Tanzania Daima's Obsession

Tanzania Daima's Obsession

mkada

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2011
Posts
1,200
Reaction score
908
Ukisoma Taarifa ya gazeti la leo la Tanzania Daima la kichwa cha habari Simu kuing'oa CCM, ni wazi utajua kuwa sasa hili gazeti liko obsessed na chuki na hasira zinazopelekea kutuchanganya sisi wasomaji wake.Ni dhahiri kuwa tozo la kodi la kila mwezi lilipitishwa na bunge,,na hii ina maana lawama zote lazima ziende kwa Bunge na Spika akiwemo...lakini hili la Tanzania Daima la kuandika kuwa
kilichofanyika kilipata baraka za viongozi wa chama hicho, akiwamo Rais Jakaya Kikwete, nafikiri ni kuleta confusion ambayo ni very unnecessary.
Tanzania Daima wanachojaribu kufanya hapa ni kuconnect dots ambazo ziko too remote kwani tuna jua kuwa Bunge lina uongozi wake unaojitegemea, Rais hakuwa bungeni na pia hajaridhia maamuzi ya bunge ya tozo la kodi kuwa sheria.Sasa Rais hapo anaingiaje?Bunge si mhimili unaojitegemea, sasa kwa nn makosa ya bunge yawe makosa ya Rais.
This is unprofessional guys,,,inakuwa shida sana kulisoma hili gazeti kwa sasa bila kuchanganya na akili zako.Mbona Mwananchi wanaandika habari Objectively na bado linapendwa tu.Tanzania Daima you need to stop barking at the wrong trees for issues which are very serious. Tanzaia Daima wanataka kututufifisha kumjua the real enemy,,na hii itasababisha kushindwa kwa hii vita.The president should be involved in appeal but not in the war. Shida ni Bunge na sio Rais. Professionalism is not taking things personal.
 
Bunge lililopitisha ni Mibunge ya ccm kwa kura za ndiyoooooooo!!!!

Sasa hapo unaongea upumbavu gani wewe?
Chanzo ni ccm na ccm hii kodi itawagharimu
 
unatuona sisi wajinga sana eeh? hivi nani haoni ushabiki wa kipumbavu unaofanywa na wabunge wapumbavu wa ccm kupitisha mambo ya kipumbavu kwa maagizo ya serikali ya kipumbavu ya ccm?
 
Baada ya sheria kupitishwa bungeni kabla haijaanza kutumika lazima kuna mtu anatakiwa kuisaini. swali je, ameshaisaini na je, mtu huyo ni nani? swali hili ni kwa mtoa mada. Jumapili njema ndugu.
 
Kabla suala hili kutua bungeni lilipitia kwenye baraza la mawaziri na Rais Jk ni mwenyekiti hapo unasemaje?
 
Ukiliangalia bunge hususa wabunge wa CCM kama hawaelewi wajibu wao na kukitetea chama bungeni sasa wananchi wamelewa uzembe wa wabunge wa ccm kuokoa hili rais asisaini mswaada huu kukiokoa chama wananchi wanapata hasira kwa serikali yao.Huwezi tenganisha rais na bunge kwa hili
 
Ni dhahiri kuwa tozo la kodi la kila mwezi lilipitishwa na bunge,,na hii ina maana lawama zote lazima ziende kwa Bunge na Spika akiwemo...lakini hili la Tanzania Daima la kuandika kuwa
kilichofanyika kilipata baraka za viongozi wa chama hicho, akiwamo Rais Jakaya Kikwete, nafikiri ni kuleta confusion ambayo ni very unnecessary.
Tanzania Daima wanachojaribu kufanya hapa ni kuconnect dots ambazo ziko too remote kwani tuna jua kuwa Bunge lina uongozi wake unaojitegemea, Rais hakuwa bungeni na pia hajaridhia maamuzi ya bunge ya tozo la kodi kuwa sheria.Sasa Rais hapo anaingiaje?Bunge si mhimili unaojitegemea, sasa kwa nn makosa ya bunge yawe makosa ya Rais.

Ni vyema ungefanya kautafiti kidogo ili ujue namna Rais anavyohusika kwenye utaratibu mzima wa kuandaa mapendekezo yanayohusu kodi pamoja na mlolongo mzima unaofuatwa kabla ya kuwasilishwa bungeni. Ulichoandika ni kwa jinsi unavyofahamu/unavyojiaminisha wewe lakini sivyo ilivyo.
 
TANZANIA DAIMa ni GAZETI mrengo wa KIDINI serikali Ifute UCHAFU huu.
 
Baada ya sheria kupitishwa bungeni kabla haijaanza kutumika lazima kuna mtu anatakiwa kuisaini. swali je, ameshaisaini na je, mtu huyo ni nani? swali hili ni kwa mtoa mada. Jumapili njema ndugu.
Anaye sign ni Rais, na Rais bado hajasign sasa hapo lawama kuelekezwa kwake si upotoshwaji wa kesi nzima?
 
Tahadhari,usikubali kusoma gazeti la Tanzania Daima bila kuwa na mwanasheria pembeni.
 
Ni vyema ungefanya kautafiti kidogo ili ujue namna Rais anavyohusika kwenye utaratibu mzima wa kuandaa mapendekezo yanayohusu kodi pamoja na mlolongo mzima unaofuatwa kabla ya kuwasilishwa bungeni. Ulichoandika ni kwa jinsi unavyofahamu/unavyojiaminisha wewe lakini sivyo ilivyo.
Mkuu lets be realistic na tuchambue mambo kisomi, the fact kwamba Rais alikuwepo kwenye kikao cha Baraza la Mawaziri haimaanishi kuwa ndo aliridhia,,ndo maana mchakato huu baadae unaenda Bungeni,na baada ya bunge kupitisha yeye ndo anasign,,,that is how things work na ndo utaratibu.
 
Kabla suala hili kutua bungeni lilipitia kwenye baraza la mawaziri na Rais Jk ni mwenyekiti hapo unasemaje?
Lets think Tank wandugu,,the fact kwamba Rais anachair kikao cha baraza la mawaziri haimaaniishi kuwa sasa anafnya kazi ya Bunge,,,kiutaratibu Bunge ndilo lenye kazi ya kupitisha na kutopisha miswada,,na Rais hawezi kusign bila ya bunge kupitisha....is that no so.Fikiria Rais amemteua Mkuu wa mkoa,,Mkuu wa Mkoa akaenda kubaka mwanamke mtaani,,Swali je Rais naye anakuwa amebaka?Nooooo
 
Ukisoma Taarifa ya gazeti la leo la Tanzania Daima la kichwa cha habari Simu kuing'oa CCM, ni wazi utajua kuwa sasa hili gazeti liko obsessed na chuki na hasira zinazopelekea kutuchanganya sisi wasomaji wake.Ni dhahiri kuwa tozo la kodi la kila mwezi lilipitishwa na bunge,,na hii ina maana lawama zote lazima ziende kwa Bunge na Spika akiwemo...lakini hili la Tanzania Daima la kuandika kuwa
kilichofanyika kilipata baraka za viongozi wa chama hicho, akiwamo Rais Jakaya Kikwete, nafikiri ni kuleta confusion ambayo ni very unnecessary.
Tanzania Daima wanachojaribu kufanya hapa ni kuconnect dots ambazo ziko too remote kwani tuna jua kuwa Bunge lina uongozi wake unaojitegemea, Rais hakuwa bungeni na pia hajaridhia maamuzi ya bunge ya tozo la kodi kuwa sheria.Sasa Rais hapo anaingiaje?Bunge si mhimili unaojitegemea, sasa kwa nn makosa ya bunge yawe makosa ya Rais.
This is unprofessional guys,,,inakuwa shida sana kulisoma hili gazeti kwa sasa bila kuchanganya na akili zako.Mbona Mwananchi wanaandika habari Objectively na bado linapendwa tu.Tanzania Daima you need to stop barking at the wrong trees for issues which are very serious. Tanzaia Daima wanataka kututufifisha kumjua the real enemy,,na hii itasababisha kushindwa kwa hii vita.The president should be involved in appeal but not in the war. Shida ni Bunge na sio Rais. Professionalism is not taking things personal.

Ukiisoma vizuri habari utagundua kuwa mwandishi anatoa ushauri kwa chama chetu na si obsession kama unavyofikiria wewe,na kama viongozi waandamizi wa serikali yetu ni watu wa kuchukua ushauri kwa yaliyo andikwa kewnye hilo gazeti itakua vizuri kwa maisha ya chama huko mbeleni.
Ni ukweli usiopingika kuwa tozo ya kodi ya simu inaweza kukiangusha chama chetu kwa haraka zaidi
 
Mkuu lets be realistic na tuchambue mambo kisomi, the fact kwamba Rais alikuwepo kwenye kikao cha Baraza la Mawaziri haimaanishi kuwa ndo aliridhia,,ndo maana mchakato huu baadae unaenda Bungeni,na baada ya bunge kupitisha yeye ndo anasign,,,that is how things work na ndo utaratibu.

Muda mwingine jaribu kuepuka kudhalilika kwa kukaa kimya.Eti kisomi zaidi hivi uko Tanganyika/Unguja hii ?
Jaribu kutafiti kabla hujabwabwaja Sheria hiyo Dhaifu wenu amekwisha saini 30 June 2013 ili kuweza kupata Pesa ya Safari za kuendelea kutembeza bakuli.

 
Mkuu lets be realistic na tuchambue mambo kisomi, the fact kwamba Rais alikuwepo kwenye kikao cha Baraza la Mawaziri haimaanishi kuwa ndo aliridhia,,ndo maana mchakato huu baadae unaenda Bungeni,na baada ya bunge kupitisha yeye ndo anasign,,,that is how things work na ndo utaratibu.

Ukweli ni kwamba jambo linalojadiliwa na kupitishwa kwenye kikao cha Baraza la Mawaziri (Rais akiwa ni mwenyekiti, WM Katibu) unakuwa ndiyo msimamo wa Serikali na ccm. Sioni mantiki ya wewe kusema Rais hahusiki kwa jambo aliloshiriki kulijadili yeye mwenyewe. Pamoja na hayo, mapendekezo yote huwa yanawasilishwa kwake pamoja na kupewa briefing ya bajeti nzima kabla ya kuwasilishwa bungeni.

Kutaka hili jambo lisihusishwe na rais wa nchi ni sawa na kutembea huku umefumba macho.
 
ebu tuondolee unafiki wako kwanza wewe unasoma magazeti ya uhuru na mzalendo alafu umepitia headline ya tanzania daima unadai mara oh visababu vingi MAGAMBA YOU SHOULD DIE QUIETLY.
 
Tz daima nalo ni gazeti? Udaku mtupu mwanzo mwisho kama udaku wa machadema majukwaani
 
Ukisoma Taarifa ya gazeti la leo la Tanzania Daima la kichwa cha habari Simu kuing’oa CCM, ni wazi utajua kuwa sasa hili gazeti liko obsessed na chuki na hasira zinazopelekea kutuchanganya sisi wasomaji wake.Ni dhahiri kuwa tozo la kodi la kila mwezi lilipitishwa na bunge,,na hii ina maana lawama zote lazima ziende kwa Bunge na Spika akiwemo...lakini hili la Tanzania Daima la kuandika kuwa
kilichofanyika kilipata baraka za viongozi wa chama hicho, akiwamo Rais Jakaya Kikwete, nafikiri ni kuleta confusion ambayo ni very unnecessary.
Tanzania Daima wanachojaribu kufanya hapa ni kuconnect dots ambazo ziko too remote kwani tuna jua kuwa Bunge lina uongozi wake unaojitegemea, Rais hakuwa bungeni na pia hajaridhia maamuzi ya bunge ya tozo la kodi kuwa sheria.Sasa Rais hapo anaingiaje?Bunge si mhimili unaojitegemea, sasa kwa nn makosa ya bunge yawe makosa ya Rais.
This is unprofessional guys,,,inakuwa shida sana kulisoma hili gazeti kwa sasa bila kuchanganya na akili zako.Mbona Mwananchi wanaandika habari Objectively na bado linapendwa tu.Tanzania Daima you need to stop barking at the wrong trees for issues which are very serious. Tanzaia Daima wanataka kututufifisha kumjua the real enemy,,na hii itasababisha kushindwa kwa hii vita.The president should be involved in appeal but not in the war. Shida ni Bunge na sio Rais. Professionalism is not taking things personal.

mwandishi Huyu ni kichaa
 
Back
Top Bottom