anajiona ana majibu ya matatizo yote yanayo hikumba Africa Mashariki.
Nilisha onya watu kwamba ndugu zetu hawa ni janga wa kanda yetu hii ya Afrika Mashariki na kati, tukiwa salama in 5 -15 years 2 come basi zitakuwa ni kudra za Mwenyezi Mungu tu, somehow instict zangu zinanieleza hivyo na ni mara chache kuniagusha.