ifweero
JF-Expert Member
- Jun 12, 2013
- 7,957
- 1,341
Utawashwa sana mwaka huu
usitumie kichwa kufuga nywele pekee
Utawashwa sana mwaka huu
Ukisoma Taarifa ya gazeti la leo la Tanzania Daima la kichwa cha habari Simu kuingoa CCM, ni wazi utajua kuwa sasa hili gazeti liko obsessed na chuki na hasira zinazopelekea kutuchanganya sisi wasomaji wake.Ni dhahiri kuwa tozo la kodi la kila mwezi lilipitishwa na bunge,,na hii ina maana lawama zote lazima ziende kwa Bunge na Spika akiwemo...lakini hili la Tanzania Daima la kuandika kuwakilichofanyika kilipata baraka za viongozi wa chama hicho, akiwamo Rais Jakaya Kikwete, nafikiri ni kuleta confusion ambayo ni very unnecessary.Tanzania Daima wanachojaribu kufanya hapa ni kuconnect dots ambazo ziko too remote kwani tuna jua kuwa Bunge lina uongozi wake unaojitegemea, Rais hakuwa bungeni na pia hajaridhia maamuzi ya bunge ya tozo la kodi kuwa sheria.Sasa Rais hapo anaingiaje?Bunge si mhimili unaojitegemea, sasa kwa nn makosa ya bunge yawe makosa ya Rais.
This is unprofessional guys,,,inakuwa shida sana kulisoma hili gazeti kwa sasa bila kuchanganya na akili zako.Mbona Mwananchi wanaandika habari Objectively na bado linapendwa tu.Tanzania Daima you need to stop barking at the wrong trees for issues which are very serious. Tanzaia Daima wanataka kututufifisha kumjua the real enemy,,na hii itasababisha kushindwa kwa hii vita.The president should be involved in appeal but not in the war. Shida ni Bunge na sio Rais. Professionalism is not taking things personal.
Ukisoma Taarifa ya gazeti la leo la Tanzania Daima la kichwa cha habari Simu kuingoa CCM, ni wazi utajua kuwa sasa hili gazeti liko obsessed na chuki na hasira zinazopelekea kutuchanganya sisi wasomaji wake.Ni dhahiri kuwa tozo la kodi la kila mwezi lilipitishwa na bunge,,na hii ina maana lawama zote lazima ziende kwa Bunge na Spika akiwemo...lakini hili la Tanzania Daima la kuandika kuwakilichofanyika kilipata baraka za viongozi wa chama hicho, akiwamo Rais Jakaya Kikwete, nafikiri ni kuleta confusion ambayo ni very unnecessary.Tanzania Daima wanachojaribu kufanya hapa ni kuconnect dots ambazo ziko too remote kwani tuna jua kuwa Bunge lina uongozi wake unaojitegemea, Rais hakuwa bungeni na pia hajaridhia maamuzi ya bunge ya tozo la kodi kuwa sheria.Sasa Rais hapo anaingiaje?Bunge si mhimili unaojitegemea, sasa kwa nn makosa ya bunge yawe makosa ya Rais.
This is unprofessional guys,,,inakuwa shida sana kulisoma hili gazeti kwa sasa bila kuchanganya na akili zako.Mbona Mwananchi wanaandika habari Objectively na bado linapendwa tu.Tanzania Daima you need to stop barking at the wrong trees for issues which are very serious. Tanzaia Daima wanataka kututufifisha kumjua the real enemy,,na hii itasababisha kushindwa kwa hii vita.The president should be involved in appeal but not in the war. Shida ni Bunge na sio Rais. Professionalism is not taking things personal.
Asanteeee,mpe huyo kipofu wa kujielewaMleta mada kanichekesha sana na anaakili ileile ya kupandikizwa na Baba zake kuwa Watanzania ni wajinga hii mada alitakiwa awapelekee walioko milembe.kumtenganisha Kikwete na maamuzi ya CCM walioko milembe ndiyo watakuona upo sahihi.UWEZI KUMTENGANISHA SHETANI NA DHAMBI.
Mkuu lets be realistic na tuchambue mambo kisomi, the fact kwamba Rais alikuwepo kwenye kikao cha Baraza la Mawaziri haimaanishi kuwa ndo aliridhia,,ndo maana mchakato huu baadae unaenda Bungeni,na baada ya bunge kupitisha yeye ndo anasign,,,that is how things work na ndo utaratibu.
ebu tuondolee unafiki wako kwanza wewe unasoma magazeti ya uhuru na mzalendo alafu umepitia headline ya tanzania daima unadai mara oh visababu vingi MAGAMBA YOU SHOULD DIE QUIETLY.
Kila mtu anafahamu akili ya mbowe ilivyo na yeye ndiye anayetoa maelekezo tanzania daima liandikennini tarajia vitu vya ajabu tu mbowe hawezi hata kujitathimini yeye mwenyewe ije kuwa kutoa maelekezo kwa gazeti tarajia manyago mengi sana.Haaa...sasa msomi mwenzetu kama pendekezo linatoka kwenye kikao ambacho Rais ni Mwenyekiti wake hadi hapo anaridhia au hajaridhia? Na kama anasign inapotoka bungeni (though kwa issue ya kodi & budget that is not the practice) anakuwa bado hajaridhia tu?
Hizi shule za kata zinatuharibia sana "wasomi" wetu na kama huu ulioufanya ndio uchambuzi wako wa kisomi, basi elimu yetu ina shida tena kubwa sana.
Mhariri wake mbowe na elimu yake vile mwenzangu na mie tutegemee nini.Tanzania Daima ni gazeti la udaku mtupu.
Tanzania Daima ni gazeti la udaku mtupu.
Ukisoma Taarifa ya gazeti la leo la Tanzania Daima la kichwa cha habari Simu kuingoa CCM, ni wazi utajua kuwa sasa hili gazeti liko obsessed na chuki na hasira zinazopelekea kutuchanganya sisi wasomaji wake.Ni dhahiri kuwa tozo la kodi la kila mwezi lilipitishwa na bunge,,na hii ina maana lawama zote lazima ziende kwa Bunge na Spika akiwemo...lakini hili la Tanzania Daima la kuandika kuwakilichofanyika kilipata baraka za viongozi wa chama hicho, akiwamo Rais Jakaya Kikwete, nafikiri ni kuleta confusion ambayo ni very unnecessary.Tanzania Daima wanachojaribu kufanya hapa ni kuconnect dots ambazo ziko too remote kwani tuna jua kuwa Bunge lina uongozi wake unaojitegemea, Rais hakuwa bungeni na pia hajaridhia maamuzi ya bunge ya tozo la kodi kuwa sheria.Sasa Rais hapo anaingiaje?Bunge si mhimili unaojitegemea, sasa kwa nn makosa ya bunge yawe makosa ya Rais.
This is unprofessional guys,,,inakuwa shida sana kulisoma hili gazeti kwa sasa bila kuchanganya na akili zako.Mbona Mwananchi wanaandika habari Objectively na bado linapendwa tu.Tanzania Daima you need to stop barking at the wrong trees for issues which are very serious. Tanzaia Daima wanataka kututufifisha kumjua the real enemy,,na hii itasababisha kushindwa kwa hii vita.The president should be involved in appeal but not in the war. Shida ni Bunge na sio Rais. Professionalism is not taking things personal.
Kila mtu anafahamu akili ya mbowe ilivyo na yeye ndiye anayetoa maelekezo tanzania daima liandikennini tarajia vitu vya ajabu tu mbowe hawezi hata kujitathimini yeye mwenyewe ije kuwa kutoa maelekezo kwa gazeti tarajia manyago mengi sana.
Ukisoma Taarifa ya gazeti la leo la Tanzania Daima la kichwa cha habari Simu kuingoa CCM, ni wazi utajua kuwa sasa hili gazeti liko obsessed na chuki na hasira zinazopelekea kutuchanganya sisi wasomaji wake.Ni dhahiri kuwa tozo la kodi la kila mwezi lilipitishwa na bunge,,na hii ina maana lawama zote lazima ziende kwa Bunge na Spika akiwemo...lakini hili la Tanzania Daima la kuandika kuwakilichofanyika kilipata baraka za viongozi wa chama hicho, akiwamo Rais Jakaya Kikwete, nafikiri ni kuleta confusion ambayo ni very unnecessary.Tanzania Daima wanachojaribu kufanya hapa ni kuconnect dots ambazo ziko too remote kwani tuna jua kuwa Bunge lina uongozi wake unaojitegemea, Rais hakuwa bungeni na pia hajaridhia maamuzi ya bunge ya tozo la kodi kuwa sheria.Sasa Rais hapo anaingiaje?Bunge si mhimili unaojitegemea, sasa kwa nn makosa ya bunge yawe makosa ya Rais.
This is unprofessional guys,,,inakuwa shida sana kulisoma hili gazeti kwa sasa bila kuchanganya na akili zako.Mbona Mwananchi wanaandika habari Objectively na bado linapendwa tu.Tanzania Daima you need to stop barking at the wrong trees for issues which are very serious. Tanzaia Daima wanataka kututufifisha kumjua the real enemy,,na hii itasababisha kushindwa kwa hii vita.The president should be involved in appeal but not in the war. Shida ni Bunge na sio Rais. Professionalism is not taking things personal.
aliye post hii thread pinda kwelunatuona sisi wajinga sana eeh? hivi nani haoni ushabiki wa kipumbavu unaofanywa na wabunge wapumbavu wa ccm kupitisha mambo ya kipumbavu kwa maagizo ya serikali ya kipumbavu ya ccm?