Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,503
- 113,613
KWa kuwa wachakachuaji wote wako tayari majimboni, tunaanza kupewa yaliyochakachuliwa!!!
Mungu tusaidie...:doh:
Kweli kabisa kwa jinsi mwenendo ulivyo mpaka sasa kuchakachua ni ngumu.Mungu yupo pamoja nasi