Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 264
Ustadh Juma Kitunga tayari amewaandikia barua ya kutaka fidia ya sh mill 500 kila mmoja kwa magazeti ya tzdaima na Nipashe kwa kupotosha picha waliotoa inayohusu vurugu za UAMSHO. picha hiyo iliopogwa Morogoro ilitumiwa na magazeti hayo kwa kudai imepigwa ZANZIBAR.
mlalamikaji huo kupitia wakili wake Nassor tayari wameyataka magazeti hayo kuomba radhi na kumpa fidia ya mapesa hayo kabla ya kupandishwa kizimbani kwa hatua nyengine. Amesema yeye na familia yake imeathirika na tukio hilo kwa hivyo.
Source: gazeti la ANNUR
mlalamikaji huo kupitia wakili wake Nassor tayari wameyataka magazeti hayo kuomba radhi na kumpa fidia ya mapesa hayo kabla ya kupandishwa kizimbani kwa hatua nyengine. Amesema yeye na familia yake imeathirika na tukio hilo kwa hivyo.
Source: gazeti la ANNUR
"HIVI HAYA MAGAZETI YETU KWA NINI YANAENDEKEZA UDINI BADALA YA KUFANYA
KAZI KWA MISINGI YA SHERIA NA MISINGI YA UANDISHI WA HABARI?"
KAZI KWA MISINGI YA SHERIA NA MISINGI YA UANDISHI WA HABARI?"