Tanzania Election 2010 Results as per NEC

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,503
113,613
Wanabodi,

Niko katika ukumbi huu wa Paradise City Hotel, ambapo kwa mara ya kwanza tangu kufanyika kwa uchaguzi mkuu ile jana, Tume ya Taifa ya Uchaguzi, NEC, ndio inatangaza rasmi matokeo ya urais.

Chumba kimefurika wanahabari wa kitaifa na kimataifa, pia TV ziko live kutoka ukumbini hapa, nitawaletea kinachojiri, ile wale wenye access na TV fuatilieni na kutupa updates

CLICK HERE TO DOWNLOAD ALL RESULTS IN EXCEL FORMAT



 
KWa kuwa wachakachuaji wote wako tayari majimboni, tunaanza kupewa yaliyochakachuliwa!!!

Mungu tusaidie...:doh:
 
Mkuu wa kitengo cha ICT cha NEC, Dr. Cisti Karia, amesema matokeo ya jimbo kwa jimbo, yatatangazwa na NEC kadri yanavyofika na kuonekana kwenye Big Screen mbili zilizoko ukumbini humu.
 
Mkurugenzi wa Uchaguzi, Rajabu Kiravu ndio ameingia ukumbini hapa.
 
Ukitaka kuchakachua lazima uwe na moyo wa chuma. Hayachakachuliki. Mafuta bahari maji ndo utachakachua vipi?
 
Ahsate kwa kutoa habari za uhakika ila kuna watu wanapotosha ukweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…