Tanzania Daima lamshambulia Zitto?

Tanzania Daima lamshambulia Zitto?

SAM_1339.JPG
 
leo uk wa mbele kuna Picha ya Mh Jk akifurahi na Zitto.
Katika picha hiyo tzdaima lajidai "Marafiki wa kufa na kufaana"

Kwanini tzdaima haichapishi picha ya Mh mbowe na JK wakicheka pamoja?
Jee kwa zitto kuchapisha na kuandika maneno hayo , Viongozi wa CDM hawatazidi kumuona ZItto ni msaliti?
Kuna siku lilitolewa wazo humu ndani watu wawe wanalipia posts zao wanazoniweka; how far are we on this?

Nadhani hili suala lingesaidia kupunguza watu kuweka posts ambazo zinakinzana na azma nzima na motto wa JF - Great Thinkers!
 
Ashakuwa maarufu toka anasoma sekondari. Kifupi mleta mada anapenda uchonganishi hapendi amani kwani mkitofautiana sera na mitazamo lazima muwe maadui.

Huwa najiuliza kwanini ni Zitto tu ndo ahusiswe na haya maswala ya usaliti kwanini wengine wasihusishwe, kama akina Mnyika, Lissu, Mdee, Lema na wengine, why Alyways it has to be Zitto!?
 

Kwa raha zao... Halafu ikulu inaelekea wanamskiliza sana Zitto. Aliwaasa mawaziri wapya wasiende na maua na mashada kwenye kuapishwa wao wakapuuza, matokeo yake kufika Ikulu wakazuiliwa mlangoni hakuna kuingia nayo!
 
Sina uhakika saaaana kama wafuasi na mashabiki wengi wa CHADEMA wanautambua mchango wa Zitto katika kuijenga na kuifikisha CHADEMA hapa ilipo, natamani kama akipatika mtu wa kuwaonesha historia ya ujenzi wa chama chenu (CHADEMA) na ushiriki wa Zitto katika ujenzi wa CHADEMA.

Cha maana ni mchango wa Zitto kwenye future ya chadema siyo kwenye past! Watu hawaoni ile vibrance ya Zitto ya kuichana CCM hadharani! Pia kwenye eneo la uenezi wa chama amejitenga sana! Kwamfano Arusha pamoja na kuwa kitovu cha hamasa ya chadema nchini hajawahi kufika kuwatia moyo wanachama wa Arusha! Mimi Zitto nashindwa kumwamini siku hizi! Halafu inaniuma maana ni Jembe letu chadema!
 
kwanini Chadema wengi hamumpendi zitto?kwanini kila anachofanya mnakiguestion why? huo ni ubaguzi tu kwakua dogo ni kichwa na for sure zito is blessed politician brain ipo na anajua whta to do at the right time,zitto wakikuzingua jitoe chadema anzisha chama lako tupo wengi nyuma yako hasa vijana tutakusupott kwa kila hali halafu tuone hao chadema wataishia wapi,wabaguzi wakubwa kaskazini
 
Kwa raha zao... Halafu ikulu inaelekea wanamskiliza sana Zitto. Aliwaasa mawaziri wapya wasiende na maua na mashada kwenye kuapishwa wao wakapuuza, matokeo yake kufika Ikulu wakazuiliwa mlangoni hakuna kuingia nayo!

wala sio kama ikulu wanamsikiliza zitto ila ki ukweli mwandishi nae hakuwa objective maana anataka kutusadikisha kwamba zitto alitumwa na rafiki yake'kikwete' kitu ambacho naona sio sawa,hawa Tanzania daima waangalie habari zao vinginevyo nao tutasema wametumwa kumharibia zitto.
 
zito zuberi kabwe ni shujaa wangu,ambitious na ana vision kubwa,hafichi yaliyo moyoni mwake ndo maana alithubutu kusema anataka kua Rais,nakuamini na nakukubali sana zitto,wakiendelea kukubagua ondoka anzisha chama na huo ndo utakua mwanzo wa kupotea kwa hiki chama cha wachaga
 
leo uk wa mbele kuna Picha ya Mh Jk akifurahi na Zitto.
Katika picha hiyo tzdaima lajidai "Marafiki wa kufa na kufaana"

Kwanini tzdaima haichapishi picha ya Mh mbowe na JK wakicheka pamoja?
Jee kwa zitto kuchapisha na kuandika maneno hayo , Viongozi wa CDM hawatazidi kumuona ZItto ni msaliti?

Wajuzi wanatambua kuwa picha pekee inaweza kutoa ujumbe mzito kwa jamii,

Tanzania daima kama gazeti la CDM kwa kuweka picha hiyo kwa watu werevu wanajua kuwa halikuwa na nia nyingine

isipokuwa kutaka kumuonyesha zitto kama msaliti katika chama chao. FULL STOP

Msijifanye hamjui, eti ni just normal??? kwani hakuna picha nyingine za kuweka kwenye gazeti lenu?

"ZITTO" hana nafasi katika chama cha MTEI hilo lipo wazi, na soon people will realize!
 
Mawazo mengine ni utumbo tu! Wapendeni adui zenu.

Hata kama zitto akicheka na raisi, pindi rais

anapojichanganya kwa kufanya madudu zitto

hawezi kaa kimya.
 
kwanini Chadema wengi hamumpendi zitto?kwanini kila anachofanya mnakiguestion why? huo ni ubaguzi tu kwakua dogo ni kichwa na for sure zito is blessed politician brain ipo na anajua whta to do at the right time,zitto wakikuzingua jitoe chadema anzisha chama lako tupo wengi nyuma yako hasa vijana tutakusupott kwa kila hali halafu tuone hao chadema wataishia wapi,wabaguzi wakubwa kaskazini
 
kwanini Chadema wengi hamumpendi zitto?kwanini kila anachofanya mnakiguestion why? huo ni ubaguzi tu kwakua dogo ni kichwa na for sure zito is blessed politician brain ipo na anajua whta to do at the right time,zitto wakikuzingua jitoe chadema anzisha chama lako tupo wengi nyuma yako hasa vijana tutakusupott kwa kila hali halafu tuone hao chadema wataishia wapi,wabaguzi wakubwa kaskazini

Kama ulivyosema Zitto mwenyewe "ni kichwa", basi ujue hata yeye anaelewa vizuri sana kwamba hakuna mwanachama wa CHADEMA aliye maarufu zaidi ya chama. Kwa kifupi ni kwamba hakuna mwanachama au kiongozi wa CHADEMA - kuanzia mwenyekiti hadi kwenye "kapeti" - asiyejua kwamba nje ya chama hana umaarufu wowote - hata waliofanya kazi kubwa kukijenga kufikia kilipo hawana jeuri hiyo. Kama umekisoma hicho chama kwa makini, utagundua kuwa hakuna mwenye ubavu wa kutoka akategemea kuendelea bila kutetereka. Ni tofauti kabisa na CCM ambako ukitoka chati inapanda!
 
kwanini Chadema wengi hamumpendi zitto?kwanini kila anachofanya mnakiguestion why? huo ni ubaguzi tu kwakua dogo ni kichwa na for sure zito is blessed politician brain ipo na anajua whta to do at the right time,zitto wakikuzingua jitoe chadema anzisha chama lako tupo wengi nyuma yako hasa vijana tutakusupott kwa kila hali halafu tuone hao chadema wataishia wapi,wabaguzi wakubwa kaskazini
Unasumbuka sana na humtakii mema Zitto unayedhani unampenda, si mjinga wa kiasi cha kipimo chako, eti mpo wengi nyuma yake hata akijitoa CDM...upuuzi, hata yeye hataufuata upuuzi wa aina hii. Nyerere alipata kusema,

"Mtu akikushauri jambo la kijinga, huku anajua jambo hilo analokushauri ni la kijinga, na wewe ukakubali, basi atakuona, wewe zuzu!"
 
leo uk wa mbele kuna Picha ya Mh Jk akifurahi na Zitto.
Katika picha hiyo tzdaima lajidai "Marafiki wa kufa na kufaana"

Kwanini tzdaima haichapishi picha ya Mh mbowe na JK wakicheka pamoja?
Jee kwa zitto kuchapisha na kuandika maneno hayo , Viongozi wa CDM hawatazidi kumuona ZItto ni msaliti?

Kama 2010 alimpigia kampeni na hatimaye kampigia kura ile hali kuna mgombea wa CDM, Leo hii tukisema JK ni marafaiki na Zitto mnalalamika kitu gani? nashangaa.

Tunamtambua kwa matendo...
 
Jamani siasa ni kama mpira tu mbona jumapili OKWI na FUSO walikumbatiana baada ya mechi?
 
Picha na vicheko sidhani kama ni hoja. Manake kama walivyotangulia kusema wengine siasa si uadui wala vita, ila binafsi nimepata taabu kidogo na hayo maneno yaliyoandikwa kama kweli ndivyo ilivyo kusema "marafiki wa kufa na kufaana" nashindwa kuelewa mwandishi ana maana gani.......
Ukiikurupukia hii sentensi fupi tu utapata maana nyingi sana, lakini kaeni mkijua hii sentensi ni muhimu sana katika jamii yeyote nna inatumiwa sana kuliko kitu kingine, na hii sentensi ikikosekana ndipo tabu humwandama binadamu, inamaana pana kuliko watu wanavyoitafisiri, ukweli utabakia binadamu wote huwa ni marafiki wa kufa na kufaana ikimaanisha hulka ya binadamu ni kusaidiana mpaka anapokufa na ndio maana tunapokufa wenzio lazima wakupe msaada wa kukuzika
 
Back
Top Bottom