Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 59,169
- 133,252
- Thread starter
-
- #21
KWa kuwa wachakachuaji wote wako tayari majimboni, tunaanza kupewa yaliyochakachuliwa!!!
Mungu tusaidie...:doh:
Njombe Kusini
JK 22337
Dr. 6848
Prof. 80
Mbona sioni mkiandika updates wakuu?
So far JK anaongoza au sio?
baada ya kutangaza majimbo matano, sasa ni mapumziko a dakika moja.