Tanzania Daima, Nipashe kudaiwa mill 1000 kwa upotoshaji wa tukio la UAMSHO

hayo magazeti mbona malengo yake pamoja na wamiliki wake wanajulikana?? kwa mtu mwenye akili hata hayampi shida
 
Ufedhuli wa wakristu dhidi ya waislam unajionesha dhahiri ktk uzi huu, yaani utadhani wao ndio wanajua kila sheria ktk nchi hii. Wizi wakubwa na ufisadi mwingi umefanya na wizi(wakristu) hawa.
 
tatizo sio udini..ila kwa kuwa kafanyiwa muislamu basi malalamiko lazima yawe makubwa sana mbona ishu ya wakatoliki na ulawiti ilikua ikipotoshwa sana na haya magazeti ya kiisalm mpaka tabu ila sijasikia wakristo wakiomba fidia?? HII NI ILE DHANA YA "UKNIGUSA TUU NAKULIPUA"
 
Mengi, Mbowe, Tanzania Daima, Nipashe, CHADEMA hivyo vyote vimeasisiwa kanisani Moshi!
 
njaa hiyo,uamsho mdudu gani ndani ya hao waislamu,kama wameathirika wamekufa?anaona rahisi kuzitaja,awatumie mascud maana wao si wataalamu

Be careful for what you are talking huu ni ulimwengu wa uhuru and human right!
 

Unahakika na unachoongea?njoo znz tukuoneshe ukweli sio unang'ang'ania kitu ambacho huna uhakika nacho wewe.
 

Wanauhakika ndio ndo mana wakasema.pia mnajua km tanzania kazi yk n kudhulumu ndo ukajitoa jasho kuandika haya.watch out man!
 


Huyo ustadh ndo yule aliyepigwa picha akiwa na damu?
 
stay to the reality kama ni morogoro au huko kwingine basi wataalam watatwambia na simabishano yasiyo na maana sasa na upande wa pili kama haukuthibitisha uwe tayari kutoa kiasi hicho cha manoti
 
stay to the reality kama ni morogoro au huko kwingine basi wataalam watatwambia na simabishano yasiyo na maana sasa na upande wa pili kama haukuthibitisha uwe tayari kutoa kiasi hicho cha manoti
 
NAPE kesha sema UAMSHO ni majambazi kwa hiyo wanaendeleza ujambazi wa kutaka walipwe hizo fedha hapati kitu hao majambazi wakubwa wajenge makanisa yetu na biblia walizochoma

E]
 
Ufedhuli wa wakristu dhidi ya waislam unajionesha dhahiri ktk uzi huu, yaani utadhani wao ndio wanajua kila sheria ktk nchi hii. Wizi wakubwa na ufisadi mwingi umefanya na wizi(wakristu) hawa.

Unamaanisha kuwa fisadi namba (jk) wa Richimond naye ni Mkristo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…