Tanzania 'formally' isolated from EAC

Tanzania 'formally' isolated from EAC

Baada ya kuwaibia wacongo! safi sana mna akili ninyi kama waisarael! nyinyi ni taifa teule

Umesema wewe. If you believe it then so be it. "Perception is reality"
kajembe ... hawa akina murutongore wanajiita eti ni Waisrael wa great lakes, wanaijifananisha na genocide yao na ya Waisraeli, wawarudishe kwanza raia wao wa Rwanda waliwakimbiza nje ya nchi yao (waliotapakaa huko Congo na kwingineko), baada ya hapo ndio tuanze kuongelea masuala ya East Africa.
 
Last edited by a moderator:
Tanzania haijawa isolated na mtu yeyote,ila inaonekana TZ haitaki kutekeleza vitu kama visa,work permit,customs etc sasa wao wanataka acheni wafanye vitu vyao na hakuna mtu ameishikia TZ bunduki lazima wafanye hayo na wanaolalamika seems ni TZ eti wanatengwa wakati hawataki kutekeleza chochote ..ndio maana ikaitwa collition of the willing,hakuna kulazimishana na TZ haitaki which is fine,let them do their thing zile ni nchi huru zina maamuzi yake.
Koba

kuna upotoshaji mkubwa sana kwenye haya mabo na wa kulaumiwa ni Sitta na wizara yake kwani juzi nimemangalia this week in pespective ya TBC na Prof. semboja amsema vitu vingi sana ambavyo sisi tumeruhusu lakini wengine hawataki na hawapo tayari na mfano alitoa ni wakibiashara kwa maana ya kuazisha, Tanzania ni ruksa kuanzisha hata genge hata huko Vijijini mgeni wa EAC anaruhusiwa, Uganda mwisho mjini, na Kenya hakuna Ruksa hiyo.

so yapo mengi tumefanya lakini wengine hawajafanya,

hamuhimu ni SITTA na Wizara yake kuyasema.
 
Last edited by a moderator:
Let them go! we await for the Tutsi Nyamulenge Kikuyu Dholuo land war
 
Kugusia gusia Nyerere ni ishara kuwa wanatuhitaji ila wanajishauku, wangeamua kiukweli na si kwa uwoga wa madikteta kutafuta vivuli basi hata Baba yetu wa Taifa wasingemtaja. EAC ni Sumu kwa Tanzania, remain out!!![/QUOTE

WABUNGE WANAOAFIKI WASEME "NDIO."

NDIOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO.
 
waende aisee ni wazi hawawezi kufika mbali lazima watakwama mbele ya safari iwapo tanzania haitakuwepo kwenye hilo shirikisho la magaidi.

umenena mkuu.big up sana.hakuna mtazania aliye sawa ghorofani anapenda hii kitu.jiulize tanzania itapata nini????jamaa zetu hawa wananuka damu.NI WATU WA VITA.TUKUBALIIIIIIIIII.tunatafuta damu??
 
I don't know many ways to succeed but one way to fail, is to try to please everybody. let them go and form whatever they want! let us remain with our land and our success will come through had working.
 
Kwa waliosikiliza BBC leo asubuhi ni wazi kwamba nchi za Kenya Rwanda na Uganda wana maslahi binafssi kujipendelea wivu na dharau,wanapenda kuburuza watanzania kwenye pointi ambayo haieleweki.Kirasilimali hakuna kati ya hawa anayetufikia.Kwa taarifa yako Arusha ni kati ya mikoa inayoongoza kwa wafanyakazi wa kutoka kenya kwenye kazi ambazo zinastahili watanzania niwakati wakusema hapana
 
Back
Top Bottom